Ndio, nimealikwa kwa rafiki zangu wakristo, nami ni mwislamu.
Pilau nimekula, nyama za kuchoma, pilipili, kachumbari, samaki, juisi na pombe juu nimekunywa
Tunafurahi na hata uzi huu nauandika nipo hapa kwa wakristo ndugu zangu.
Siwezi kuacha, eti kwa kuwa kuna shehe karopoka eti tusile...