siasa za tanzania

Siasa za Tanzania
Siasa za Tanzania hufanyika katika mfumo wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Muungano, ambapo Rais wa Tanzania ni mkuu wa nchi, Amiri Jeshi Mkuu na mkuu wa Serikali katika mfumo wa vyama vingi.

Tembelea Jukwaa la Siasa
  1. baz kaiza

    GE2025 Tatizo la Watanzania ni Uwajibikaji hata aje Rais kutoka wapi bado atalaumiwa

    Watanzania sisi ni watu wa kupenda kulaumu kuliko Kuwajibika nafikiri hili linaweza kua ndio tatizo kubwa sana la wananchi wa Tanzania. Mfano alikuepo Magufuli lawama zilikua kama zote hata ambao hawakumpigia kura malalamiko yalikua mengi sana. Rais Samia huyu hapa malalamiko kama yote. Ila...
  2. Magufuli 05

    GE2025 Hayupo kiongozi yeyote Duniani aliyewahi kushinda nguvu ya umma

    Ni suala la muda tu. Unaweza ukawatisha watu kila muda washughulikiwe. Unaweza ukajiita amiri jeshi mkuu, lakini ukweli ni kwamba hakuna kiongozi yeyote aliyewahi kushinda nguvu y umma. Tusubiri October 29
  3. tonicimmobility

    Zaidi ya askari 4,000 wasambazwa mtaani kulinda amani ya Tanzania

    Jeshi la Polisi Tanzania limeimarisha maandalizi ya kuhakikisha amani na usalama kuelekea Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, likionya dhidi ya uchochezi, uzushi na usambazaji wa taarifa zisizo sahihi kwenye mitandao ya kijamii. Msemaji wa Jeshi hilo, DCP David Misime, amesema zaidi ya askari 4,000...
  4. ngara23

    GE2025 Hamasa ya Watanzania kwenye masuala ya siasa inatishia amani ya mafisadi

    Watanzania wameamka mno Story za Yanga na Simba hazitambi mtaani Story za udaku za sijui Diamond kaachana na nani hazitambi Magazeti ya siasa yananunuliwa mno Watu wanahoji mambo ya msingi Kwa uchungu Mtanzania wa Sasa sio wa kipindi cha Mzee Mwinyi Ati kwamba Mtanzania wa Sasa...
  5. Idugunde

    Kwa mtanzania makini toka familia duni ukipitia hii orodhaya WanaCCM alafu bado unashabikia kishabiki una matatizo

    Usulutani na ufalme ndani ya Chama ambacho kiliundwa kutetea maslahi ya wakulima na wafanyakazi. 1. Salma Kikwete 2. Ridhiwan Kikwete 3.Wanu Hafidh Ameir 4. Abdul 5. Adul Mwinyi 6. Jesca Magufuli 7. Fred Lowassa 8. Mathayo David 9. Karume 10. Karume 11. Karume Orodha ni ndefu sana.
  6. M

    GE2025 Bwege: Katika watu wabaya Siasa za nchini ni Prof. Lipumba, ni mtu wa system na dalali wa CCM

    Aliyekuwa Mbunge wa Kilwa Kusini na Kada wa chama cha ACT Wazalendo, Selemani Bungala almaarufu "BWEGE" amesema Profesa Ibrahim Lipumba ni moja Kati ya watu wabaya Katika siàsa za Tanzania Kwani yeye ndio aliyechangia kudumaza Chama cha wananchi CUF.
  7. tonicimmobility

    GE2025 Florence Samizi kuboresha huduma za afya Muhambwe

    Mgombea Ubunge Jimbo la Muhambwe kupitia Chama cha Mapinduzi CCM Dkt. Florence Samizi, ambaye anatetea kiti chake amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne iliyopita Jimbo la Muhambwe lilipokea zaidi ya Bilioni 50 ambazo zimejenga miundo mbinu mbalimbali ikiwemo sekta ya Afya hivyo kuboresha...
  8. tonicimmobility

    Almas (NRA): Nitawalipa Watanzania wote GB 200 kama fidia ya bando walizowaibia kwa miaka yote, mkinichagua kuwa Rais

    Mgombea uraisi kupitia ticket ya Chama cha National Reconstruction Alliance (#NRA) Hassan Almas amewaahidi watanzania kuwa baada ya kuwa Rais atawalipa watanzania wote GB 200 kama fidia kwa wizi wa bando uliokuwa ukifanyika miaka yote ya nyuma. Ameyazungumza hayo leo Septemba 05, 2025 alipokuwa...
  9. tonicimmobility

    GE2025 Kibonde: Sitapunguza Mishahara Wala Posho za Watumishi Nikichaguliwa kuwa Rais

    Mgombea urais kupitia Chama cha MAKINI, Ndg. Coaster Kibonde, amesema endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi hatopunguza matumizi ya Serikali wala mishahara na posho za watumishi wa umma. Alisema hatua hiyo inalenga kuongeza morali kazini na kuzuia tamaa ya rushwa ambayo mara nyingi huzaliwa...
  10. Allen Kilewella

    Watoto wa Nyerere, Mkapa na Magufuli hawana ushawishi kwenye siasa za Tanzania

    Watoto wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Benjamini William Mkapa na John Pombe Magufuli hawana kabisa ushawishi kwenye siasa za Tanzania. Tofauti na wenzao watoto wa Ali Hassan Mwinyi, Jakaya Mrisho Kikwete na sasa Samia Suluhu Hassan, ambao wote wazazi wao kwa nyakati tofauti wameshika...
  11. lugoda12

    Wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni?

    Hivi kama wasingetoa haya magari ya bure unahisi huyu jamaa angetumia usafiri gani katika kampeni? 😂
  12. Pdidy

    USHAURI TU: Tukianza kampeni tuwe tunaachia na idadi kadhaa ya wafungwa hata wakirudi kwao waukumbuke uchaguzi uliowatoa

    maombi yangu kwa Mungu mnapoanza kampeni muanze kuwapa msamahq baadhi ya wafungwa kama tunavyowapa siku za sherehe kadhaa mungu wa majeshi awakumbuke kwenye msamaha huu damu ya Yesu ikawafunike mnapowaachia nje wenye haki na wasio na haki amen Amen Amen
  13. Robert Heriel Mtibeli

    GE2025 Kabla ya Septemba 7 Serikali itakuwa imemuachia Tundu Lissu. Kete hiyo itabadili uelekeo wa siasa za Tanzania. Je, Chadema kushiriki?

    Hamjambo! Kete pekee ambayo imebaki kubadili upepo wa kile kinachoendelea ndani ya taifa hili ni kumtoa Tundu Lissu hasa nyakati hizi ambapo Kampeni za uchaguzi zitakuwa zimepamba moto.. Kumtoa Tundu Lisu Mahabusu kutaipa nguvu Serikali na kuondoa kelele zinazoendelea na matukio mapya...
  14. Castle_Lite

    Mbwa, Paka na Panya . Ndio mfano wa Siasa Tanzania

    Huko zamani. Mbwa alikuwa anamfukuza Paka. Na Paka anamfukuza Panya. Uadui huo ulikuwa kila mtu anauona kiuhalisia na kwa vitendo. Nadhan ni kwasababu ya chakula/posho waliyokuwa wanapata. Au pengine kwasababu ya faida waliyokuwa wanapata kwenye makaz ya sisi Binadam(muajiri wao). Ila...
  15. comrade_kipepe

    Siasa za Tanzania zinaumiza moyo kuliko mapenzi

    Wakati huo Watanzania halisi wamechoka wamechakaa , huko mikoani umaskini ni wa kutisha bora hata Dar
  16. tonicimmobility

    Samia: Amos Makalla umekuwa kiongozi mzuri, kwa muda mfupi umeongoza kwa mafanikio makubwa kwa kukiunganisha chama chetu, sasa tumekuongezea jukumu

    Rais Samia Suluhu Hassan amewaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni, akiwemo Amos Makalla aliyeteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha ili kuanza rasmi majukumu yao mapya katika utumishi wa umma nchini. Katika hafla hiyo ya uapisho iliyofanyika Ikulu jijini Dodoma leo Agosti 26, 2025...
  17. tonicimmobility

    Askofu Laiser: Taifa bila haki ni taifa la kuangamia

    Askofu Dkt. Isaac Kissiri Laiser wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dayosisi ya Magharibi Kati Tabora, ametoa wito kwa Watanzania kusimama imara kutetea haki, akisisitiza kuwa bila misingi ya uadilifu na usawa taifa haliwezi kusonga mbele. Akihubiri Agosti 24, 2025 katika ibada...
  18. The Father of All

    Unayaongleaje majina yafuatayo katika siasa za Tanzania?

    Tanzania, kama nchi nyingine duniani, ina viongozi. Yafuatayo ni majina ya baadhi ya viongozi ambao, kama utaombwa kuyaelezea au kuwaelezea unavyowakumbuka, wapenda, wachukia, ubora, uhovyo, nk, utawaelezeaje? Julius Kambarage Nyerere, Abeid Aman Karume, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin Mkapa...
  19. Jidu La Mabambasi

    Ni ukweli CCM inaweza kuwa imeingilia kanzi data ya NIDA!?

    Mnamo mwezi wa nne au tano hivi mwaka huu, sehemu ninayo kaa wakijua kuwa mimi ni kada, alikuja mjumbe kuandikisha namba yangu ya NIDA. Nami sikusita kutoa ushirikiano. Hata hivyo nilijiuliza maswali mengi sana. Sasa naona majibu yanajitokeza yenyewe kupitia Polepole.
  20. Mtu wa Majira na Nyakati

    Ni akili za kijinga hao wanasiasa mnaowapigania wanaishi maisha makubwa , familia za zipo ulaya ila wewe unajitoa sadaka na kuacha watoto wako wadogo

    Niliwahi kuwaambia kuwa Chadema na Ccm hivi Vyama having uadui wowote Ila vina utofauti wa kimtazamo. Hawa sio maadui na hawajawahi kuwa maadui . Kitendo cha MTU kukubali kuuliwa ,kuteswa kisa CCM au chadema ni ukosefu wa akili. Mkija kuuelwa huu mchezo mtakuwa mshapoteza muda mrefu Sana ...
Back
Top Bottom