Dunia hii ina watu wengi waliojaa machozi usoni, huzuni moyoni, na kukosa matumaini. Lakini kwa wale wanaomwamini Yesu Kristo, kuna ahadi yenye thamani kuu: "Heri ninyi mliao sasa, kwa sababu mtacheka." (Luka 6:21)
Yesu aliposema maneno hayo, pamoja na kuwafariji walioumizwa, alikuwa...