sekta binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Zero Competition

    Ukiwa muajiriwa wa sekta binafsi punguza majivuno

    Sekta binafsi ndo inaongoza kwa kutoa ajira nchini na hata duniani kote lakini ukiwa muajiriwa wa sekta binafsi amini kwamba kesho asubuhi unaweza amka ukaenda ofisini kisha ukakuta barua yako ya kuachishwa kazi iko mezani inakusubiri Jambo lingine ni kwamba ukiwa muajiriwa wa sekta binafsi...
  2. ndege JOHN

    Hii sera ya kushirikisha sekta binafsi tuwe nayo makini tusije tukawanyima fursa watumishi wa umma hasa wanaotegemea activities wapate hela

    sikatai kweli utendaji kazi wa serikali upo chini ya kiwango lakini ikumbukwe sababu zinaweza kuwa ni nyingi. Maslahi duni na kufanya watumishi kuchoka choka Madeni waliyonayo yanawatia stress Uongozi mbaya unakuta top management wanakula wao tu huku wafanyakazi wa chini wakibaki kuangalia na...
  3. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile: Sekta Binafsi Kuingia Kwenye Usafirishaji wa Reli (MGR & SGR)

    Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile akimwakilisha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dkt. Doto Biteko leo Oktoba 01, 2024 amezindua usafirishaji wa bidhaa mbichi zikiwemo mbogamboga na matunda kwa treni, kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) kutoka Morogoro kwenda Dar es Salaam...
  4. M

    Kwa mwenye ufahamu wa mishahara ya wapiga picha (wachanganya picha) kwenye hizi media binafsi

    Kuna kijana amehitimu maswala ya videography na target yake ni kwenda kwenye hizi media Kama wasafi, clouds, eatv etc . (Anachangamoto/ majukumu kidogo kweny familia ijapokuwa hana kipato cha kueleweka) Kutokana na maisha yalivyo ni muhimu kufahamu hata mishahara tu ya waliopo kweny ajira...
  5. Liverpool VPN

    Achana na UTT, unazijua "Mutual Funds" za sekta binafsi?

    INTRODUCTION:- Mpo raia wotee hasa chama langu la KATAA NDOA?? Mmejiandaaje na 23/09 THE REVOLUTION DAY?? BODY:- Anyway; turudi kwenye mada. Ukitoa hizi harakati za ""KATAA NDOA"" mimi bana ni msomi, sijui nijiite hivyo?? Ila kifupi nina elimu ya Finance, Economics, and Investment...
  6. JanguKamaJangu

    FCS: Tumeandaa mpango kazi utakaosaidia AZAKi kiuchumi na kuziunganisha na Sekta Binafsi

    Shirika la Foundation for Civil Society (FCS), limeandaa mpango kazi utakaosaidia AZAKi kujikwamua kiuchumi kutokana na ushirikano utakaozikutanisha pamoja na Sekta Binafsi katika utekelezaji wa shughuli zao mbalimbali za maendeleo katika jamii. Afisa Oparesheni na rasilimali watu wa FCS, Karin...
  7. F

    Sekta binafsi ipewe nafasi kwenye uendeshaji na uwekezaji katika miundombinu treni, ndege na mabasi ya mwendokasi

    Mheshimiwa rais, Tayari tuna ndege, treni na mabasi ya mwendokasi. Tayari tuna miundombinu mizuri na adimu katika bara la Africa kama viwanja vya ndege, SGR na BRT. Lakini bado huduma katika maeneo yote hayo sio nzuri. SGR tumeanza jana tu lakini dadili sio nzuri,. Sustainability. Hakuna...
  8. MamaSamia2025

    Kama mshahara ni chini ya Tsh 150,000/= kwa mwezi bora useme unatangaza nafasi za utumwa kuliko useme ni nafasi za kazi

    Leo nimesikitika sana baada ya kusoma uzi wa jamaa anayetaka wahudumu wa mgahawani kwa mshahara wa Tsh 2000/= kwa siku kwa hoja kwamba watakula bure mgahawani. Watu wengi kwenye ule uzi wamempinga vikali mleta mada. Mimi pia niliandika comments za kupinga huo ujinga. Ninawasihi waajiri binafsi...
  9. Stephano Mgendanyi

    Naibu Waziri Kihenzile: Sekta Binafsi Nunueni Ndege Mzilete Tanzania

    Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile amewataka Wadau wa Sekta binafsi na Wadau wa usafirishaji kwa njia ya anga waliopo ndani na nje ya Nchi kuwekeza katika ununuzi wa ndege ili kuunga mkono jitihada za Serikali za kuboresha usafiri wa anga hapa Nchini. Mhe. David Kihenzile ametoa...
  10. J

    MJADALA: Je, unapendekeza Serikali na Sekta Binafsi zifanye nini cha tofauti ili kuondoa tatizo la ajira nchini?

    Takwimu za Benki ya Dunia na Taasisi ya Utafiti wa Maendeleo ya Jamii na Uchumi (REPOA) zinakadiria takriban watu 800,000 hadi 1,000,000 huingia katika Soko la Ajira Tanzania kila Mwaka, ambapo wanaopata kazi ni kati ya 60,000 hadi 200,000 tu Je, unapendekeza Serikali na Sekta Binafsi zinafanye...
  11. B

    Mwenyekiti wa TPSF, Bi. Angelina akizungumzia changamoto ya wafanyabiashara sekta binafsi

    WADAU WA TPSF 'WAICHARUKIA' TRA / WADAI KUKADIRIWA KODI ZA 'UWONGO'/ RUSHWA YATAJWA https://m.youtube.com/watch?v=j869hATU_8U Biashara ya usafirishaji kwa asilimia 75 tunafanya na nchi za kusini za SADC, asilimia 25 iliyobaki tunafanya na Bururundi, Rwanda hilo serikali iliangalie Sheria za...
  12. Macbook pro

    Nini kilikufanya ukaacha ajira ya serikalini ukaingia sekta binafsi?

    Habari zenu ndugu zangu na wanajamvi letu pendwa la HHM. Nimekuja kwenu tena kama mwanajamvi kujifunza kitu kutoka kwenu. Kama utafuatilia hapo nyuma niliweka uzi wangu juu ya kukosa morali na mvuto na ajira yangu. Labda niweke hivi, Kabla sijaingia kwenye ajira nilikuwa na kibiashara changu...
  13. Membe S K

    Nafasi ya Sekta binafsi kwenye uchumi wetu

    NAFASI YA SEKTA BINAFSI KWENYE UCHUMI WETU Andiko hili linaongelea nafasi na umuhimu wa sekta binafsi katika uchumi na maendeleo yetu tangu tulipoubwaga ujamaa wa Mwl Nyerere na kuingia kwenye mfumo wa kibepari. Kiufupi andiko hili linasema kwamba mchango wa sekta binafsi katika pato la taifa...
  14. K

    SoC04 Ushirikishwaji wa sekta binafsi katika miradi ya serikali

    Tumeona serekali yetu ikitekeleza miradi mipya ya kimikakati mikubwa kama ujenzi wa reli ya kisasa mabasi ya mwendo kasi na bwawa la kufua umeme la mwalimu nyerere hii yote ikiwa ni mipango na mikakati ya kufikisha huduma bora kwa jamii. Tumeona treni ya SGR imekamilika na kuanza kazi...
  15. Jasson kweyamba apolinary

    SoC04 Kuwa na Tanzania bora kwa miaka 25 ijayo inahitaji juhudi na mchango wa jamii nzima

    Kuwa na Tanzania bora kwa miaka ishirini na tano zijazo inahitaji juhudi na mchango wa jamii nzima, ikiwa ni pamoja na serikali, sekta binafsi, mashirika ya kijamii, na wananchi wenyewe. Hapa kuna mapendekezo kadhaa ya mambo ambayo serikali na jamii wanaweza kufanya kuboresha Tanzania: 1. Elimu...
  16. H

    SoC04 Ni vyema Wananchi waelimishwe kuhusu ubia kati ya serekali na sekta binafsi katika miradi ya maendeleo

    Ubia kati ya Serikali na sekta binafsi katika miradi ya maendeleo ( public private partnership), katika kuleta maendeleo ya kuichumi ni muhimu, kwa Tanzania ubia kati ya serekali na sekta binafsi unaongozwa na kanuni na sheria na sera ya ubia yani (public private partnership regulations of...
  17. M

    SoC04 Jinsi Tanzania Inavyoweza Kushirikiana na Sekta Binafsi na Jamii Kukabiliana na Tatizo la Ajira kwa Vijana

    Tatizo la ajira kwetu sisi vijana apa Tanzania limekuwa changamoto kubwa ambayo inahitaji suluhisho la haraka na endelevu. Kwa kuzingatia umuhimu wa kuweka mikakati madhubuti, serikali, sekta binafsi, na jamii tunaweza kushirikiana katika kumaliza tatizo hili. Kwanza, kuwekeza katika elimu na...
  18. J

    Serikali kushirikiana na sekta binafsi katika utekelezaji wa miradi

    SERIKALI KUSHIRIKIANA NA SEKTA BINAFSI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI. Wizara ya Ujenzi imeanza utaratibu wa kushirikisha sekta binafsi kwa utaratibu wa ubia (PPP)katika kutekeleza miradi ya miundombinu. Haya yamebainishwa na Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa wakati wa kuwasilisha makadirio...
  19. Suley2019

    Serikali kuunga mkono uwekezaji wa sekta binafsi hasa katika sekta ya mawasiliano

    DAR ES SALAAM: WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesisitiza nia ya Serikali kuunga mkono uwekezaji wa sekta binafsi hasa katika sekta ya mawasiliano. Waziri Nape ametoa kauli hiyo wakati wa hafla ya utiaji saini wa makubaliano ya ujenzi wa minara ya...
  20. S

    Kwanini kuna vita baridi kati ya taasisi za serikali na sekta binafsi?

    Amani iwe nanyi nyote. Kuna jambo moja naliona na si kuona tu Kila mwenye Biashara analalamika Wafanyabiashara wa magari wanalalamikia LATRA na TRA Kwa uwepo wa ukwamishshaji na kutengeneza mambo Magumu ili kufungua mwanya wa rushwa, Mifumo kutoingiliana Nikiwa na maana kwamba Unapoanza kufanya...
Back
Top Bottom