Inasemwa kwamba kazi ya afisa uhusiano ndio kazi ngumu kabisa huku duniani. Kazi hii inahitaji mtu mwenye uelewa wa mambo haswa yale ambayo atakuwa akiwashirikisha watu kuhusu kampuni, taasisi na mashirika ambayo ndio anafanyia kazi.
Kwa mfano. Afisa uhusiano wa jeshi la polisi. Msemaji wa...
Ewe mwana Lunyasi mwenzangu, weka kituko kilichopo mtandaoni kuhusi usajili wetu wa kupaniki.
Wakati wa usajili, Sifa anapewa Mo ila ligi na michuano mbalimbali ikianza, Lawama zote anapewa Mangungu.
Blog maarufu ya soko Afrika yakashfu usajili wa kukurupuka wa wana lunyasi.
Mwingine huyo...
Hivi nyie Utopolo a.ka Gongowazi, mnapataga wapi ujasiri hata wa kubishana tu na watu wa timu namba tano Africa kwa ubora? Level zenu ni Ihefu, Dodoma na KMC, hao ndio mnaweza kubishana nao. Next time tutaongea kwa viboko mkiendelea kumuongelea mnyama mkali Africa.
Huu ususi mpya uliofanywa na Simba sijui tuuitaje, wasusi kina Kalpana na maras tulionao humu watatusaidia ila ni wazi hii ni Simba brand new tunaenda kuiona.
Misimu miwili iliyopita niliwahusia viongozi wa Simba waanze mchakato wa kuisuka upya kikosi cha Simba ili baada ya misimu mitatu, tuwe...
Usajili ndani ya Simba Sc 🇹🇿 hadi sasa and players available
✅ Jean Ahoua 🇨🇮
✅ V. Nouma 🇧🇫
✅ S. Mukwala 🇺🇬
✅mzalimu 🇹🇿
✅hussen 🇹🇿
✅kibu🇹🇿
✅chasambi 🇹🇿
✅barua 🇹🇿
*️⃣✅ Lawi 🇹🇿
✅ A. Hamza 🇹🇿
✅ Omary Abdallah 🇹🇿
✅ Okejepha 🇳🇬
✅ Debora Mavambo 🇨🇬🇦🇴
✅ J. Mutale 🇿🇲
✅ V. Mashaka 🇹🇿
*️⃣⏳Yusuph Kagoma...
Hili wazo najua Yanga wataiba mwakani, Simba nawashauri ingawa mnaniudh sana kwa kukosa ubunifu, anzisheni banda lenu pale sabasaba mwakani mtapiga hela sana, mtauza CD za mechi za zamani mlizowapiga yanga, mtauza jezi, soksi, fulana.
Mtaweka makombe mashabiki wapige picha, wapelekeni wachezaji...
1. MUKWALA- ametoka Asante Kontoko Imeshika namba 6 ligi ya Ghana.
2. AHOUA Ametoka Stella Adjame Imeshika namba 6 ligi ya Ivory coast
3. AUGUSTINE. Ametoka Rivers united ya Nigeria Imeshika Namba 8
4. JOSHUA MUTALE. Ametoka powe Dynamo ya Zambia nafasi ya 6
5. VALENTINO MASHAKA katika...
Simba imemtambulisha kiungo Debora Fernandes Mavambo kutoka Mutondo Stars ya Zambia kwa mkataba wa miaka mitatu.
Debora mwenye umri wa miaka 24, ana uraia pacha Gabon na Congo Brazaville, na timu ya taifa anayoitumikia ni Gabon.
#Usajili #SimbaSC #DeboraFernandes
Simba imefanya usajili mkubwa sana. this season, kuna MVP kwenye mid field na MVP defence. top striker mbele pale. amazing lakred nyuma pale.
Issue ni mechi moja tu mkifungwa tempo nzima ya timu inakufa. vita inaanza. mangungu out
I always say tatizo la simba ni mashabiki. they have best...
Rejea kichwa cha habari hapo juu
Unabiii auishi mpaka utimie
Kocha mpya wa Simba simuoni akifikaa Januari 2025
Si kwa nia mbaya Benchika alienda na benchi lake kuuguza mkewe
Huyu ataondoka kuuguza mkwewe, mtaniambia
Ushauri
Tatafuta soon plan B ya kocha Simba
Kama kuna Mtu wa kupewa pongezi kwa kukua Soka la bongo basi namba moja ni Mohammed Dewji Mo.
Alijitaidi kuisuka simba vizuri na kuitambulisha soka letu kimataifa
Baada ya mo Wafate akima Azam media na wengine
Ila anavyoishiwa nguvu ya pesa kuifanya timu kubwa Akubali ukweli. ahusishe...
Nimemsikia akihojiwa kwenye redio Moja ya Mwanza, jembe fm kuwa alianza form 1 huo mwaka
Nikajiuliza alisoma akiwa na umri Gani shule ya msingi.
Hakika udanganyifu wa umri Africa hasa kwenye michezo ni mkubwa.
Nina uhakika yule kijana hakosi miaka 26
Leo nimelia sana Baada ya kugundua tunaenda kupigwa kitu kizito ( heavy thing) na uongozi wa Simba kuhusu usajili ambappo wanadai wamesajili damu changa ingawa kiuhalisia sio kweli Bali Wana UMRI mkubwa
Mfano;
1. Mukwala - Imeandikwa ana 24 years, ila ukimcheki ni 30's.
2. Mutale - What a joke...
Eti tunachukua kocha kutoka Maritzburg United. Kwanza kaishusha daraja timu hiyo msimu uliopita na Msimu kagongwa vibaya ligi ya chini.
Nimefatilia Cv zake ni vichekesho mtupu.
Ndio yale ya Timu kupewa Cadena na Matola. Kama Mo hana ela zzakuendesha timu silazimishe sifa.
Eti alikuwa...
Simba iltambulisha kwa bashasha na furaha kubwa kwamba wamemsajili lameck lawi coastal union wakasema simba hawakufuata utaratibu kwa hiyo deal lilikufa simba wakaaminisha washabiki wao kwamba tayari ni mchezaji wao wasio na hofu
Ajabu lameck lawi yupo kambini tanga na coastal union kwa ajili ya...
Kocha Talib Hilal amekaririwa na redio moja nchini akisema jana kuwa kocha mpya anayetarajiwa kuingia kandarasi na Simba Faldu David's hana uwezo na hawezi kuifikisha popote pale Simba.
Talib defender wa zamani wa Simba na baadae akawa kocha anasema recodi ya kocha huyo mpya ya mechi 12...
Mkude ada ya usajili na mshahara milioni 300, kacheza mechi tatu msimu mzima.
Okra Milioni 300 kafunga goli moja.
Chama milioni 600
Sina hela lakini nina akili!
===
Pia soma: Klabu ya Yanga imetangaza kumsajili kiungo mshambuliaji Clatous Chota Chama raia wa Zambia
Yani Mo na Try Againi wanafanya uhuni mtupu.
Kwanza mfano Abdulrazack kutoka Supersport amepatikana akiwa free kabisa lakini ukiangalia thamani yake kabla ya kuja simba ilikuwa 10k. Leo katambulishwa simba thamani yake imekuwa 165k us dolla. Akimzidi Pakome mwenye thamani ya 45k tu.
Pacome...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.