sungura

Zimbabwean music is heavily reliant on the use of instruments such as the mbira, Ngoma drums and hosho. Their music symbolizes much more than a simple rhythm, as the folk and pop style styled music was used as a symbol of hope for Zimbabweans looking to gain independence from Rhodesia. Music has played a significant role in the history of Zimbabwe, from a vital role in the traditional Bira ceremony used to call on ancestral spirits, to protest songs during the struggle for independence. The community in Zimbabwe used music as a tool to voice their oppression when they didn't have the weapons to fight back. In the eighties, the Music of Zimbabwe was at the center of the African Music scene thanks to genres such as Sungura and Jit. However, several performers were banned by state TV and radio leading to the closing of several music venues.

View More On Wikipedia.org
  1. Chifu mkuu

    Kilimo hai,bora na cha kisasa kwa kutumia mkojo wa sungura.

    HABARI NJEMA KWA WAKULIMA Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama. Mkojo wa sungura pia...
  2. Abuu Ibraahiym Sibomana

    Kilimo hai, bora na cha kisiasa kwa kutumia mkojo wa sungura.

    HABARI NJEMA KWA WAKULIMA Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama. Mkojo wa sungura pia...
  3. Abuu Ibraahiym Sibomana

    Kilimo hai, bora na cha kisasa kwa kutumia mkojo wa sungura.

    HABARI NJEMA KWA WAKULIMA. Hakuna tena kuumiza kichwa kuhusu kutibu magonjwa nyemelezi kwenye mazao yako kama vile manjano, fangasi, na kudhoofika kwa mazao. Tumia mkojo wa sungura pia kuongeza mazao na uzito kwenye mazao kama mpunga, mahindi, maharage, ulezi na mtama. Mkojo wa sungura pia...
  4. M

    Tunauza Sungura

    Sungura Wanauzwa Piga sim chap No Chat Piga 0612323330
  5. 05CUBA

    Mradi wa ufugaji sungura, naombeni ushauri juu ya mchakato mzima wa ufugaji na masoko

    Salaam, Kama kichwa kinavyojipambanua, naombeni usaidizi wa mawazo juu ya ufugaji sungura ( kwa size ya kati, sio mdogo wala mkubwa sana) na zaidi nisaidieni ni wapi naweza Pata soko la uhakika la sungura. Wengi watauliza mahala nilipo, matharan mkoa ila wadau naomba mawazo ya jumla ambayo...
  6. DuaZaMama

    GE2025 Kassim Majaliwa atangaza ghafla kutogombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametangaza rasmi kustaafu kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Ruangwa, mkoani Lindi, baada ya kuliongoza kwa takribani miaka 15 mfululizo tangu mwaka 2010. Soma, Pia: Waziri Mkuu, Majaliwa atangaza kugombea tena Ubunge wa Ruangwa...
  7. Just Pray

    KWELI Mkojo wa Sungura unaweza kutumika kama mbolea na dawa ya kuulia wadudu kwenye mazao

    Nimekuwa nikiona wafugaji wa sungura wakivuna mkojo wa wanyama hao na kudai kuwa unaweza kutumika kama mbolea na dawa ya kuulia wadudu kwenye mazao. Wakuu wa JamiiCheck uhalisia wa hili ni upi?
  8. shanature

    Natafuta sungura wakubwa kiumbo

    REJEA SOMO TAJWA hapo juu natafuta sungura watatu moja dume mawili majike kwa ajili ya kufuga... wawe ni ile mbegu yenye umbo kubwa...waliopo maeneo ya jirani na kahama njoo dm...tupange biashara
  9. Chifu mkuu

    Faida za mkojo wa sungura kwenye kilimo

    FAIDA ZA MKOJO WA SUNGURA KWENYE KILIMO Sungura hufugwa kwa ajili ya kutupatia nyama ambacho Ni kitoweo kizuri na muhimu Sana. Hivyo wafugaji wengi Sana hujipatia kipato kizuri kupitia ufugaji wa sungura. Lakini sungura Wana umuhimu Sana kwenye kilimo. Mkojo wa sungura una umhimu mkubwa Sana...
  10. Dalali wa Mjini

    King Kaka a.k.a Kaka Sungura a.k.a Rabbit a.k.a Kaka Empire

    Leo nimeskiliza nyimbo mbili Za huyu Msanii kutoka Kenya. King Kaka (1) Swahili Shakespeare (2) Wajinga Nyinyi. Daah huyu jamaa anajua kuandika Bana.
  11. Chifu mkuu

    Faida za mkojo wa sungura

    FAIDA ZA MKOJO WA SUNGURA KWENYE KILIMO Sungura hufugwa kwa ajili ya kutupatia nyama ambacho Ni kitoweo kizuri na muhimu Sana. Hivyo wafugaji wengi Sana hujipatia kipato kizuri kupitia ufugaji wa sungura. Lakini sungura Wana umuhimu Sana kwenye kilimo. Mkojo wa sungura una umhimu mkubwa Sana...
  12. Chifu mkuu

    Tangazo: Nauza mkojo wa sungura.

    Napatikana pasua manispaa ya Moshi mkoa wa Kilimanjaro. Nina dumu tano ( Lita 20 @ =Lita 100) bei ni maelewano. Kwa wale wasiojua mkojo wa sungura hutumika kama kinga na dawa ya kuua wadudu hasa katika bustani za mbogamboga na mazao mengine. Ukitaka faida zaidi za mkojo wa sungura ingia google...
  13. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Hivi Sungura anataga Mayai au Anazaa? Nimeulizwa na binti aliyetoka kufanya Usaili wa ualimu hivi karibuni

    Leo mida ya mchana wife akiwa anatoka kanisani alikuwa ameongozana na binti muhitimu wa chuo cha ualimu. Hapa nyumbani nimefuga sungura wapo watatu nimenunua hivi karibuni baada ya madogo kuwapeleka kwa mfugaji mwenzangu wakawapenda sana nikaamua kuwanunulia .Muda ule walinikuta nahangaika...
  14. C

    Nimeanza safari ya ufugaji Sungura mwaka jana (2024) mwezi wa kumi, namshukuru Mungu, nimeanza kuona maendeleo taratibu, hatua kwa hatua

    Baada ya kukaa muda mrefu bila kujihusisha na ufugaji wa aina yoyote, kuacha mbwa mmoja ambae namfuga kwaajili ya ulinzi, mwaka jana, 2024 mwezi wa kumi mwanzoni, niliamua kuanza ufugaji wa Sungura kwaajili kupata mboga kwa matumizi ya nyumbani na pale patakapokuwa na Sungura wa ziada, basi...
  15. Planet Data bundles

    Nanunua Sungura pori Wazima kwa bei nzuri

    Wakuu Nanunua Sungura wa porini kwa bei nzuri sana. Kama ww n muwindaji au unaweza kuwapata nitafute tufanye biashara. Bei 50000/= mmoja Nipo Mwanza. Watu wa dar mtulie haya si mambo yenu
  16. Roving Journalist

    Mussa Azzan Zungu asema Bodaboda wakipunguza matumizi ya pombe kama Sungura, ajali zitapungua pia

    Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, ameiagiza Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi kupitia Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kutafuta mwarobaini utakaopelekea kupunguza matumizi ya pombe aina ya (sungura) zisizo na vipimo kwa baadhi ya madereva wa pikipiki...
  17. Analogia Malenga

    Ernest Sungura: TBC itumike na wanasiasa kwa usawa

    Ernest Sungura ambaye ni mwenyekiti wa wanaopigania haki ya taarifa, na Mkurugenzu Mtendaji wa Baraza la Habari Tanzania (MCT) amemuomba rais Kuangalia namna ya kubadili sera ya uwekezaji kwa tasnia ya habari. Aidha ametaja tatizo la kufanya kazi bila mikataba na mishahara kuchelewa kwa...
  18. Iziwari

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi

    Bei ya gunia la mashudu ya mafuta ya alizeti: Chakula bora cha kuku Nguruwe Sungura na wanyama wengi. Best Price for Suck of Sunflower meal or Seeds. Mashudu ya mafuta ya alizeti ni chakula cha mifugo ambacho kina thamani kubwa sana. Chakula hiki kina weza kutumika na wanyama kama Kuku, Bata...
  19. L

    Kijana wa China atengeneza kazi za sanaa ya kukata karatasi kusherehekea Mwaka Mpya wa Jadi wa Kichina wa Sungura

    Kijana wa China Chang Yangyang, ambaye ni mrithi wa utamaduni usioshikika wa China anaonyesha kazi zake za sanaa ya kukata karatasi zinazohusu mada ya Sungura katika kukaribisha Mwaka Mpya wa Jadi wa China wa Sungura.
  20. Shy land

    CCBRT walivyotatua tatizo la mtoto wangu la mdomo sungura

    hii ni kabla Habari za siku nyingi wakuu na members wore wa JF. Ndugu wana JF wezangu tarehe 25 mwezi wa sita mwaka huu, wife alijifungua mtoto wa kilo 6 na mtoto akawa na tatizo la ugonjwa wa mdomo sungura. Nashukuru Mungu hadi sasa mtoto anaendelea vizuri, nimeazisha thread hii kwa lengo...
Back
Top Bottom