Tanzania, kama nchi nyingine duniani, ina viongozi. Yafuatayo ni majina ya baadhi ya viongozi ambao, kama utaombwa kuyaelezea au kuwaelezea unavyowakumbuka, wapenda, wachukia, ubora, uhovyo, nk, utawaelezeaje?
Julius Kambarage Nyerere,
Abeid Aman Karume,
Ali Hassan Mwinyi,
Benjamin Mkapa...