Moderator msibadili maneno makili yaloandika Wala kuufunga Uzi huu ili watu wajifunze yaliyokusudiwa ...🙏🙏🙏
Ujinga ni kuto kujua jambo, mjinga akielimishwa hubadirika na kuwa mweredi.
Mpumbavu ni mpuuziaji wa Mambo, huwa anajua kinachopaswa Ila anafanya kinyume chake, kwa asilimia kubwa...