Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.
Polepole Septemba 30, 2025 aliendelea kusisitiza kuwa uteuzi wa Dkt. Nchimbi kama mgombea mwenza wa Rais Samia, ulikumbwa na kashikashi ambazo zilipelekea kutaka kumtoa. Lakini wale anaowaita CCM mtandao walimtisha mama Samia kuwa hatakiwi kumtoa Emmanueli Nchimbi.
Polepole anasisitiza kuwa...
Wakuu, sasa hivi ni saa 4 asubuhi lakini sioni chochote kinachoendelea. Je, CCM wamemaliza kampeni zao pale Babati, Manyara? Au kile kikao cha dharura cha Halmashauri Kuu ya CCM kimeathiri mwenendo wa kampeni? Naomba ufafanuzi.
Mbunge mstaafu wa Babati Mjini, Pauline Gekul amesema wananchi wa babati hawana deni kwa mgombea urais wa Tanzania kwa tiketi ya CCM, Samia Suluhu Hassan kwani ni kama ameipendelea Babati kwa kufanya mambo mengi makubwa.
Gekul ametoa kauli hiyo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni za Samia...
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewahakikishia wakazi wa Kanda ya Kaskazini kuwa Mkoa wa Arusha utapewa kipaumbele cha kipekee endapo ataaminiwa kuunda serikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
Chama Cha Mapinduzi CCM Jimbo la Musoma Mjini kimelaani tukio la watu wanaotajwa kikundi cha vijana waliochana na kutoboatoboa mabango ya mgombea wao wa urais Dkt.Samia Suluhu Hassan ambayo yamebandikwa maeneo mbalimbali ya Mji wa Musoma na kudai kitendo hicho hakikubaliki.
Hayo yamejiri ikiwa...
Waendesha bodaboda jiji la Mwanza wamefanya maandamano ya amani ikiwa ni maandalizi ya kumpokea mgombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi CCM DKT. Samia Suluhu Hassan.
Wakizungumza Jijini Mwanza na waandishi wa habari, baadhi ya bodaboda hao akiwemo Mwenyekiti wa Umoja wa Bodaboda...
Ndugu zangu Watanzania,
Haihitaji Elimu ya Dini kulitambua hili, haihitaji uoteshwe ndoto kulifahamu hili. Kwa hakika Pasipo shaka wala wasiwasi wala kigugumizi wala simile wala hofu ni dhahiri na wazi kabisa kwa ishara zote ya kuwa Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania...
Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi( CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake itaendelea kutoa ruzuku ya pembejeo na mbolea kwa wakulima kwa lengo la kuongeza uzajilishaji wa chakula.
Akizungumza na wananchi wa Arumeru mkoani Arusha, Oktoba Mosi 2025, Samia alisema sababu ya...
Mkulima na pia Balozi wa Shina namba 2, Kitongoji cha Mkwajuni, Kijiji na Kata ya Mwenge Mtapika, Wilaya ya Masasi, Nickson Amlima, ametangaza kutumia fedha alizopata kutokana na mauzo ya zao la mbaazi tani 11, kufadhili safari yake ya kuzunguka nchi nzima na Rais Dk. Samia Suluhu Hassan katika...
Leo oktoba 01, 2025 Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi, (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan atawasili katika Mkoa wa Arusha Katika Jimbo la Arusha Mjini kuanza Mikutano yake ya Kuomba Kampeni kuomba Kura kwa Wananchi. Kupitia Ujio huo Wadau mbali mbali wa...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa kila mwananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura na kukichagua CCM kwenye uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, akiahidi kuendelea kuwatumikia wananchi kwa kusogeza huduma za...
Wakuu! Namuonea sana huruma Samia na hizi ahaadi zake! Naona anavyoendelea kujichimbia shimo refu sana kwa wananchi.
Na sioni kama atafanikiwa kutekeleza hata kwa asilimia 20. Mimi nipo siti ya mbele nasubiri kuona :cool:
==================
Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye amesema kuwa katika vikao vyake CCM haikukurupuka kumpitisha Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, bali walijiridhisha kuwa mgombea huyo anatosha...
Wafugaji waliojitokeza kusikiliza mkutano wa Kampeni za mgombea Urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan wamesema watamchagua kwa kuwa amelisaidia kundi hilo kwa kuwapatia ruzuku bure ya dawa na utekelezaji wa mpango wa kujenga majosho katika vijiji vyote vilivyo na wafugaji.
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa serikali yake itajenga uwanja mkubwa wa michezo katika eneo la Msoga, Chalinze, mkoani Pwani iwapo atapata ridhaa ya wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025...
Mtu anataka kuhalalisha uoga uliopo tayari. Ungekuwa kweli hakuna hofu, basi isingehitajika kutamka hivi.
=================
"Tunaomba kura zenu Wanamsata, la muhimu sana Wanamsata, tarehe 29 mwezi wa 10, Mwenyezimungu tumuombe atuamshe salama, ukitoka kuelekea kituo cha kura, tunasema twende...
Mgombea wa kiti Cha Urais Kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi(CCM)Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa usanifu wa upanuzi wa Barabara ya Njia sita kutoka maili moja Hadi Chalinze lakini pia Kutakuwa na ujenzi wa barabara ya Mabasi yaendayo haraka kutoka Kibaha Hadi Chalinze itakayojengwa Kwa ubia...
Seleman Bungara maarufu "Bwege" amemtaka Rais Samia kutoa majibu kuhusu tuhuma zinazohusu kutekwa kwa baadhi ya watu, Bwege amesisitiza kuwa kukaa kimya katika tuhuma hizo ni sawa na kuthibitisha ukweli wake. Amesema kuwa kama Rais atatoa majibu, wananchi wataweza kuyapima maneno yake dhidi ya...
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Stephen Wasira, amesema kuwa kwa miaka minne ya uongozi wake, Rais Dk. Samia Suluhu Hassan amefanikisha mambo makubwa, hivyo Watanzania wanapaswa kumrudisha madarakani ili aendelee kuleta maendeleo.
Wasira amesema hayo leo, Septemba 27, 2025...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.