siasa za tanzania

Siasa za Tanzania
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. Allen Kilewella

    JamiiForums Tanzania Watoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli hawana ushawishi kwenye siasa za Tanzania

    Watoto wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Benjamini William Mkapa na John Pombe Magufuli hawana kabisa ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Tofauti na wenzao watoto wa Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete na sasa Samia Suluhu Hassan, ambao wote wazazi wao kwa nyakati tofauti wameshika...
  2. lugoda12

    JamiiForums Tanzania Wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni?

    Hivi kama wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni? 😂
  3. Pdidy

    JamiiForums Tanzania USHAURI TU: Tukianza kampeni tuwe tunaachia na idadi kadhaa ya wafungwa hata wakirudi kwao waukumbuke uchaguzi uliowatoa

    maombi yangu kwa Mungu mnapoanza kampeni muanze kuwapa msamahq baadhi ya wafungwa kama tunavyowapa siku za sherehe kadhaa mungu wa majeshi awakumbuke kwenye msamaha huu damu ya Yesu ikawafunike mnapowaachia nje wenye haki na wasio na haki amen Amen Amen
  4. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kabla ya Septemba 7 Serikali itakuwa imemuachia Tundu Lissu. Kete hiyo itabadili uelekeo wa siasa za Tanzania. Je, Chadema kushiriki?

    Hamjambo! Kete pekee ambayo imebaki kubadili upepo wa kile kinachoendelea ndani ya taifa hili ni kumtoa Tundu Lissu hasa nyakati hizi ambapo Kampeni za uchaguzi zitakuwa zimepamba moto.. Kumtoa Tundu Lisu Mahabusu kutaipa nguvu Serikali na kuondoa kelele zinazoendelea na matukio mapya...
  5. Castle_Lite

    JamiiForums Tanzania Mbwa, Paka na Panya . Ndio mfano wa Siasa Tanzania

    Huko zamani. Mbwa alikuwa anamfukuza Paka. Na Paka anamfukuza Panya. Uadui huo ulikuwa kila mtu anauona kiuhalisia na kwa vitendo. Nadhan ni kwasababu ya chakula/posho waliyokuwa wanapata. Au pengine kwasababu ya faida waliyokuwa wanapata kwenye makaz ya sisi Binadam(muajiri wao). Ila...
  6. comrade_kipepe

    JamiiForums Tanzania Siasa za Tanzania zinaumiza moyo kuliko mapenzi

    Wakati huo Watanzania halisi wamechoka wamechakaa , huko mikoani umaskini ni wa kutisha bora hata Dar
  7. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Samia: Amos Makalla umekuwa kiongozi mzuri, kwa muda mfupi umeongoza kwa mafanikio makubwa kwa kukiunganisha chama chetu, sasa tumekuongezea jukumu

    Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, akiwemo Amos Makalla aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha ili kuanza rasmi majukumu yao mapya katika utumishi wa umma nchini. Katika hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika Ikulu jijini Dodoma leo Agosti 26, 2025...
  8. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Askofu Laiser: Taifa bila haki ni taifa la kuangamia

    Askofu Dkt. Isaac Kissiri Laiser wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Magharibi Kati Tabora, ametoa wito kwa Watanzania kusimama imara kutetea haki, akisisitiza kuwa bila misingi ya uadilifu na usawa taifa haliwezi kusonga mbele. Akihubiri Agosti 24, 2025 katika ibada...
  9. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Unayaongleaje majina yafuatayo katika siasa za Tanzania?

    Tanzania, kama nchi nyingine duniani, ina viongozi. Yafuatayo ni majina ya baadhi ya viongozi ambao, kama utaombwa kuyaelezea au kuwaelezea unavyowakumbuka, wapenda, wachukia, ubora, uhovyo, nk, utawaelezeaje? Julius Kambarage Nyerere, Abeid Aman Karume, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa...
  10. Jidu La Mabambasi

    JamiiForums Tanzania Ni ukweli CCM inaweza kuwa imeingilia kanzi data ya NIDA!?

    Mnamo mwezi wa nne au tano hivi mwaka huu, sehemu ninayo kaa wakijua kuwa mimi ni kada, alikuja mjumbe kuandikisha namba yangu ya NIDA. Nami sikusita kutoa ushirikiano. Hata hivyo nilijiuliza maswali mengi sana. Sasa naona majibu yanajitokeza yenyewe kupitia Polepole.
  11. Empty containers Tanzania

    JamiiForums Tanzania Ni akili za kijinga hao wanasiasa mnaowapigania wanaishi maisha makubwa , familia za zipo ulaya ila wewe unajitoa sadaka na kuacha watoto wako wadogo

    Niliwahi kuwaambia kuwa Chadema na Ccm hivi Vyama having uadui wowote Ila vina utofauti wa kimtazamo. Hawa sio maadui na hawajawahi kuwa maadui . Kitendo cha MTU kukubali kuuliwa ,kuteswa kisa CCM au chadema ni ukosefu wa akili. Mkija kuuelwa huu mchezo mtakuwa mshapoteza muda mrefu Sana ...
  12. Mlalamikaji daily

    JamiiForums Tanzania Sio kwa ubaya lakini nashauri CCM yale mabasi yenu bora myageuze kuwa mwendo kasi

    Najua hii posti akiona ndugu yangu Lucas lazima atabubujikwa na machozi ya furaha.. Lakini kwa jinsi mwaka huu ulivyo baada ya Chadema kujitoa kwenye uchaguzi Sisiemu hakuna wa kushindana nao.. Hizo gharama ikiwemo na yale mabasi ni bora kuyapeleka kwa wananchi tu.. Sioni ulazima wa kutumia...
  13. Raia Fulani

    JamiiForums Tanzania Mwenye nyumba angekuwepo

    To be honest hali ni mbaya sana kwa site. Sio waislam sio wakristo. Wanalalamika na kulalamikia hali iliyopo. Nipo sehemu nasubiria huduma ya kiserikali, watu utadhani wamefiwa. Ndio mmoja mwenye sigda na kofia yake anasema nyumba haina mwenyewe. Wapangaji wanajiamulia la kufanya. Huduma za...
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Hili katazo la kutoa PhD kwa wanasiasa Ethipia lingeletwa Tanzania, akina Kiliba wangeogopa hata kuwajibu Gwajima

    Wizara ya Elimu nchini Ethiopia imetoa agizo na mwongozo kwa vyuo ambavyo havitoi Shahada ya Uzamivu kuacha mara moja kutunuku shahada za heshima (Honorary Doctorate) kwa viongozi wa kisiasa nchini humo. Tovuti ya Birr Metrics imeripoti kuwa mwongozo huo umetiwa saini na Waziri wa Elimu...
  15. R

    JamiiForums Tanzania Hili joto la kisiasa limepanda sana, tafuteni namna ya kulishusha kwa busara!

    Salaam! 1. Polepole na press zake zisizojibika zimeleta sintofahamu. 2. Gwajima na Press zake pia zimelitibua zaidi. 3. Kuzima mitandao ni sintofahamu ingine. 4. Majizi kuchangia chama, nayo imezidi kuongeza petroli. 5. Nyumba za ibada kufungwa kwa zaidi ya mwezi sasa ni joto Kali sana...
  16. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Rais Samia alipokutana na Tundu Lissu mjini Brussels Ubelgiji mwaka 2022

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan alipokutana na kufanya mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA wakati huo, Mhe. Tundu Lissu, jijini Brussels, Ubelgiji, tarehe 16 Februari 2022. Tukio hili lilikuwa sehemu ya ziara ya Rais Samia barani Ulaya, na lilichukuliwa na wengi kama hatua muhimu katika...
  17. Doji MD

    JamiiForums Tanzania Kuna muda hizi siasa huwa zinachekesha sana

    Kila Muhula wa Rais mpya wananchi wanasiasa huponda kwakila jambo linalowagusa, Lakini Rais amalizapo tu miaka yake ya uongozi watu umkumbuka nakusema Bora yake kuliko huyu wa Sasa😁 Hata huyu wa Sasa ngoja amalize miaka yake utasikia milio namapambio yawale wale waliombeza
  18. John Manoni

    JamiiForums Tanzania Siasa za tanzania, kanisa katoliki lipo kwenye maombi ya kufunga kumwomba mungu haki na amani

    Sala na Kazi Ujasiri wa wananchi wanaonyonywa Kinyume na wanamtandao wanyonyaji. Mshikamano kukabiliana na uhuni kwenye uchaguzi dhidi ya waliojipanga kutumia mahakama kuua fikira. Ni kama kondoo kati ya mbwa mwitu. Nani panya atamfunga paka kengele? Tumrudie Mungu Mwenyezi, Mungu wa Paulo...
  19. Keynez

    JamiiForums Tanzania Kwanini hukumu ya kesi ya Mwana FA dhidi ya TIGO imeripotiwa kwa makosa?

    Nimepitia vyombo karibia viwili vya habari vilivyoripoti hukumu ya Mahakama ya Rufaa katika kesi inayomuhusu Mwana FA na AY dhidi ya kampuni ya TIGO. Kwa jinsi maamuzi hayo yalivyoripotiwa ni kuwa Mwana FA na AY wameshinda kesi hiyo. Ukisoma vizuri mtiririko wa kesi zenyewe, utagundua uamuzi...
  20. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Zitto Kabwe: Miezi mitatu ijayo itabadili Siasa za Tanzania

    Mwenyekiti wa zamani wa ACT Wazalendo akiwa kwenye mkutano maalum wa kumteua mgombea urais leo Agosti 6,2025 amesema ,“Wanazuoni, watafiti, kuanzia leo waanze kushika kalamu zao, miezi mitatu inayokuja inakwenda kubadili siasa za Tanzania moja kwa moja.” – Zitto Kabwe, Kiongozi Mstaafu wa...
Back
Top Bottom