tamko

  1. comrade_kipepe

    GE2025 Wazee wa kimila wa kikurya watoa tamko

    Hawa wazee ni hatari sana, msiwachukulie poa, ombi lao lifanyiwe kazi haraka kabla madhara hayajatokea. Najua mtapuuza lakini tutakutana hapahapa kijiweni. Huyo alienyoa W kwenye ulimwengu wa kiroho ni hatari sanaaaaaa.
  2. Mafyangula

    Familia John Heche yasema, haiko tayari kuona ndugu yao akipoteza maisha bila sababu ya msingi kwa sababu ndugu yao hana makosa

    Polisi polisi na Serikali ya Samia mbona mnazidi kutengeneza chuki zaidi kwa Watanzania, Hivi hivi utasikia Heche haonekani tena au kafungulia kesi nzito ilimradi tu wahodhfishe CHADEMA. Hii si sawa. ================== Wakati Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kikihoji alipo Makamu...
  3. M

    Muda mzuri wa Polisi kupiga hela; Tafteni chambo hata Copro atoe tamko la kuunga mkono maandamano ili wakuu waje mezani watoe mpunga

    Haya mambo ni kufa kufaana! Upande wa polisi hawajui kuitumia fursa! Huu ndiyo ulikuwa muda sahihi wa kutengeneza hata copro mmoja kama chambo atoe tamko (halafu mnazuga kumkamata na kumhoji huku mkimlinda kwa kufikisha ujumbe) Wakuu lazima waje meza ya mazungumzo waweke dau! Wote hawawezi...
  4. baz kaiza

    Serikali inayo jali Utu wa mtu itoe Tamko kuhusu Polepole

    serikali inayojali utu wa mtu tunaomba itoe tamko kuhusu Polepole huyu alikua katibu Mwenezi Mjumbe wa kamati kuu Usalama wa Taifa hawezi kupotea kama kuku
  5. MamaSamia2025

    Nitatoa tamko kuhusu video ya anayedaiwa kuwa kapteni wa jeshi la anga

    Leo nimepokea jumbe nyingi sana kutoka kwa wanaJF wengi wakitaka kujua msimamo wangu kuhusu hii video inayoendelea kusambaa. Kesho mchana kwa saa za Afrika Mashariki nitatoa tamko kwa hii video ya mtu anayetajwa kama kapteni wa jeshi la anga. Video hii iliyotengenezwa kwa msaada wa AI...
  6. Abdul Said Naumanga

    GE2025 Tamko La Rais Wa TLS Juu Ya Kitendo Cha Polisi Kuzunguka Ofisi Za TLS

    Wakili Mwabukusi ambaye pia ni Rais wa TLS (Chama cha Wanasheria Tanganyika), akizungumza na Wakili TV leo, amesema TLS inachukulia suala la polisi kuzunguka katika ofisi zao kwa uzito mkubwa sana. Amesisitiza pia kuwa TLS si wahalifu bali ni chombo cha kisheria kinachotekeleza majukumu yake kwa...
  7. Msanii

    GE2025 Ofisi za TLS zazingirwa na polisi. TLS yatoa tamko

    Ofisi za TLS Makao Makuu zimezingirwa na Polisi muda huu leo tarehe 22 Septemba 2025. Taarifa zaidi zitakuja
  8. Parabolic

    CHADEMA Zanzibar watoa tamko

    Tamko https://www.youtube.com/live/zTiG8A6xBUk?si=0TkwcRajP0kn483k Tamko la Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Unguja Kuhusu Msimamo wa Kususia uchaguzi Bila Mageuzi na Tahadhari za Madhara ya Uchaguzi wa 2020. Wananchi wa Zanzibar na Watanzania wenzangu, Mimi, Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya...
  9. K

    GE2025 Kanisa Katoliki toeni tamko ya kugomea chaguzi za kitapeli

    Tumesali novena sawa lakini ni unafiki kwenda kwenye chaguzi ambazo kwa kila namna hazina maana na tayari tume imeweka mfumo wa kura fake. ! Sasa wakatoliki twende kupiga kura fake! Toeni tamko tuache uoga na unafiki
  10. DuaZaMama

    James Mbatia: Yanayofanyika na akina Polepole na Gwajima ni baraka kwa taifa

    Mwenyekiti wa wa zamani wa NCCR Mageuzi, James Mbatia amesema yanayofanyika na akina Polepole, Gwajima na wengine ni baraka ndani taifa letu, hali inayoendelea kuelekea uchaguzi mkuu ni hatari kwa taifa letu.
  11. D

    Sasa hivi DSM kuna ving'ora vingi kuliko magari barabarani na hakuna tamko lolote kutoka makao makuu trafiki kuzuia hilo

    Awamu ya sita imekuwa vurugu mechi; Ile dhana ya utawala bora Haionekani hata kwenye mambo madogomadogo kama haya! Hivi inawezekanaje Barabara zote zijengwe kwa mpigo pasipo mpangilio? Yaani Unawezaje kufumua; KILWA ROAD, NYERERE ROAD, MANDERA ROAD, MOROGORO ROAD, MWAIKIBAKI, BAGAMOYO ROAD n.k...
  12. Abdul Said Naumanga

    Tamko la TLS kuhusu kinachoendelea kwa waumini wa kanisa la Ufufuo na Uzima pamoja na haki ya kuabudu

    Siku chache zilizopita niliandika uzi unaoitwa: “Watu wanasali, mabomu yanalia. Je, kuna uhuru wa kuabudu?”Ulikuwa ni mwitikio wa kile tulichoshuhudia tarehe 22 na 29 June 2025: waumini wa dhehebu flani wakitawanywa kwa mabomu wakati wakiwa kwenye ibada. Sikuandika kwa lengo la kutetea mtu...
  13. Waufukweni

    Tamko la Mwenyekiti wa Simba, Mangungu kuhusu matokeo ya Dabi

    Mwenyekiti wa Klabu ya Simba, Murtaza Mangungu amezungumza kuhusu matokeo ya derby ya jana na kujibu kuhusu baadhi ya maoni ya mashabiki wa klabu yake kuto kumuamini na kumtaka aondoke kwenye uongozi.
  14. and 998 others

    BAKWATA toeni tamko kulaani mauaji Iran

    Tunawasihi Baraza Kuu BAKWATA litoe tamko yanayoendelea Iran na nn kifanyike baada ndugu zetu wanauawa kama kuku.
  15. ranchoboy

    Tamko la kizalendo: Watakaosaliti Tanzania watalipa

    Siku moja kuna watu watalipa kwa damu na machozi. Mnaofurahia ufisadi kwenye rasilimali zetu — mtalipa, nawaambieni. Mnayefumba macho wakati waovu wanatenda kwa mikataba michafu, mnayeziba masikio wakati waonevu wanawapora wananchi wanyonge, na wale mnaoshangilia utekaji na mateso ya wengine...
  16. N

    Si kwa Siasa, Bali kwa Moyo – Tamko kwa Rais Samia

    Mheshimiwa Mama Yetu Samia Suluhu Hassan, Wapo wanaoongoza kwa mikono, wachache kwa akili, lakini wachache sana huongoza kwa moyo. Wewe ni miongoni mwa hao wachache uliyesimama si kwa nguvu, bali kwa upendo. Katika historia ya taifa letu, jina lako limechipua kama mti wa mkaratusi wakati wa...
  17. Roving Journalist

    PreGE2025 James Mbatia: Migogoro inayoendelea nchini inatupeleka pabaya

    https://www.youtube.com/watch?v=iuttjJJLxG0 Pia soma Mbatia aibwaga NCCR Mageuzi mahakamani James Mbatia ameanza kuzungumza na waandishi wa habari, itakumbukwa hivi karibuni alishinda rufaa yake aliyokata dhidi ya chama cha NCCR Mageuzi. Ameanza kwa kueleza kuwa amepanga kuzungumzia migogoro...
  18. Dr Matola PhD

    Wapenda haki tunataka kusikia tamko la Umoja wa Makanisa Tanzania CCT

    Sina mengi kama heading inavyosomeka umoja wa makanisa Tanzania CCT utoke hadharani na tamko lake ili tujuwe msimamo wa kanisa ni nini juu ya haya yanayoendelea.
  19. Waufukweni

    Serikali yatoa tamko: Miradi ya Maendeleo itaendelea hata baada ya Marekani kusitisha misaada

    Serikali imesema itaendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ambayo ilikuwa ikipata ufadhili wa kifedha kupitia taasisi za Marekani baada ya tamko la usitishaji wa misaada lililotolewa na Rais Donald Trump.
  20. JanguKamaJangu

    Jeshi la Polisi latoa tamko kuhusu Wahalifu wanaovamia Watu na kuwapora wakiwa wamebaa Baibui

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, SACP Richard T. Mchomvu, ametoa tamko rasmi kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo kwenye mitandao ya kijamii zinazoonyesha kundi la vijana wakimvamia na kumshambulia mwananchi kwa kutumia silaha. Jeshi la Polisi limewashikilia Vijana 8 kwa tuhuma za...
Back
Top Bottom