siasa za tanzania

Siasa za Tanzania
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. McLaren

    JamiiForums Tanzania Mnaouliza kwanini Watanzania wameichoka CCM na hawataki kuisikia, picha hii imeeleza vizuri. Hata mimi ningechagua jiwe!

    Wakuu Naomba hii picha ikumbushe watawala kwanini watu wamekisusa chama chao Hata ingekuwa wewe upo kwenye ballot box, kwanini usichague jiwe ukaiacha CCM?
  2. stakehigh

    JamiiForums Tanzania Rais Samia ni muumini wa capitalism. Cheza karata zako vizuri kipindi hiki maana akija Rais mwingine hujui misimamo yake

    Moja ya falsafa kali za kutoka kiuchumi ni kua capitalist mzuri, kwa mfano nchi yetu ni changa sana hivo opportunity ni nyingi sana, Yaani kila sehem ukigusa kuna hela lakini sio kiurahisi ivo, unatakiwa uzingatie vitu hivi kadhaaa 1) President aliepo anasimamia wapi katika vita ya uchumi...
  3. Mjanja M1

    JamiiForums Tanzania Listi ya watu wanaokabia juu kwenye siasa za Tanzania

    Mimi naanza na hawa 1. Prof Utajua hujui 2. Tito Magoti 3. Bongo Zozo Endelea na listi hapo chinii
  4. A

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kuendesha uchaguzi usiokizi vigezo ni uhaini, matumizi Mbaya ya fedha za Tanzania ni uhaini, Kusingizia watu kesi za uhaini ni uhaini, kubaka na kujua

    Kumekuwa na matukio kama kichwa cha habari kinavyo eleza Kwa ufupi. Je Mamlaka husika zipo tayari kuwachukulia hatua wahusika kwa kosa la uhaini na uvunjifu wa Katiba
  5. Bawabu wa pili

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 CCM inatamba na vigogo wa CHADEMA. Joel Nanauka, kijana mzalendo kutoka CHADEMA na badae kuibukia CCM na leo ni waziri

    JOEL NANAUKA ALIONA ISIWE TABU Waziri wa vijana, Mhe. Joel Nanauka aliwahi kugombea ubunge wa Jimbo la mtwara Mjini mwaka 2015 kupitia chama cha Demokrasia na Maendeleo [Chadema] lakini aligonga mwamba akaona isiwe tabu mwaka huu 2025 ameshinda kupitia chama cha Mapinduzi [CCM]. Na hii ikupe...
  6. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania Daniel Sillo, Kiongozi anayejitengeneza historia katika siasa za Tanzania

    Mbunge wa Babati Vijijini, Ndugu Daniel Baran Sillo, ameendelea kuandika historia katika medani ya siasa nchini, hususan mkoani Manyara. Safari yake ya kisiasa ilianza kwa uthubutu na ujasiri mwaka 2015, alipojitosa kwa mara ya kwanza kuwania ubunge, ingawa hakufanikiwa. Hata hivyo, hakurudi...
  7. Carlos The Jackal

    JamiiForums Tanzania Kwanini CCM inawazungumzia sana waliohamsishha maandamano ya amani na imekaa kimya kwa walioua Watanzania?

    Neno langu kwenu ni Moja , MAUAJI YA HALAIKI yaliofanywa nanyi ,HAYAWEZI KUSAHAULIKA KWA NAMNA YOYOTE ILE. Msivyokua na Bahati, Wauaji wengine waliiua huku walisema 'Tunalipa KISASI Cha Wazanzibar walouliwa miaka Ile ". Bahati Mbaya sana, Bunduki na Risasi mlotumia Kuwaua Watanzania...
  8. Criss

    JamiiForums Tanzania Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi?

    Kichaa kapewa rungu . Tuuseme ukweli Maza hakutosha kuwa hata Mwl wa Primary . Reasoning Capacity yake ni ndogo mnoo. Kunamengine yanayotokea hadi unajiuliza ,hivi hadi hili nalo lilikuwa na sababu gani hasa ? Kama Taifa tunanufaikaje na huu upuuzi? tusipokubali kuungana kumkabili tujiandae...
  9. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mwambegele: Tumehakikisha wapiga kura wanapata vituo vya karibu

    Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Mhe. Jaji wa Rufani Jacobs Mwambegele, ametembelea na kujionea maandalizi ya ujenzi wa vituo 83 kati ya 90 vya wapiga kura vilivyotengwa maalum kwa ajili ya wakazi wa maeneo ya zamani ya Kata za Ilangu, Ipwaga, Bulamata na Mishamo, zilizokuwa...
  10. L

    JamiiForums Tanzania Ujinga, kiburi, dharau, majivuno, kutokuona mbele na kukosa maarifa kwa CCM kumewafanya Watanzania wajifunze Ugaidi

    Ukisikia Vijana wa Kitanzania wanavyohamasishana,wanavyofundishana,wanavyopeana mbinu kwa ajili ya maandamano,kwa ajili ya kukabiliana na polisi waziwazi huwezi kuamini kama Tanzania yangu imefikia hapa. Sikuwahi hata siku moja kufikiria kama Watanzania watakuja kufikia Hali hii. Hali hii...
  11. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kagera: Viongozi wa CHADEMA washikiliwa na Polisi kwa kuchochea vurugu

    Jeshi la Polisi mkoani Kagera limewakamata baadhi ya viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa tuhuma za kuhusika na kupanga mikutano na maandamano kinyume cha sheria. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Kagera, Brasius Chatanda, amethibitisha kukamatwa kwa viongozi hao na kueleza...
  12. baz kaiza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

    Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndio tatizo kubwa sana la wananchi wa Tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila...
  13. Magufuli 05

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hayupo kiongozi yeyote Duniani aliyewahi kushinda nguvu ya umma

    Ni suala la muda tu. Unaweza ukawatisha watu kila muda washughulikiwe. Unaweza ukajiita amiri jeshi mkuu, lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yeyote aliyewahi kushinda nguvu y umma. Tusubiri October 29
  14. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Zaidi ya askari 4,000 wasambazwa mtaani kulinda amani ya Tanzania

    Jeshi la Polisi Tanzania limeimarisha maandalizi ya kuhakikisha amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, likionya dhidi ya uchochezi, uzushi na usambazaji wa taarifa zisizo sahihi kwenye mitandao ya kijamii. Msemaji wa Jeshi hilo, DCP David Misime, amesema zaidi ya askari 4,000...
  15. ngara23

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hamasa ya Watanzania kwenye masuala ya siasa inatishia amani ya mafisadi

    Watanzania wameamka mno Story za Yanga na Simba hazitambi mtaani Story za udaku za sijui Diamond kaachana na nani hazitambi Magazeti ya siasa yananunuliwa mno Watu wanahoji mambo ya msingi Kwa uchungu Mtanzania wa Sasa sio wa kipindi cha Mzee Mwinyi Ati kwamba Mtanzania wa Sasa...
  16. Idugunde

    JamiiForums Tanzania Kwa mtanzania makini toka familia duni ukipitia hii orodhaya WanaCCM alafu bado unashabikia kishabiki una matatizo

    Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana.
  17. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Bwege: Katika watu wabaya Siasa za nchini ni Prof. Lipumba, ni mtu wa system na dalali wa CCM

    Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini na Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Selemani Bungala almaarufu "BWEGE" amesema Profesa Ibrahim Lipumba ni moja Kati ya watu wabaya Katika siàsa za Tanzania Kwani yeye ndio aliyechangia kudumaza Chama cha wananchi CUF.
  18. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Florence Samizi kuboresha huduma za afya Muhambwe

    Mgombea Ubunge Jimbo la Muhambwe kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Florence Samizi, ambaye anatetea kiti chake amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne iliyopita Jimbo la Muhambwe lilipokea zaidi ya Bilioni 50 ambazo zimejenga miundo mbinu mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya hivyo kuboresha...
  19. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania Almas (NRA): Nitawalipa Watanzania wote GB 200 kama fidia ya bando walizowaibia kwa miaka yote, mkinichagua kuwa Rais

    Mgombea uraisi kupitia ticket ya Chama cha National Reconstruction Alliance (#NRA) Hassan Almas amewaahidi watanzania kuwa baada ya kuwa Rais atawalipa watanzania wote GB 200 kama fidia kwa wizi wa bando uliokuwa ukifanyika miaka yote ya nyuma. Ameyazungumza hayo leo Septemba 05, 2025 alipokuwa...
  20. tonicimmobility

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kibonde: Sitapunguza Mishahara Wala Posho za Watumishi Nikichaguliwa kuwa Rais

    Mgombea urais kupitia Chama cha MAKINI, Ndg. Coaster Kibonde, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi hatopunguza matumizi ya Serikali wala mishahara na posho za watumishi wa umma. Alisema hatua hiyo inalenga kuongeza morali kazini na kuzuia tamaa ya rushwa ambayo mara nyingi huzaliwa...
Back
Top Bottom