Edward J. Rasimus (September 29, 1942–January 30, 2013) was a retired United States Air Force Major and a veteran fighter pilot of the Vietnam war. Rasimus flew more than 250 combat missions in F-105 Thunderchief and F-4 Phantom II fighters during the conflict and received the Silver Star, the Distinguished Flying Cross five times, and numerous Air Medals. Rasimus was an award-winning author residing in Northern Texas.
Kama CCM wenyewe wamekubali kuwa sasa hivi katiba ni hitaji la kitaifa na huu ndio wakati muafaka basi sasa ndio wakati wa kuweka mambo sawa.
Tuna bunge kibogoyo linalotafuna pesa za walipa kodi na huku wananchi wakiwa na maisha magumu.
Hatusikii bunge likifanya kazi yake kama bunge ya...
Kwako Mhe Raisi
Naomba mswada upelekwe bungeni ili sheria itungwe kuwapa nafasi watanzania wapige kura ya maoni kwenye Ile rasimu ya katiba iliyoletwa na Jaji warioba.
Hakuna sababu ya kupoteza tena muda. Hakuna kikundi kingine chenye nguvu au mamlaka ya kubadilisha maoni ya wananchi.
Pia hii...
Wanasiasa hebu twende taratibu maana mnatuchanganya, hivi ndio kusema kazi nzuri iliyofanywa na tume/kamati ya Jaji Warioba ndio dead and burried na sasa tunaletewa usanii wa kikosi kazi kilichojaa wahuni na walafi?
Hebu tuelimishane hapa wengine tunashindwa hata kuelewa kinachoendelea, maana...
Wakati ule wa rasimu ya warioba, Polepole alizunguuka almost nchi nzima kuelezea uzuri wa katiba mpya(rasimu ya Warioba) na ubovu wa katiba ya zamani ya mwaka 1977.
Wakati ule alisema katiba ya mwaka 1977 moja ya ubaya wake ni mamlaka makubwa ya raisi.
Cha ajabu leo anageuka anasema eti...
Nimejitahidi kupitia kidogo rasimu ya katiba mpya ambayo kila mtanzania mwenye utimamu anatamani ipite.....
Sasa naomba maelezo kidogo wakuu kuhusu suala la muungano je kutakuwa na serikali moja,mbili ama tatu... Jambo hili sijabahatika kuliona katika rasimu yetu au SIJAELEWA naomba mtaalam wa...
Dk. Mwigulu Lameck Nchemba, Waziri wa Fedha na Mipango wa Tanzania akiwasili Bungeni Kusoma Bajeti ya Serikali 2021/22
I. USULI: KWA NINI NAANDIKA BANDIKO HILI?
Bandiko langu lisemalo “Rais Samia Ameanzia Mwanza Kujenga Hekalu Letu” limewafanya wachangiaji kadhaa, wakiongozwa na mwana JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.