Hivi inawezekanaje mtu mmoja kama Rostam kuweza kuwapita akili na ku-outsmart viongozi wetu wakubwa, wanasiasa, wakurugenzi, mameneja wa mashirika makubwa ya umma na hata vyombo vya ulinzi na usalama? Swali hili linaacha mshangao mkubwa.
Je, ni kwa sababu yeye ni genius, au kuna udhaifu mkubwa...
Hii sio bahati mbaya hata kidogo
Kwa tuhuma hizi za Polepole, Gwajima na uko nyuma chadema waliwai kudokeza juu ya kifo Cha Magufuli.
Ni wakati Sasa Rostam na Kikwete watoke front kukanusha tuhuma hizi wanazopewa.
Hii sio afya kwa usalama wa nchi
Hasira walizonazo wafuasi wa Magufuli...
Salaam!
Tulipata msiba wa kufiwa na baba yetu, kiongozi wa shamba letu,
Hata hatujapoa, akaibuka kibopa,tajiri mmoja mkarimu sana mwenye tabasamu la Mamba Rost Tamu,akaipenda familia yetu, akaahidi kutupenda Sisi na mama etu bila kutubagua.
Aliweza kummsaidia sana mfiwa mamaetu kwa kumpeleka...
Salaam!
Mtu huyu anatajwa kumiiliki biashara kubwa kubwa Tena akizipata tenda za mamilioni na mabiioni zenye faida kubwa.
1. Tunaambiwa kwenye almasi yumo.
2.Migodi ya dhahabu yumo,
3. Makaa ya mawe yumo.
4. Gesi yumo.
5. Utalii yumo na Royo tua.
6. Usafiri na usafirishaji yumo.
7. Umeme...
Miongoni mwa atakayozungumza:
1. Biashara za Rostam Aziz
2. Ziara ya Magufuli Morogoro, na mazungumzo yao kuhusu Rostam
3. Kashfa ya Uniform za Jeshi la Polisi ambayo kesi yake ilikuwa stori nyingine baada ya Magufuli kufariki
4. Wezi wanakoficha pesa
5. Kashfa ya kukomboa ndege Afrika Kusini
6...
Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akimnadi mgombea ubunge Jimbo la Igunga,Rostam Aziz katika uwanja wa SabaSaba mjini Igunga 2010
Rostam na Hayati Rais John Pombe Magufuli 2018
Katika zoezi la kurejea CCM, Lowassa aliambatana na swahiba wake wa muda mrefu ambaye pia aliwahi kuwa mbunge wa...
Polepole sio pole tena, usiku huhuu tayari kashawalipua CCM na mume wao Rostam Azizi.
Utajiri wa nchi anakabidhiwa Rostam alafu utamskia mama anasema analinda mali za nchi kwa maslahi mapana ya umma, Polepole anauliza maslahi gani hayo mapana?
Leo katukumbusha tena kuwa tumeuzwa tumepigwa bei...
Anaandika Humprey Polepole kwenye Mtandao wa Instagram.
Kisa cha wana wa Israeli waliotaka kurudi Misri wakiwa jangwani katika safari ya kuelekea nchi ya ahadi. Leo Channel 10, TV ya Chama imempa heshima Rostam Aziz kutoa nukuu baada ya taarifa ya habari akinibananga mie, nimeona niwakumbushe...
The Ngaka Coal Mine /Tundu Lissu's Arrest
The Ngaka Coal Mine, located in Mbinga District, Ruvuma Region, is the same mine that opposition leader Tundu Lissu was speaking about shortly before his arrest.
In 2011, the Government of Tanzania entered into a Public–Private Partnership (PPP) with...
Bwana Zitto tangu akiwa chadema amekuwa akipata ufadhili wa kifedha wa Rostam. Uswahiba wao umeendelea zaidi hata wakati wa sakata la fedha za ESCROW ambapo zitto alikuwa upande wa Standard Chartered Hongkon yenye uhusiano na Rostam.
JPM hakumpenda zitto maana alimjua ipasavyo vile vile...
Nilikuwa nafikiria hii kitu sababu ya kesi inayoendelea ya mchongo ya Lissu. Ila nikajiuliza kwa nini magereza wanajipa majukumu ya mahakama wakati sio ofisi zao.
Ukiangalia kazi ya askari magereza ni kukufikisha mahakamani na kukubizi kwa askari ambo ni wa mahakama.
Askari wa mahakama...
Wakuu kuna MTU aliwahi kusema TUNDU LISSU Alikamatwa Kwa maelekezo ya ROSTAM AZIZ mara baada ya TUNDU LISSU kugusia Usafishaji wa kimagendo wa Makaa ya Mawe na Madini ya Uranium Tani Kwa matani kwenda nje ya Nchi .
Humu JF pia Kuna mdau aliandika kua Madini haya yamekua yakisafirishwa Kila...
Huu ni ujumbe wa Humphrey Polepole kupitia ukurasa wa Instagram asubuhi hii.
Leo Jumatano saa 2:00 Usiku saa za Afrika Mashariki nitasema nanyi kwa Habari ya Mambo mawili;-
1. Mustakabali wa mbele wa Nchi yetu na Taifa katikati ya Mkwamo tulionao, na,
2. Nitatumia muda huo kumjibu Mwana CCM...
Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM
Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba :
Binadamu wote ni sawa
Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru
Pamoja na Imani hizi ambazo ni...
Inakuwaje Rostam Aziz ana uraia pacha wakati Watanzania haturuhusiwi kuwa na uraia pacha?
Yeye ana uraia wa TANZANIA na UK
Kama anabisha aje akanushe na serikali ije ikanushe aliwezaje kuwa raia wa uingereza wakati ni raia wa TANZANIA?
Huyu mtu ndio maana sio mwema kwa Tanzania.
====
Alichokizungumza ni kuwa hoja za Rostam Aziz ni dhaifu kwenye kumjibu Humphrey Polepole. Amesema hayuko upande wa Polepole lakini hoja za Rostam Aziz si sahihi hivyo ametoa wito kwa CCM kutumia wasomi wa kumjibu Polepole
Pia Soma >> GE2025 - Polepole ni mwana CCM wa itifaki na maslahi -...
Aliyewahi kuwa mjumbe wa kamati kuu ya Chama Cha Mapinduzi CCM na mbunge wa Jimbo la Igunga kwa miaka 18, mfanyabiashara Rostam Aziz amesema ukosoaji unaofanywa na Balozi Humphrey Polepole juu ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi ni kutokana na kiongozi huyo kutokuwa kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.