Ni nini hatma ya Mji wa Kawe? Ulipendeza sana kwenye ramani

2019

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
2,982
4,457
Kiukweli wanakawe watamkumbuka sana JK kwa mradi huu. Muonekano wake ni mzuri sana. Cha kushangaza toka mzee mzima Magu aingie mradi umebaki magofu sasa.

Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016?

Mwenye kujua chochote itapendeza zaidi akitujuza.

Huu hapa kupitia NHC


IMG_20200812_150250.jpg
IMG_20200812_150259.jpg
 
Kiukweli wanakawe watamkumbuka sana JK kwa mradi huu. Muonekano wake ni mzuri sana. Cha kushangaza toka mzee mzima Magu aingie mradi umebaki magofu sasa.

Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016?

Mwenye kujua chochote itapendeza zaidi akitujuza.

Huu hapa kupitia NHC


View attachment 1542344View attachment 1542345

kikwete angeendelea kuwa Rais, Tanzania kulikuwa na miji mingi sana, kigamboni kule ilitaka kuwa kama dubai, kawe ndo Jobarg, ile njia ya alihasani mwinyi mauyoga yalikuwa mengi yakaja kusizi ghafla. tunamwombea Mama akaze kamba na aombe ushauri kwa kina Kikwete ili tujenge tena nchi yetu. Mungu ibariki Tanzania. speaking from a honest heart.
 
Back
Top Bottom