Wakuu hamjambo wote hapa jf ,niwasalimu kila mmja kwa imani yake.
Rejea mada tajwa hapo juu ,kama ilivyoandikwa
Nipo na wasiwasi iliyo kuu kwamba SSH hakupanga wania urais 2025.
Wenda shida nikupitia kwa majizi ,mafisadi wa nchii hii ,kwenda naye ili kamilisha malengo yao.
Ukiangalia mambo...