salum mwalimu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu aahidi 'Flyovers' Tunduma

    Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, ameahidi kujenga barabara za juu (flyovers) katika mji wa Tunduma ili kupunguza msongamano wa malori katika eneo hilo la mpakani. Mwalimu alitoa ahadi hiyo leo alipokuwa akizungumza na wananchi wa Tunduma, kabla ya kuelekea...
  2. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu, amempa 'maua yake' Aida Kenani, Amepambana sana jimbo la Nkasi Kaskazini

    Haaa! Mwalimu umeyatoa ya moyoni kwa Aida, ila furshi huyu dada alijatihdi sana kuwatumikia wananchi wake wa Jimbo Nkasi Kaskazini na ukizangatia katika uchaguzi wa 2020 yeye ndiye alikuwa mgombea pekee aliyeshinda ubunge kutoka vyama vya upinzani Tanzania nzima. Anarekodi yake...
  3. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Vijana wenzangu najua mnavyohustle. Nipeni kura msela mwenzenu tukatusue

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akiwa katika Kata ya Guruka, Jimbo la Kigoma Kusini, mkoani Kigoma, ameahidi kuwa serikali yake itaweka nguvu katika kupambana na umaskini kwa kuanzisha viwanda vya kuongeza thamani ya...
  4. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nitamwaga Matrekta mtaacha kazi ya Boda Boda

    Sera za Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma CHAUMMA Salum Mwalim Akiwa Nyakanazi, Biharamulo mkoani Kagera, wakati akielekea mkoani Kigoma, ameahidi mageuzi makubwa katika sekta ya kilimo. Amesema, endapo atachaguliwa kuwa Rais, atahakikisha...
  5. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA hakuna atakayenyanyaswa kwa sababu ya uraia

    Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma) kimewaahidi wananchi mkoani Kagera na maeneo mengine ya mipakani kuwa, kikipata ridhaa ya kuongoza dola, kitahakikisha hakuna raia anayebughudhiwa au kunyanyaswa kwa sababu ya uraia. Chama hicho kimesema kitaunda Serikali itakayothamini rasilimali watu kwa...
  6. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Mpambano wa CCM na CHAUMMA ni Mustakabali wa Maisha yetu siyo Mchezo wa Simba na Yanga

    Mgombea Urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, akizungumza katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Nyankumbu, mkoani Geita, Septemba 16, 2025 alisema Mpambano uliopo kati ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) uchaguzi wa mwaka huu...
  7. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Endapo nitaingia madarakani, nitafuata nyayo za Magufuli, nitarudisha heshima ya Pamba

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu, amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais, atafuata nyayo za Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kwa kusimamia maslahi ya wakulima kwa kuhakikisha zao la pamba linarejea kwenye heshima yake...
  8. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Baba wa Taifa alitufanya tuwe wajanja siyo wajinga

    BABA WA TAIFA ALITUFANYA TUWE WAJANJA, SIO WAJINGA Mgombe urais wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu amesema endapo atachaguliwa kuwa Rais atahakikisha anaanzisha viwanda vya kuchakata mazao yanayolimwa nchini hasa mkoani Arusha kunakotoka Vitunguu, na...
  9. Mto wa mbu

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu akiangalia kwa bashasha nyomi la watu kwenye kampeini

    CHAUMMA walidhani ma press conference ya kila siku kuwa ndo siasa zenyewe. Sahivi wanalia kilio na kusaga meno, Hadi kwenye mitandao ya kijamii Hawa post chochote kinachousu kampeini. John Mrema amegombana na Salim Mwalimu toka kampeini zianze haja post chochote. Niitieni Salimu mwalimu
  10. B

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu wa CHAUMMA, atinga Tanga asema asipimwe kwa umri wake, mwaka huu ni wa masela kwenda Ikulu

    Mgombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA), Salum Mwalimu, ameanza ziara yake mkoani Tanga kwa ajili ya kuomba ridhaa ya wananchi kumpa nafasi ya kuongoza taifa katika uchaguzi mkuu ujao. Akiwahutubia wananchi katika mikutano wa hadhara...
  11. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu ageuka msanii kwenye jukwaa. Awaimbisha wananchi waliohudhuri kwenye kampeni za CHAUMMA

    Hivi ndivyo Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu alivyokaribishwa jukwaani kuwahutubia wafuasi wa chama hicho kwa wimbo wa Mchizi Mox uitwao ‘Mambo Vipi!’ Leo Agosti 31, CHAUMMA kinafanya ufunguzi wa kampeni katika...
  12. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: CHAUMMA ikishika dola, itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Afrika

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) Salum Mwalimu amesema kuwa endapo atapata ridhaa ya kuongoza nchi, Serikali yake itabeba gharama zote za timu itakayoshiriki Michuano ya Klabu bingwa Barani Afrika. Akizungumza leo katika Viwanja vya...
  13. veyra

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalim: Mkinichagua mshahara kima cha chini ni 800,000

    Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupita Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalim amesema Serikali yake ikiingia madarakani itahakikisha inaboresha huduma mbalimbali yakiwemo maboresho ya sera ya habari ili vyombo vya habari vifanye kazi kwa weledi na kuifanya tasnia...
  14. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania GE2025 Special Thread: Taarifa za Kampeni za Wagombea Urais kupitia CHAUMMA, Salum Mwalimu na Devotha Minja

    Uzi Maalum wa mijadala yote ya michakato ya ziara za kampeni za mgombea nafasi ya Urais Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA), Salum Mwalimu na Mgombea mwenza Devotha Minja. ---------------- Agosti 27, 2025 Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imemteua...
  15. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nikiwa Rais, nitavaa kapelo, Tisheti na Jeans Mtaa kwa mtaa

    Mtiania urais wa Tanzania wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameendelea kuzunguka mikoani kutafuta wadhamini ili kumwezesha kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuwania urais katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Jumatano, Oktoba 29, 2025. Mwalimu ambaye pia ni...
  16. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kwa mtazamo wako, kati ya mgombea urais Luhaga Mpina wa (ACT Wazalendo) na Salum Mwalimu wa (CHAUMMA), nani mkali zaidi na mwenye haiba ya urais?

    Ni yupi ana ushawishi zaidi na angalau mtaji wa kura za kumzidi mwingine? Kumbuka Luhaga Mpina anatoka mkoa Simiyu, huku Salumu Mwalimu akiwa anatoka Unguja, Zanzibar. Salum Mwalimu ana uzoefu wa kua naibu katibu mkuu wa chadema Taifa huko nyuma, na pia aliwahi kua mgombea mwenza wa urais...
  17. McLaren

    JamiiForums Tanzania Salum Mwalimu: Mimi mwenyewe ni msafi na chama changu ni kisafi

    Wakuu, Huyu baba leo kajua kujisafisha msikilizeni hapo anavyojipakulia minyama Salum Mwalimu anasema yeye ni msafi na chama chake CHAUMMA ni kisafi
  18. McLaren

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu: Nikipata Urais nitafanya mabadiliko ya Katiba

    Mgombea Urais kupitia Chama cha maendeleo kwa Umma (CHAUMA) Salum Mwalim amesema kuwa Kama akipata ridhaa ya kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania atahakikisha anafanya mabadiliko ya Katiba ya nchi Pamoja na mifumo ya kisheria. Mwalimu ameyasema hayo mara baada ya kuchukua fomu ya...
  19. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salum Mwalimu ajibu kuhusu Polepole Kumbeza

    Mgombea wa Urais kupitia Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) na Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu, amesema hatashiriki katika malumbano na watu wanaomkosoa au kumbeza kuhusu uamuzi wake wa kugombea Urais na kushindana na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan...
  20. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania GE2025 Askofu Kadutu: Luhaga Mpina na Salum Mwalimu bado hawafiki Viwango vya Urais tunavyohitaji. Tusilete utani tukaumia Miaka 5 ijayo

    Naibu Katibu Mkuu wa Makanisa ya Ufufuo na Uzima (GCTC), Askofu Maximilian Machumu Kadutu (Mwanamapinduzi), amesema; "Naweza kusema nikiangalia ACT Wazalendo namuona Luhaga Mpina aliyekuwa Mbunge wa Kisesa, namfahamu. Naangalia kwa upana bado hajafikia ile 'level' ya Rais tunayemhitaji kwenye...
Back
Top Bottom