sanaa

  1. Mshana Jr

    Sanaa ya kufa

    Kuna hii mada yangu niliandikq mwaka 2016 miaka minne hivi baada ya kujiunga JF.. Lakini kiuhalisia ni mada niliyoiandika kwenye daftari mwaka 1998 ikiwa ni maandalizi ya kuandika kitabu (6,646) Sanaa ya kifo | JamiiForums Sanaa ya kifo Kifo pia ni sanaa na kuna sanaa ya kifo halafu kufa pia...
  2. Jeep wrangler

    GE2025 Wajumbe-CCM kazi yenu ni njema sanaa

    Sio mbaya mara moja moja moja kumsifia adui yako. Hii ni mbinu ya kale ya kivita. Gekul ulikula kodi za wananchi kwa biashara haramu ya manunuzi ya binadamu awamu ya 5, karibu uraiani. Mollel.....nawe ulitamani mapato ya aibu, ukala kodi zetu kwa dharau. Waitara Mwita, ukaona ujipatie pesa...
  3. Mshana Jr

    3D painting/drawing: Sanaa pande tatu

    Hii nayo ni tawi la sanaa danganyifu ya macho yenye kuakisi uhalisia ambao haupo.. Ni aina ya sanaa ya uchoraji ama upakaji rangi pande tatu (three dimensions) Hii sanaa huweza kuifanyia michezo akili yako kupitia macho na kukufanya uone kitu halisi ambacho si halisi Nchi za wenzetu waliowekeza...
  4. Mshana Jr

    Sanaa ya sculpture

    Sculpture ni tawi la sanaa ya uchongaji lenye sura tatu linaloundwa kwa kuchagiza au kuchanganya nyenzo kama vile udongo, mbao, chuma au mawe na hata plastic Ni tawi la sanaa ya kuona (visual art) ambayo inaelezea uwezekano wa kimwili na wa kujieleza wa umbo katika nafasi. Michongo inaweza...
  5. W

    Hivi kuna Wasabato maarufu hapa Tanzania kwenye sanaa, michezo, siasa, system, biashara, n.k

    Sijaanzisha post hii kwa lengo lolote la kidini, ni pure curiosity. Ni kawaida kwamba kundi lolote linapokuwa na idadi kubwa ya waumini au wafuasi, huanza pia kuzaa watu maarufu kwenye medani mbalimbali—iwe ni kwenye siasa, sanaa, michezo, biashara, au hata kwenye system. Lakini kwa upande wa...
  6. Mshana Jr

    Sanaa ya upambaji chupa

    Kuna mfanyabiashara mkubwa sana wa chupa tupu Tanganyika ni mwana JF mwenzetu... Na ofisi zake kubwa kubwa zipo Dar.. Wilaya ya Ubungo na Temeke.. Nadhani na mikoani pia ana matawi Ni mfanyabiashara mkubwa kwakuwa anasafirisha mpaka nje ya nchi hasa Zambia, Rwanda na Kenya Ni mahiri kwenye hii...
  7. Metronidazole 400mg

    Uchaguzi huu lazima aliyekalia kiti ashinde tu, tena kirahisi sanaa

    Na akishinda tegemeeni hali ya maisha yenu yataendelea kuwa magumu mno, kuanzia hela ya kula na hata matumizi madogo madogo ya kifamilia haitawezekana. Maisha yatazidi kuwa magumu na hali ya uhalifu itashika kasi hapa nchini, watu wa kawaida watauana wao kwa wao Uchumi wa nchi utaendelea kuwa...
  8. Waufukweni

    Prof. Mkumbo aweka wazi Sekta 5 kinara wa Uchumi 2025/26. Sanaa na Burudani yashangaza kwa Ukuaji mkubwa

    Akiwasilisha Bungeni taarifa ya Hali ya Uchumi kwa mwaka 2024 na Mpango wa Maendeleo wa Taifa kwa mwaka 2025/26, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo, ameweka mambo hadharani kwa msisitizo mkubwa akitaja sekta tano zilizoshika hatamu kwa kasi ya ukuaji wa...
  9. Stephano Mgendanyi

    Sanaa za Michezo Zinapewa Kipaumbele Katika UMITASHUMTA & UMISSETA

    SANAA ZA MICHEZO ZINAPEWA KIPAUMBELE KATIKA UMITASHUMTA & UMISSETA Ngoma za asili, kwaya na Muziki wa Kizazi kipya (Bongo Flavor) ni sehemu ya fani ambazo zimekuwa zikishindaniwa katika Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Tanzania kwa shule za Msingi na Sekondari (UMITASHUMTA &...
  10. Just Pray

    Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo asisitiza dabi ya Kariakoo iko palepale

    Wakuuu Serikali inasisitiza Dabi iko palepale, ile kauli ya 'HATUCHEZI' imeishia wapi? == Serikali imethibitisha rasmi kuwa pambano kubwa la watani wa jadi Yanga dhidi ya Simba litapigwa kama ilivyopangwa, Juni 15, 2025, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Katika kipindi cha...
  11. U

    Ndege za Israel yashambukia uwanja wa ndege wa Sanaa muda huu

    Wadau hamjamboni nyote? The Israeli Air Force is carrying out strikes on the Houthi-held Sanaa International Airport in Yemen, according to local media. The strikes come after repeated Houthi missile attacks on Israel in recent days. Earlier this month, also after repeated attacks...
  12. Mshana Jr

    Sanaa ni kila kitu

  13. Waufukweni

    Dkt. Thea Ntara: Wasanii wanaovaa vibaya na Wanawake wanaocheza vigodoro wakiwa wamelowesha nguo wakamatwe

    Mbunge wa Viti Maalum Dkt. Thea Ntara ametaka Serikali kuwachukulia hatua wasanii wanaovaa bila kuzingatia maadili akisema kuwa msanii sio kuvaa nguo za ajabu au kuimba nyimbo za matusi Ametoa kauli hiyo akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya bajeti Wizara ya Maendeleo ya jamii, Jinsia...
  14. Waufukweni

    Bajeti ya Michezo, Utamaduni na Sanaa 2025/26 yapaa kwa 82.2% hadi TSh Bilioni 519.66 kwa maandalizi ya CHAN na AFCON

    Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeidhinishiwa bajeti ya TSh bilioni 519.66 kwa mwaka wa fedha 2025/26, ongezeko la takriban asilimia 82.2 ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2024/25 ya Shilingi bilioni 285.3. Pia, Soma: Waziri Kabudi aomba Bunge kupitisha Bajeti ya TSh 519.66...
  15. Ojuolegbha

    Katika kipindi cha Julai 2024 hadi Aprili 2025, Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania umetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.69 kwa miradi

    Katika kipindi cha Julai 2024 hadi Aprili 2025, Mfuko wa Utamaduni na Sanaa Tanzania umetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.69 kwa miradi 143 ya utamaduni na sanaa.
  16. chiembe

    Mhimili wa CHADEMA katika sanaa wakatika, Ney wa Mitego akana kuwahi kuwa MwanaCHADEMA, Jumatatu ijayo atafyatua santuri matata sana

    Ney wa Mitego sasa ni rasmi kaamua kuachana na chadema. Kila binadamu ana wakati wa kung'amua mambo ya hovyo halafu akatae kutumika vibaya. Ney amewahi kuimba nyimbo nyingi lakini chadema hawajawahi kumualika hata mara moja atumbuize
  17. Mshana Jr

    Ni wazi sasa ana vinasaba na sanaa.. Na pengine uwaziri wa sanaa na michezo ndio saizi yake

    Pale alipokuwa kawekwa kabla ya hapa ilitokea kwa bahati mbaya tena sana! Na kwakuwa ile nafasi ni sawa na joka la kibisa.. Hatukuweza kuona ombwe! Hatukuweza kuona uhalisia.... Baada ya asili kuamua ile ugomvi mkubwa, tukadhani tumesalimika sana.. Kumbe ilikuwa ni sawa na kuruka kubwa kisha...
  18. Echolima1

    Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa “Uwanja wa ndege wa Sanaa waangamizwa”

    Habari za kuaminika uwanja wa ndege wa Sanaa waangamizwa na ndege zote zilikuwepo uwanjani hapo zimeteketezwa bila huruma yoyote. Waliokuwa wanawasifia hawa Vibaka Njoo I tena muwasifie kipigo cha leo ni katika kuwatia adabu kutokana na jaribio lao la kupiga uwanja wa ndege wa Ben Gurion...
  19. S

    Stand up comedy watanzania wanahitaji kuelimishwa watofautishe Sanaa ya uchekeshaji na uropokaji

    Hawa ni vijana wenzangu wanajitafta! Inchi imepanua sana wigo wa ajira kupitia sanaa! Serikali inatumia kila mbinu kuwainua vijana hata kwa motisha! Stand up comedy kuna vijana wachache sana tanzania wenye ubunifu wa kisanii! Wengi wao wanaropoka tu pasipo kuchuja maneno! Sijui ni bangi...
  20. LIKUD

    Kazi ya upromota wa muziki na sanaa kwa ujumla wake inalipa sana

    Graduates msio na ajira na ambao mna mapenzi na muziki na Sanaa kwa ujumla jaribuni upromota hamtojuta as long unapenda kazi hiyo unapenda muziki na burudani etc coz kazi yoyote ili kufanikiwa lazima uipende kwanza. Nili ingia kwenye kazi hii kama hoby tu coz napenda sana muziki na starehe and...
Back
Top Bottom