Samia Suluhu Hassan, Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), ameeleza kuwa ikiwa Chama hicho kitapewa ridhaa Oktoba, 29, 2025, Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na ile ya Mapinduzi Zanzibar, zitaendelea kushirikiana pamoja katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Tanzania...