Haya ni mawazo yangu tu.
Zanzibar wameshatoa Marais wawili; AHM na sasa Samia.
Zanzibar waneshatoa Mskamu wa Rais; Karume, Jumbe, Mwinyi, Shrine, Bilali ba Samia.
Zanzibar ishatoa Waziri mkuu; Salim Ahamed Salim.
Zanzibar ilishayoa Jaji Mkuu; Augustin Ramadhani.
Zanzibar bado...