siasa za tanzania

Siasa za Tanzania
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. Mlalamikaji daily

    Sio kwa ubaya lakini nashauri CCM yale mabasi yenu bora myageuze kuwa mwendo kasi

    Najua hii posti akiona ndugu yangu Lucas lazima atabubujikwa na machozi ya furaha.. Lakini kwa jinsi mwaka huu ulivyo baada ya Chadema kujitoa kwenye uchaguzi Sisiemu hakuna wa kushindana nao.. Hizo gharama ikiwemo na yale mabasi ni bora kuyapeleka kwa wananchi tu.. Sioni ulazima wa kutumia...
  2. Raia Fulani

    Mwenye nyumba angekuwepo

    To be honest hali ni mbaya sana kwa site. Sio waislam sio wakristo. Wanalalamika na kulalamikia hali iliyopo. Nipo sehemu nasubiria huduma ya kiserikali, watu utadhani wamefiwa. Ndio mmoja mwenye sigda na kofia yake anasema nyumba haina mwenyewe. Wapangaji wanajiamulia la kufanya. Huduma za...
  3. tonicimmobility

    Hili katazo la kutoa PhD kwa wanasiasa Ethipia lingeletwa Tanzania, akina Kiliba wangeogopa hata kuwajibu Gwajima

    Wizara ya Elimu nchini Ethiopia imetoa agizo na mwongozo kwa vyuo ambavyo havitoi Shahada ya Uzamivu kuacha mara moja kutunuku shahada za heshima (Honorary Doctorate) kwa viongozi wa kisiasa nchini humo. Tovuti ya Birr Metrics imeripoti kuwa mwongozo huo umetiwa saini na Waziri wa Elimu...
  4. R

    Hili joto la kisiasa limepanda sana, tafuteni namna ya kulishusha kwa busara!

    Salaam! 1. Polepole na press zake zisizojibika zimeleta sintofahamu. 2. Gwajima na Press zake pia zimelitibua zaidi. 3. Kuzima mitandao ni sintofahamu ingine. 4. Majizi kuchangia chama, nayo imezidi kuongeza petroli. 5. Nyumba za ibada kufungwa kwa zaidi ya mwezi sasa ni joto Kali sana...
  5. tonicimmobility

    Rais Samia alipokutana na Tundu Lissu mjini Brussels Ubelgiji mwaka 2022

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan alipokutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA wakati huo, Mhe. Tundu Lissu, jijini Brussels, Ubelgiji, tarehe 16 Februari 2022. Tukio hili lilikuwa sehemu ya ziara ya Rais Samia barani Ulaya, na lilichukuliwa na wengi kama hatua muhimu katika...
  6. Doji MD

    Kuna muda hizi siasa huwa zinachekesha sana

    Kila Muhula wa Rais mpya wananchi wanasiasa huponda kwakila jambo linalowagusa, Lakini Rais amalizapo tu miaka yake ya uongozi watu umkumbuka nakusema Bora yake kuliko huyu wa Sasa😁 Hata huyu wa Sasa ngoja amalize miaka yake utasikia milio namapambio yawale wale waliombeza
  7. John Manoni

    Siasa za tanzania, kanisa katoliki lipo kwenye maombi ya kufunga kumwomba mungu haki na amani

    Sala na Kazi Ujasiri wa wananchi wanaonyonywa Kinyume na wanamtandao wanyonyaji. Mshikamano kukabiliana na uhuni kwenye uchaguzi dhidi ya waliojipanga kutumia mahakama kuua fikira. Ni kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Nani panya atamfunga paka kengele? Tumrudie Mungu Mwenyezi, Mungu wa Paulo...
  8. Keynez

    Kwanini hukumu ya kesi ya Mwana FA dhidi ya TIGO imeripotiwa kwa makosa?

    Nimepitia vyombo karibia viwili vya habari vilivyoripoti hukumu ya Mahakama ya Rufaa katika kesi inayomuhusu Mwana FA na AY dhidi ya kampuni ya TIGO. Kwa jinsi maamuzi hayo yalivyoripotiwa ni kuwa Mwana FA na AY wameshinda kesi hiyo. Ukisoma vizuri mtiririko wa kesi zenyewe, utagundua uamuzi...
  9. DuaZaMama

    GE2025 Zitto Kabwe: Miezi mitatu ijayo itabadili Siasa za Tanzania

    Mwenyekiti wa zamani wa ACT Wazalendo akiwa kwenye mkutano maalum wa kumteua mgombea urais leo Agosti 6,2025 amesema ,“Wanazuoni, watafiti, kuanzia leo waanze kushika kalamu zao, miezi mitatu inayokuja inakwenda kubadili siasa za Tanzania moja kwa moja.” – Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa...
  10. L

    Picha ya siku kutoka kwa Rais Samia iliyoteka anga la siasa za Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Kwa Hakika Tuna Rais mbele yetu kama Taifa, Tuna kiongozi mwenye upendo na Taifa hili, tuna Jemedari hodari ambaye wakati wote ni Mshindi,tuna kiongozi mwenye maono ,maarifa na akili kubwa mbele yetu,tuna Rais ambaye anajua wajibu wake na kufurahia kazi yake. Tuna...
  11. DR HAYA LAND

    Kuna Watu pamoja kwamba umri umeenda ila hawajui kuelewa maana ndani ya neno analozungumza mtu ona sasa yule mama diplomatic anavyotoswa !.

    Ile kauli kuwa "Kuna li-MTU ambaye tuliamumini anapeleka mambo yetu nje" It was a sign that ur game is over in SISIEMU politics . Sasa kwa age yako Wasifu wako Maisha kijumla. Then unaenda kumuomba mkate MTU ambaye ameshakuonesha waziwazi hakutaki . Sielewi sisi wabantu tuna shida gani...
  12. The Zanzibar Echo

    Uzi wa ushauri, mapendekezo, maoni, ujumbe, changamoto, masuali, na duku duku kuhusu siasa za Tanzania kuelekea uchaguzi mkuu.

    Kila mwenye maoni ushauri changamoto mapendekezo duku duku suali kuhusu kinachoendelea katika siasa za Tanzania na kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu aje hapa
  13. kalisheshe

    Siasa za Tanzania; Mchezo wa Viti, Nguvu na Hila Kama Tamthilia ya Game of Thrones

    Katika siasa za Tanzania, tumeona mwendelezo wa mapambano ya mamlaka yanayofanana na tamthiliya maarufu ya Game of Thrones. Ingawa hatuna mapanga na mizinga ya kale, tuna hila, mikakati ya kisiasa, mapambano ya madaraka, na mapatano ya siri yasiyoeleweka kwa wananchi wa kawaida. Kama ilivyo...
  14. Rorscharch

    Katiba Nzuri Sana Huvunja Taifa Polepole: Hadithi ya Afrika Kusini, Onyo kwa Watanzania

    Kuna maradhi ya kimyakimya yanayoshambulia mataifa ya Kiafrika, si kwa mapanga wala risasi, bali kwa nyaraka nzuri zilizopambwa kwa wino wa kimataifa. Maradhi haya si mengine bali ni imani butu kwamba katiba nzuri, yenye maneno matamu ya haki na uhuru, ni tiba ya kila ugonjwa wa taifa. Afrika...
  15. Tlaatlaah

    Hivi Chadema ni imekaushwa na CHAUMMA au imejikausha yenyewe kwenye medani za siasa za Tanzania kuelekea Uchaguzi mkuu wa October 2025?

    Maana mipango mikakati yake yote ya kujiimarisha kama vile mpango wa kuomba omba pesa za kujikimu kwa viongozi maarufu kama tone tone kidigitali na kwenye kibakuli imekauka, mpango nonsense wa no reform no elections haijulikani tena kama upo au hauko, mkakati wa uropokaji mikutanoni n.k...
  16. Ojuolegbha

    Siasa za fitna haziwezi kuijenga Tanzania, tushikamane na Rais Samia kwa maendeleo

    Siasa za fitna haziwezi kuijenga Tanzania, tushikamane na Rais Dk. Samia kwa maendeleo
  17. GenuineMan

    Mwaka 2015, ni Mwaka ambao utakumbukwa sana kwenye Siasa za Tanzania.

    Kuanzia 2015 kuja hadi sasa, ni tofauti sana na hapo kabla. Ni kama vile wakubwa waliona wakicheka na nyani watavuna mabua, Kilichofuata ni vibano kila sehemu. Media, free speech, n.k Ila kama ilivyo 1995, 2015, 2025 nayo wenda ikakumbukwa sana kwenye historia ya Siasa za Tanzania.
  18. Super Msouth

    Siasa za Tanzania zinafikirisha

    Nawasalimu wanabodi. Watanzania tunacho cha kujifunza kuelekea uchaguzi unaotarajiwa kufanyika mwaka kutokana na aina ya watia nia ambao mpaka sasa wamejitokeza. Bunge lililoisha muda wake naona wana mchango katika hili maana kimsingi ni bunge la ajabu na ovyo kupita mabunge yote niloyafahamu...
  19. Mudawote

    Maoni Yangu Kuhusu Posti ya Waziri wa Mambo ya Ndani: Warumi 13:1–5 na Maudhui Yake Katika Siasa za Tanzania

    Great Thinkers wa JF, Leo nimeona posti ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi akitumia maandiko ya Warumi 13:1–5 wakati Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan alikuwa akikagua gwaride la polisi kufunga vikao vya Bunge. Kwa maoni yangu, hii si tu nukuu ya kidini bali ni ujumbe wa kisiasa uliotumwa kwa...
  20. L

    Hii Ndio Picha Ya Siku iliyopatikana Mkoani Dodoma iliyovutia na kugusa hisia za Wengi katika Anga la Siasa za Tanzania

    Ndugu zangu Watanzania, Kila siku hukucha na mambo yake ,kila siku hutawaliwa na matukio yake ,kila jua lichomozapo huchomoza na mambo yake na kuzama na mambo yake. kila siku uchao kuna mambo huteka na kuwa makubwa kuliko siku yenyewe. Sasa katika siku ya leo kuna picha ya siku imepatikana...
Back
Top Bottom