sadc

The Southern African Development Community (SADC) is an inter-governmental organization headquartered in Gaborone, Botswana. Its goal is to further regional socio-economic cooperation and integration as well as political and security cooperation among 16 countries in southern Africa.

View More On Wikipedia.org
  1. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Mwenyekiti wa SADC atoa wito kwa wananchi wa visiwa vya Shelisheli kujitokeza kupiga kura

    Rais wa Malawi, ambaye pia ni mwenyekiti wa SADC, Lazarus Chakwera ametoa wito kwa wananchi wa visiwa vya Shelisheli kujitokeza kupiga kura ili kushiriki mchakato wa maendeleo katika nchi yao. Kupitia tamko alilolitoa leo Sept 24, amesema SADC imealikwa kuuangalia uchaguzi huo kama inavyotakiwa...
  2. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mpango awaalika SADC Kutuma Timu ya Uangalizi wa Uchaguzi

    Makamu wa Rais wa Tanzania, Dr. Philip Isdor Mpango amesema kuwa maandalizi muhimu kwa ajili ya kufanya uchaguzi mkuu wa haki, huru na wazi yanaendelea vizuri nchini Tanzania na kutoa mwaliko kwa SADC kutuma timu ya waangalizi kwenye uchaguzi huo uliopangwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Dkt...
  3. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Nchi za SADC zahimizwa kutunza na kulinda amani

    Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Samwel Shelukindo amesema kuwa licha ya changamoto za kisiasa, uhalifu unaovuka mipaka na matatizo ya kiuchumi kwa jamii ambayo yanaendelea kutafutiwa ufumbuzi, bado Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
  4. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Baraza la Mawaziri la SADC lahitimisha kikao chake jijini Antananarivo

    Kikao cha Kawaida cha Baraza la Mawaziri la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ambacho ni maandalizi ya Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC kimehitimishwa jijini Antananarivo Agosti 14, 2025. Ujumbe wa Tanzania katika kikao hicho umeongozwa na Waziri wa Mambo ya Nje...
  5. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania SADC na Marekani kuanzisha jukwaa la majadiliano

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Samwel Shelukindo ameongoza ujumbe wa Tanzania kushiriki kikao cha awali cha maafisa waandamizi cha Jukwaa la Majadiliano kati ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na Serikali ya Marekani...
  6. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Ukombozi wa Kiuchumi ni safari ndefu, SADC yakumbushwa

    Nchi za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimekumbushwa kuwa ukombozi wa kiuchumi ni safari ndefu na ili kuifikia nchi hizo zinahitaji mtangamano wenye nguvu na usioyumbishwa katika utekelezaji wa malengo waliyojiwekea. Hayo yamesemwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Biashara za...
  7. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania GE2025 Tanzania yazuia waangalizi wa Uchaguzi wa EAC na SADC, bali imezipa vibali balozi 12 za nchi za Magharibi Uchaguzi wa Oktoba 29

    Tanzania imewazuia waangalizi wa uchaguzi kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (#EAC) na Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika (#SADC), ambazo zote ni jumuiya ambazo nchi hiyo ni mwanachama, kushiriki katika uchaguzi wa Oktoba 29. Badala yake, imezipa vibali balozi 12 za nchi za...
  8. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Balozi Albert Chimbindi: Umoja na mshikamano ni silaha ya mtangamano imara wa SADC

    Umoja na mshikamano imeelezwa kuwa ni silaha pekee ya Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC), ya kuimarisha mtangamano imara na wenye nguvu, utakaowezesha kufikia malengo yaliyowekwa na jumuiya hiyo. Hayo yameelezwa na Mwenyekiti wa Kikao cha Maafisa Waandamizi wa SADC...
  9. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi wa SADC waanza Madagascar na kikao cha kujadili mpango wa maendeleo

    Mkutano wa 45 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umeanza Agosti 04, 2025 jijini Antananarivo, Madagascar na Kikao cha Wataalamu cha Maafisa Waandamizi cha kupitia Utekelezaji wa Mpango Mkakati Elekezi wa Maendeleo wa Kikanda 2030 (Regional Indicative...
  10. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Waziri Kombo afungua Mkutano wa 27 wa MCO- SADC

    Waziri Kombo afungua Mkutano wa 27 wa MCO- SADC Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo (Mb.), amefungua Mkutano wa 27 wa Kamati ya Mawaziri wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) ya Masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama (MCO), katika Kituo...
  11. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania SADC Announces 8 Jobs via Utumishi, July 2025

    The Southern African Development Community (SADC) Secretariat is a cornerstone of regional integration, fostering economic growth, peace, and sustainable development across Southern Africa. With a mission to promote cooperation among its 16 member states, SADC is a dynamic force in addressing...
  12. Ojuolegbha

    JamiiForums Tanzania Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa SADC - MICO

    Mkutano wa 27 wa Mawaziri wa SADC - MICO Karibu Tanzania Welcome to Tanzania Bienvenue en Tanzania Bem-vindos à Tanzania 📅 21 - 25 Julai, 2025 📍 JNICC Dar es Salaam, Tanzania
  13. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania SADC: Sekta ya nishati iwe kichocheo cha kuiunganisha afrika kujenga uchumi

    SADC: SEKTA YA NISHATI IWE KICHOCHEO CHA KUIUNGANISHA AFRIKA KUJENGA UCHUMI 📌 Yasisitiza utekelezaji wa miradi ya kipaumbele ya Nishati 📌 Kapinga ataka SADC kuweka dhamira thabiti na mikakati madhubuti ya utekelezaji wa Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia Mawaziri wanaoshughulikia masuala ya...
  14. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania SADC yaitaja Tanzania kinara utekelezaji ajenda ya nishati safi ya kupikia

    SADC YAITAJA TANZANIA KINARA UTEKELEZAJI AJENDA YA NISHATI SAFI YA KUPIKIA 📌 Rais Samia aendelea kupongezwa kwa kuwa kinara wa Nishati safi ya Kupikia Afrika 📌 Mhe. Kapinga ataka mikakati, ubunifu utekelezaji nishati safi ya Kupikia Jumuiya ya SADC 📌 Asisitiza uelimishaji matumizi ya nishati...
  15. B

    JamiiForums Tanzania Waendesha Baiskeli wa Kimataifa EAC, SADC na Marekani washiriki Twende Butiama 2025

    Dar es Salaam, Julai 2, 2025: MSAFARA wa baiskeli wa Twende Butiama mwaka 2025 umeanza rasmi leo jijini Dar es Salaam, ukiwa na waendesha baiskeli zaidi ya 200 waliojitolea kushiriki safari hii ya kihistoria ya zaidi ya kilomita 1,500 kwa muda wa takribani siku 11 kutoka jijini Dar es Salaam...
  16. PendoLyimo

    JamiiForums Tanzania Wataalam SADC wakutana Zimbabwe kujadili sekta ya nishati na maji

    WATAALAM SADC WAKUTANA ZIMBABWE KUJADILI SEKTA YA NISHATI NA MAJI 📌 Miundombinu ya usafirishaji umeme kikanda kujadiliwa 📌 Nishati Safi ya kupikia kupewa kipaumbele 📌 Mkakati mahsusi wa kuongeza watumiaji wa umeme Afrika (M300) kuwa moja ya Ajenda 📌 Maendeleo ya Sekta ndogo ya Mafuta na Gesi...
  17. Jamiitrailer

    JamiiForums Tanzania Endapo jumuiya ya SADC isingekuwa na ubovu na uzembe katika utendaji, mzozo wa kibiashara kati ya Malawi, Afrika kusini na Tanzania usingekuwepo

    Habari wakuu, Huu mzozo wa kibiashara kati ya Malawi,Afrika ya Kusini na Tanzania sidhani kama ungekuwepo kama Jumuiya ya SADC ingekuwa inafanya kazi zake sawasawa kwa mantiki ya kusimamia utekelezaji wa maazimio yake. Nasema hivi kwa sababu nchi zote hizi tatu katika mgogoro ni wanachama wa...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Mapigano ya Ikela. Jinsi Zimbabwe walivyonasua askari wao waliokuwa wamezingirwa na waasi wa Congo na Rwanda

    Tukio hilo lilitokea mwaka 1999 / 2000 wakati Rwanda na Uganda walipovamia DRC. Zimbabwe, Angola, na Namibia, walituma askari kupitia umoja wa SADC kumsaidia Rais Laurent Kabila. Katika kumsaidia huko askari wa Zimbabwe walijikuta wamezingirwa na majeshi ya waasi waliokuwa wakisaidiwa na...
  19. MBOKA NA NGAI

    JamiiForums Tanzania SADC na SAMIDRC zaufyata tena mbele ya AFC/M23. Mwaka wa kudhalilika na kuvuliwa nguo

    Siku za nyuma, SAMIDRC Mission ilifikia makubaliano na M23, ya kuirahisishia kuondoa wanajeshi wake huko mashariki mwa DRC. South Africa, kwa kuogopa kuzomewa kama walivyofanyiwa mamruki wa Ulaya, walipokuwa wakipita mpakani mwa Rwanda na DRC, waliiomba M23 kwa makubaliano(Hakika yalikuwa na...
  20. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Umoja wa Demokrasia wa Afrika: Tunatoa wito Tundu Lissu aachiwe, Umoja wa Afrika na SADC ingilieni

    Umoja wa Demokrasia wa Afrika unatoa wito kwa kuachiliwa mara moja kwa Mhe. Tundu Lissu. Mashtaka ya uhaini kwa kusukuma mageuzi ya uchaguzi? Hili ni janga kwa demokrasia yetu. Tunazihimiza @_AfricanUnion, SADC na asasi za kiraia kuchukua hatua. ======= The Democracy Union of Africa calls for...
Back
Top Bottom