rais samia

Samia Suluhu Hassan[a] (born 27 January 1960) is a Tanzanian politician who is serving as the sixth and the first female president of Tanzania since 2021. She is a member of the ruling social-democrat Chama Cha Mapinduzi (CCM) party and the third female head of government of an East African Community (EAC) country.

A native of Zanzibar,[2] Suluhu served as a minister in the semi-autonomous region during the administration of President Amani Karume. She served as the Member of Parliament for the Makunduchi constituency from 2010 to 2015 and was the Minister of State in the Vice-President's Office for Union Affairs from 2010 to 2015. In 2014, she was elected as the vice-chairperson of the Constituent Assembly tasked with the drafting of the country's new constitution.

Suluhu became Tanzania's first female vice-president following the 2015 general election, after being elected on the CCM ticket with President Magufuli. Suluhu and Magufuli were re-elected to a second term in 2020. She briefly served as the second female interim Head of State in the EAC – 27 years after Sylvie Kinigi of Burundi, spanning a period around the end of the year 1993.

View More On Wikipedia.org
  1. Mbona ni kama Rais Samia kaanza kampeni tayari?kwa nini hachukuliwi hatua na mamlaka?

    Huyu mtu anayoyaongea kwenye mikutano yake ni kama vile tayari kaanza kampeni. Naomba achukuliwe hatua tafadhali.
  2. R

    PreGE2025 Tangu Rais Samia atoe mipasho kwa Mpina Jana, Leo kila Mbunge anamwaga Sifa huko Simiyu

    Wakuu, Nilikua naendelea kufuatilia ziara ya Rais wetu uko kanda ya Ziwa akiendelea kuzindua miradi mbalimbali ya maendeleo Mkoa wa Simiyu, nimegundua leo Kila Kiongozi anamwaga tu sifa kwa Mama, wenda wanaohofia Kutenguliwa kama Mpina au wanaohofia Mipasho ya Mama? Hili limenisikitisha sana...
  3. R

    PreGE2025 Daudi Nyalamu asema Wilaya ya Itilima hawamdai Rais bali anawadai wao na October Wanatiki

    Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Itilima, mkoani Simiyu, Daud Nyalamu amesema kutokana na utekelezaji mkubwa wa miradi ya maendeleo wilayani humo, wao hawana deni kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, bali wanamhisi anawadai wao na wamejipanga kuhakikisha...
  4. Bashe na rais Samia wanafahamu ubaya wa Mpina kuliko wananchi waliomchagua??

    Tuseme kidogo juu ya Waziri Bashe, aliyesoma Ushirika, lakini anapenda aitwe ni mchumi. Aliingia wizara ya Kilimo kwa nadharia mfu za BBT. Akapiga keleleee! Eti akukusanya vijana mijini ili wakalime Dodoma! Yaani wakalime Dodoma! Gharama kubwa za kutia mashaka zikatumika kujenga miradi ya BBT...
  5. M

    Rais Samia ujue ya Ndugai hayapo kanda ya ziwa, askofu Gwajima na Mpina hawatakuomba msamaha

    Rais Samia ujue kabisa ya Ndugai hayapo kanda ya ziwa, askofu Gwajima na Mpina hawatakuomba msamaha hata ni kwa gharama ya kuwafukuza ccm watakuwa tayari. Malezi ya watoto kanda ya ziwa na malezi ya watoto kanda ya Pwani ni vitu viwili tofauti. Kanda ya ziwa baba ndiyo kiongozi wa familia na...
  6. PreGE2025 Rais Samia akiweka jiwe la msingi kwa niaba ya shule zote 103 za sekondari za Amali nchini

    Wakuu, Rais Samia anaendelea na ziara yake katika mikoa ya huko Kanda ya Ziwa. Baada ya jana kutoa spana kwa Mpina, je leo ataruka na nani? https://www.youtube.com/live/Ylw1BFOHbvw?si=z6Jvqsf1Txr1fUZk
  7. Rais Samia angekuwa anakubali kukosolewa na wale anaodhani wanamchukia na kutoukubali mtandao wa Machawa unaommiliki huenda angekuwa Rais bora Afrika

    Na kama kuna BOMU KUBWA na la HATARI ambalo Rais Samia ANALIMILIKI bila ya Yeye kujua ni la kukubali KUTAWALIWA na MACHAWA wa ndani na nje ya Chama Cha Mapinduzi pamoja na wale alionao SERIKALINI Kwake hasa Mawaziri wake Waandamizi Watatu (nawahifadhi) ambao kutwa WANAMHARIBIA huku Yeye...
  8. J

    Samia umewaangusha wanawake wezako wa Tanzania, Africa pamoja na duniani kote

    Mungu amekupa nafasi ya kuwa mwanamke wa kwanza kuwa raisi wa Tanzania tangu Mungu iumbe Tanzania. Badala ya kuitumia nafasi hiyo vizuri ili ionyeshe watanzana na dunia zima kuwa hata wanawake wanaweza kuwa viongozi. Wewe umeitumia kutanganzia dunia kuwa wanawake hasa wa kiafrika hawezi kabisa...
  9. M

    Dkt Kahyoza: Kati ya hotuba 34 za Rais Samia 17 zilizungumzia PPP na kati ya nchi 195 zilizopo duniani ni nchi 26 tu na Tanzania ikiwemo zina PPPC

    == Mchambuzi nguli wa mambo ya Fedha na Uchumi Dkt Bravious Kahyoza katika mahojiano yake na kituo cha runinga cha Wasafi TV katika kipindi maarufu cha One on One alisema kuwa Rais wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan anaonesha msukumo mkubwa kwenye maswala ya Ubia, PPP. Dkt Kahyoza anasema...
  10. Inamaanisha nini wananchi kumshangilia zaidi Mpina kuliko Rais Samia?

    Habari wakuu, Rais Samia anaendelea na ziara zake huko Kanda ya ziwa,leo kwenye moja ya mikutano yake huko ameraruana na Luhaga Mpina mbunge wa Kisesa. Wakati Luhaga Mpina anazungumza wananchi walimshangilia sana kwa shangwe ila ilipofika wakati wa Rais Samia kuzungumza alimshambulia Luhaga...
  11. N

    Mpina umeteleza, huu siyo wakati wa kuomba huruma ya wananchi, nasimama na Rais Samia

    Ziara ya mh Rais mkoani Simiyu imenifumbua macho kuhusu siasa zinazoendelea kuelekea Oktoba 2025. Kitendo cha Mpina alikaa bungeni zaidi ya miaka 10 kutumia jukwaa la mkutano wa Mh Rais kulalamikia maendeleo ya jimboni kwake kana kwamba yeye si sehemu ya mfumo wa kuyashughulikia kumenishtua. Kwa...
  12. S

    Mtazamo: Mpina alikuwa anajaribu kujenga hoja kuwa wanaosema hawamdai Mama wanapotosha, na Mama ajue nchi hii kila mahali bado changamoto ni nyingi

    Ukitafakari kwa makini, utagundua huu ndio ujumbe ambao Mpina alikuwa anajaribu kuifikisha kwa Mama Samia. Mpina alilenga kuwakosoa wanaosema hawamdai Mama wakati hii nchi na watu wake ni masikini na majlmbo kuna changamoto nyingi sana na huo ndio ukweli na huu ndio ulikuwa ujumbe wa Mpina kwa...
  13. S

    Ombi kwa rais Samia juu ya mkurugenzi wa wilaya ya Busega ndugu Maiko Richard Kachoma dhidi ya walimu waliozuiwa kuhama CWT

    Kwako,Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan YAH: MALALAMIKO JUU YA MKURUGENZI WA WILAYA YA BUSEGA NDUGU MAIKO RICHARD KACHOMA Mheshimiwa Rais, Kwa heshima na taadhima,Sisi walimu wa halmashauri ya wilaya ya Busega tunapenda kuwasilisha malalamiko yetu...
  14. Rais Samia kateleza ulimi. Kazi ya Mbunge si kuleta maendeleo wala kutoa huduma

    Rais Samia kateleza ulimi alipokuwa anatoa ufafanuzi wa hoja za Luhaga Mpina. Kazi ya Mbunge si kuleta maendeleo wala kutoa huduma kama alivyodai. Bali mbunge ni mwananchi anayewawakilisha wenzake Bungeni. Mbunge ni mwakilishi wa wananchi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...
  15. Haya ndiyo madhara ya kumuita mama. Kila mtu anamuona kama mtoto wake wa kumzaa

    Mlipokuwa mnaita mama, mama, mama, sasa haya ndiyo madhara yake. Ukimueleza ukweli anaona kama unamkosea unamvunjia heshima mama. Ukimkosoa anaona hastahili kukosolewa, unamkosoaje mama yako mzazi wakati wewe ni katoto tu? Tuliwaambieni haya mambo mkaona kama hatuna nidhamu kwa mama. Mnalo...
  16. Kwa Dola iliyo makini, Luaga Mpina ni Kiongozi Tunu katika Taifa, Shangwe alopigiwa Mpina, na Ukimya aloupata Samia na Bashe , unatoa Picha halisi!

    Mwanzo Hadi Mwisho wa Hotuba ya MPINA, Wananchi walionekana kufurahia Hoja na kwakuonyesha Hisia Kwa Hoja Makini za Mbunge wao, wananchi wamepiga Makofii, vifijo na nderemo. Alipoingia Rais Samia, Licha ya vichambo vingi Sanaa, Licha ya backup ya Bashe, Bado wananchi wameonekana kutowaelewa...
  17. PreGE2025 Kutokana na kauli za Rais Samia za hivi karibuni, Luhaga Mpina na Askofu Gwajima wanatakiwa wajiongeze

    Mama Samia ametoa kauli tena akiwa na Uso wenye hasira kwamba "Luhanga Mpina ni Mbunge wa Kitaifa na siyo Mbunge wa Kisesa" akaendelea na kusema "Anaruka ruka tu" baada ya kauli hiyo NAOMBA kuuliza Swali la Ufahamu. Je, Luhanga Mpina anaweza kujihesabu kama Mbunge wa CCM? Hiyo siyo kauli ya...
  18. Hitimisho langu! Kwa nilivyomsikia Lissu jana na nilivyomsikia Samia leo, Acha tu nchi izidi kuwa masikini na deni la taifa lizidi kuongezeka

    Kwa nilivyomsikia Tundu Lissu jana akitema madini kwa ufasaha wa hali ya juu na akili iliyotulia bila hata papara huku akiwa anaishi na kuteswa Gerezani na namna nilivyomsikia Rais Samia leo akimsema vibaya mbunge wa CCM Luhaga mpina kwa namna alivyosimama kutetea maslahi ya wananchi wake...
  19. R

    PreGE2025 Mpina: Rais Samia jimboni Kisesa tunakudai, wanaosema 'hatukudai' fedha zao zihamishiwe Kisesa

    Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amemwambia Rais Samia Suluhu Hassan kuwa jimbo lake bado linamdai fedha za maendeleo na kwamba maeneo mengine yanayodai hayamdai, fedha zao zihamishiwe Kisesa. Mpina ametoa kauli hiyo leo, Jumanne Juni 17, 2025, wakati wa mkutano wa hadhara unaofanyika Wilaya ya...
  20. Barua ya kuomba Magari kwa ajili ya kusafirisha Wananchi kwenda Mwanza kwenye ziara ya Rais Samia

    Wakuu! CCM wanatafuta nyomi la kutengeneza huko, == Halmashauri ya Manispaa ya Geita imeandika barua kwa Wakuu wa Shule Binafsi, Msingi na Sekondari katika Manispaa hiyo, ikiomba magari kwa ajili ya kusafirisha wananchi kwenda Mwanza kushiriki katika ujio wa Rais Samia katika hafla ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…