2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Kiukweli wanakawe watamkumbuka sana JK kwa mradi huu. Muonekano wake ni mzuri sana. Cha kushangaza toka mzee mzima Magu aingie mradi umebaki magofu sasa.
Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016?
Mwenye kujua chochote itapendeza zaidi akitujuza.
Huu hapa kupitia NHC
Jambo la kujiuliza: Je, mradi huu ulikuwepo kibajeti au kulikua na ufisadi ndani yake? Kwanini umesimama toka 2016?
Mwenye kujua chochote itapendeza zaidi akitujuza.
Huu hapa kupitia NHC