samia suluhu hassan

Samia Suluhu Hassan (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and current president of Tanzania. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party. Suluhu is the third female head of government of an East African Community (EAC) country, after Sylvie Kinigi in Burundi and Agathe Uwilingiyimana in Rwanda, and is also the first female president of Tanzania. She took office on 19 March 2021 after the death of President John Magufuli on 17 March 2021.
A native of Zanzibar, Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the Vice-Chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.
Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. PAYE

    GE2025 Hata Wazungu kutoka Denmark wanafurahia kampeni za Samia

    Huko Karagwe, mkoani Kagera, shamrashamra za kampeni za mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, zimevutia siyo tu wakazi wa eneo hilo bali pia wageni kutoka Denmark waliokuwa wakifanya kazi zao maalumu katika eneo hilo. Ripota wetu ameshuhudia wageni hao wakivutiwa na...
  2. PAYE

    GE2025 Nassibu Kitabu: Samia ni lulu, msitishike na kitu chochote dola ipo, mkapige Kura

    Mgombea Udiwani wa Kata ya Jangwani, Wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Nassibu Hassan Kitabu, ametoa wito kwa wananchi wa kata hiyo kutoogopa vitisho vinavyoenezwa na baadhi ya watu wanaopanga kuzuia Uchaguzi Mkuu kupitia maandamano. Akizungumza...
  3. Waufukweni

    GE2025 Samia: Tumetimiza ndoto na maono ya Baba wa Taifa, Mwl. Nyerere

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Awamu ya Sita, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema serikali yake ya awamu ya sita kwa kushirikiana na ile ya awamu ya tano zimefanikiwa kutekeleza kwa vitendo maono na fikra za Baba wa Taifa...
  4. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Tutajenga tawi la (JKCI) hapa Geita ili mpate matibabu ya moyo

    Mgombea urais kupitia chama C ha Mapinduzi CCM Samia Suluhu Hassan ameahidi ujenzi wa tawi kama la Taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete JKIC mkoani Geita ili kuhakiksha watu wa Geita wanapata matatibu ya moyo bila kutoka nje ya mkoa huo. Rais Samia ameyasema hayo leo Oktoba 13, 2025 katika...
  5. Waufukweni

    GE2025 Rais wa Wachimbaji Madini: Napendekeza moja ya madini tuyabadilishe jina yaitwe 'Samia Suluhu Hassan'

    Rais wa Wachimbaji wa Madini Tanzania, John Wambura Bina, kwenye mkutano wa kampeni leo Oktoba 13, 2025, Mkoa wa Geita, amependekeza kwamba moja ya madini nchini yabadilishwe jina na yaitwe “Samia Suluhu Hassan” kama ishara ya kutambua mchango mkubwa wa Rais Samia Suluhu Hassan katika kuendeleza...
  6. Waufukweni

    GE2025 Samia: Vijana tukalinde Amani, tusikubali kushawishiwa kuharibu Amani yetu

    Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni leo Oktoba 12, 2025, Runzewe, Mkoa wa Geita amesema; "Nchi inayoitwa JMT iko moja peke yake, na toka nchi hii imeundwa tumepigana vita moja tu na Idi Amin na kwasababu...
  7. PAYE

    GE2025 Samia: Tutajenga viwanda vya kuchakata maziwa Bukombe

    Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CCM, Samia Suluhu kwenye kampeni Bukombe ameahidi kuwa; "Tunakwenda kuinyanyua sekta ya maziwa [Bukombe] lakini pia kuweka viwanda vitakavyochakata maziwa ili maziwa yawe bidhaa na wafugaji wale waweze kuuza bidhaa fedha iingie mfukoni na maisha yaendelee. Hiyo...
  8. PAYE

    GE2025 Samia: Tutajenga soko la kisasa na maghala ya chakula Mbogwe

    gombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameahidi kuwa ikiwa wananchi watampa ridhaa miaka mitano ijayo, Serikali yake itajenga maghala ya kuhifadhia mazao pamoja na soko la kisasa Wilayani Mbogwe mkoani Geita, ili...
  9. Waufukweni

    GE2025 Regina Mikenze: Hatutaki kumpoteza kijana hata mmoja katika maandamano, tunawaomba mkaitunze amani ya Tanzania

    Mgombea ubunge viti maalum kupitia CCM, Regina Henry Mikenze, akiwa kwenye kampeni Bukombe, Geita, leo Oktoba 12, 2025, amesema: "Serikali ya Samia imewekeza sana kwa vijana; iwaje leo wakalipize kwa kufanya vurugu katika nchi. Naomba niongee na vijana Wanawake wa Mkoa wa Geita, tunawaomba...
  10. PAYE

    GE2025 Samia: Tutafanya utafiti mkubwa wa Madini Mbogwe

    Mgombea wa Urais wa JMT kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema endapo atapewa ridhaa ya kuunda Serikali katika kipindi kijacho cha miaka mitano, moja ya vipaumbele vyake vikuu itakuwa kufanya utafiti mkubwa wa maeneo yenye madini nchini ili kuongeza mchango wa sekta hiyo...
  11. Mafyangula

    GE2025 Samia: Serikali imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kudhibiti mamba

    Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan amesema Serikali yake imeanza ujenzi wa uzio ndani ya Ziwa Victoria kwa lengo la kudhibiti mamba ili kuwalinda wananchi wanaotumia ziwa hilo kwa shughuli mbalimbali. Akizungumza leo, Jumanne...
  12. comrade_kipepe

    GE2025 Namshauri mgombea wa Urais wa CCM afanye haya kwenye miaka Mitano ijayo

    1. Abadili katiba itakayomfanya atawale mpaka azeeke awe kikongwe, maana support hiyo anayo, ili aendelee kutuletea maendeleo. 2. Awatoe wa bara wote waliopo zanzibar, maana hao watu wanadamu yenye unafiki na uoga ili yasije yakawambukiza wazanzibar. 3. Apandishe gharama ya umeme. Unit moja...
  13. Mafyangula

    GE2025 Salome Makamba: Rais Samia walipotaka kukuchokoza, walishia kwenye mikono ya sheria wanalia wameonewa

    "Mhe. Rais wewe kama uwaridi unayo miba ambayo ni sheria nzuri, kanuni, taratibu, mila na desturi ambapo pale ulipotaka kuonesha waridi lako kwa kuweka 4R walipotaka kukuchokoza waliishia kwenye mikono ya sheria. Wewe kama ua zuri ulipotaka kuweka demokrasoa na uwanja sawa wa siasa wale ndugu...
  14. comrade_kipepe

    GE2025 Mnaenda kwenye kampeni halafu mnabananishwa hukohuko

    Mgombea Urais alipowaamuri Askari kuwashughulikia baadhi vijana waliokuwa wakileta fujo/ kuwasukuma wenzao kwa makusudi kwenye kampeni za mgombea urais kupitia CCM maeneo ya Serengeti mkoani Mara. ============== Panic button ipo ON 🚨 🚨 🚨 🚨 Hao watatoka jumatatu au baada ya tarehe 29
  15. DuaZaMama

    GE2025 Masanja Kadogosa: Samia alishamaliza kazi. Kwa sasa anapita tu kuwasalimia wananchi

    Mgombea Ubunge wa jimbo la Bariadi vijijini kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Masanja kadogosa amesema kazi kubwa aliyoifanya Mgombea wa Urais kupitia chama hicho, dk Samia Suluhu katika mikoa ya kanda ya ziwa hana haja ya kuongea sana kwasababu kazi aliyoifanya akiwa madarakani imetosha...
  16. Its Tesha

    GE2025 Samia ashangazwa na idadi ya watu Shinyanga kwenye kampeni yake leo

    Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshangazwa na wingi wa watu waliyojitokeza wakati wa alipoingia Shinga ikiwa ni muendelezo wa Kampein kuelekea uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025.
  17. Its Tesha

    GE2025 Samia: Mkiweka madiwani wa vyama vingine, maendeleo yatachelewa

    Mgombea Urais Samia Suluhu Hassan, Mgombea wa Urais wa Tanzania, akizungumza Maganzo, Kishapu Mkoani Shinyanga leo Jumamosi Oktoba 11, 2025 alisema: "Ilani niliyomkabidhi Mgombea Ubunge ni ya Kitaifa na ya Mkoa na Madiwani pia nimewapa Ilani ndogo za Mkoa wa Shinyanga. Ombi langu msiende...
  18. Its Tesha

    GE2025 Samia: Kibati Kikipasuka, sisi tuko nao, ninayezungumza ni Amirijeshi mkuu, Tokeni mkapige Kura Oktoba 29, 2025

    "Tumedhamiria kufanya kazi. Tumefanya kazi mmeiona na tunajiamini kwamba tutaweza kufanya tena kazi kipindi cha pili cha awamu ya sita, kazi ya kuonekana kwamaana hiyo niombe mtuchague Chama Cha Mapinduzi “Na hapa niseme ndugu zangu ili niwatoe hofu, kuna watu wanatishatisha ili kuwafanya watu...
  19. Mafyangula

    GE2025 Cecilia Paresso: Samia na Nchimbi kwa pamoja wanaenda kujenga taifa lenye umoja na mshikamano

    Kada wa Chama cha Mapinduzi CCM Cecilia Paresso ametoa wito kwa wananchi wa Rufiji kumpigia kura mgombea Urais wa chama hicho Dkt. Samia Suluhu Hassan na mgombea Mwenza Dkt. Emmanuel Nchimbi kwani viongozi hao watapochanguliwa watajenga taifa lenye mshikamano, umoja na maendeleo kwa wote...
  20. DuaZaMama

    GE2025 Samia: Tanzania tutaijenga wanawake na wanaume, acheni ubaguzi

    Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Samia Suluhu Hassan amesisitiza suala la mshikamano na umoja miongoni mwa watanzania pamoja na kuachana na imani, tamaduni na mila zenye kuwakandamiza wanawake na kuamini kuwa hawafai...
Back
Top Bottom