Wasanii kutoka Tanzania washinda tuzo ya east entertainment awards USA ambapo hizo tuzo zilifanyika USA.Msanii wa kimataifa kutoka Tanzania diamond platnumz alishinda katika kipengele Cha best collaboration ft (baila),rayvanny na nandy wameshinda kwenye kipengele Cha best male/female east and north south huku mtangaziaji wa Times fm lil ommy ameshinda katika kipengele Cha best host.
Hongereni wasanii wetu kwa kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania maana huku kwenye bongo movie wanatuangusha
Hongereni wasanii wetu kwa kupeperusha vizuri bendera ya Tanzania maana huku kwenye bongo movie wanatuangusha