Taifa limepondeka, Taifa lina majonzi, Taifa liko katika simanzi zito.
Watanzania wengi wana majonzi, vilio kila kona, wanaomboleza kila kona. Simanzi na masikitiko vimejaa katika vifua vyao. Wapendwa wao wametoweka, hawatawaona tena asilani. Wengine hawajulikani walipo (hatujui wako hai au...