SAKATA la mkataba wa Kampuni ya Lugumi Enterprises limechukua suara mpya, baada ya Kambi ya Upinzani kusema kuwa itahakikisha mbivu na mbichi za mkataba huo, zinajulikana katika mkutano wa Bunge la Bajeti unoanza kesho mjini Dodoma.
Kampuni hiyo iliingia mkataba na Jeshi la Polisi mwaka 2011 na...