Mohamed Hamis Mohamed, mgombea uwakilishi jimbo la Amani, Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo amelalamikia ukiukwaji wa utaratibu wa kupiga kura ya mapema katika kituo chake ya kupigia kura akidai kuwa kuna watu wameletwa kwa mabasi wamewaingiza ndani na kuanza kupiga kura bila uwepo wa...
Mwamba wa demokrasia Afrika amelala, Mwamba aliyefungwa jela kwa uhaini akitetea watu wake amelala, Mwamba aliyepinga matokeo ya uraisi mahakamani na mahakama ikabatili ushindi wa Raisi Uhuru Kenyatta amelala, mwamba ambae huwezi kumwelezea kwa maneno peke yake ikatosha amelala, Mwamba...
Katika kipindi ambacho nchi inakumbwa na mijadala potoshi isiyo na ushahidi kuhusu madai ya kutoweka kwa Humphrey Polepole, na wengine wanaojiteka na kujificha wenyewe kwa lengo la kuchafua utawala, Rais wetu mpendwa kipenzi cha watanzania Mama Samia Suluhu Hassan ameendelea kuonyesha mfano...
Tuna miezi miwili hatupati maji mtani kwetu. Lakini toka ziara ya Mh Raisi ianze kutangazwa kuwa anakuja Mwanza maji hayakati.
Ni siku tatu sasa maji yanatoka siku nzima. Najiuliza maswali mengi bila majibu. Kwamba Samia ametanguliza mabomba mlivyokuwa mnasema yameharibika au ni hujuma za...
Na mwombea farao ang'amue ya kwamba kiburi,dharau,na upuuzi wake si bule Wala wa kujitakia
Bali Kuna nguvu isiyo ya kawaida nguvu ipitayo nguvu zoote
inayo msukuma farao kufanya hivyo kwa makusudi ili maandiko ya shekhe yahaya yatimie.
Ingekuwa vema farao Ange kubaliana na matokeo kwamba...
Ili suala tulishwahi kusema hapa ila linafichwa sana. Jana mweshimiwa Polepole alitaja kuhusu mitandao ya kijamii watu wameajiliwa wakiwa na ID nyingi kila mtandao wakiendeleza ajenda zao.
Moja yao wapo hapa JF.
Yani utasahangaa UZi umeanzishwa halafu sekunde wanakuja kujibu kuunga hoja wakina...
Tuna haki ya kuhoji: Mtu huyu ana rekodi chafu na ana kesi nchini Afrika Kusini lakini jana amebainisha mwenyewe kuwa alikuwa nchini, saa chache kabla ya Harambee ya CCM.
Hapa kuna ujumbe gani kwetu?
Mlinzi wa magufuli kipindi hicho alilia sana kwenye msiba wa hayati rais Magufuli.
Ninaamini kwamba huyu mlinzi anajua kila kitu kuhusu kifo cha Magufuli sema anahofia uhai wake.
Kwenye picha huyo wa kushoto alievalia suti.
Kama maelezo yanavyojieleza na ushahidi wa video...
Rais Trump alitoa takwimu sio sahihi na akakosolewa mbele ya waandishi wa habari kua data alizotoa sio sahihi
KUNA UKWELI USIOPINGIKA TENA WA WAZI KUWA HAWA WATU NDIO WANAISHI DUNIANI
Kuna mambo yanaendelea nyuma ya pazio la uongozi wa Tanzania yanatisha sana! Kuna vurugu kubwa sana na mikakati ya kila aina.
Wengi wamesikia juu ya Wanamtandao, na ni wachache sana wanajua nguvu na uwezo wa kundi hili katika kuendesha hii nchi yetu. Kwa sasa hawa jamaa ndio wanaamua kila kitu...
https://youtu.be/vtxezmGOgQI?si=MUyi4Mzqdi4Mnb-v
Sikiliza kilichotokea kwenye kikao cha Viongozi wa AU kule Addis Abeba. Rais kijana mwanapinduzi bila kupepesa macho wala unafiki alimlipua Rais Rutto wa Kenya kuhusu mauaji ya Gen Z huko Kenya.
Aliiungwa mkono na Cyril Ramaphosa wa A. Kusini...
Chuki ya Pole pole na genge lake inadhihirika zaidi leo hii kwa kuwa hakuna jinsi. Lakini niwakumbushe tu kulikuwa na mvutano kuhusu kuapishwa kwa Samia aliyekuwa Makamo wa Raisi kuwa Raisi baada ya kifo cha Raisi Magufuli.
Cha kushangaza huyu anayejitambulisha kuwa ni mtetezi wa Katiba hakuwa...
Rasmi sasa: Raisi Samia katengeneza usultani CCM kafuata utamaduni wa wajomba zake
Familia ya Samia
Familia ya Kikwete
Familia ya Mwinyi
Marafiki na familia sindikizaji
Familia ya Pinda
Familia ya Lowassa
Familia ya Magufuli
Familia zilizoachwa za
1. Familia ya Karume
2. Familia ya Nyerere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.