Sio kwamba mtu lazima aende kila siku, lakini mara nyingine watu hupitia hotelini, lounge, bar au pub.
Huko, hata kwa kunywa vinywaji vichache tu, hupatikana nafasi nzuri ya kukaa pamoja, kupiga stori za aina mbalimbali, kujuana, na kubadilishana mawazo bila kujali hali ya kiuchumi, vyeo, dini...
Ukweli useme na mpaka sasa nchi yetu kuna madawa ya kulevya.Kuna siku nilienda kumywa pombe ambazo zinaongoza kwa majina ila unakuta utazani kuna kipindu pindu.wakati sio sehemu.
utumbo wako unajiuliza mpaka nzi kutofikia.
haya leo.Nimegundulika na tumia madawa ya kulevya wakati sio mtumiaji...
Kuna mbinu mbalimbali wanapewa watu ambao wanataka kuacha pombe.
Mfano wa hizo mbinu wanazopewa lakini mwisho wa siku wanarudi kulekule ni hizi.
1)Kupunguza kiasi cha unywaji.
Hapa ushauri wanaopewa ni kupunguza idadi ya pombe au siku za kunywa pombe.
Mfano kama alikuwa anakunywa bia 10 kwa...
Zanzibar imepiga marufuku uuzaji pombe Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, na kwamba hatua za kisheria zitachukuliwa kwa wote watakaobainika kuuza.
MY TAKE;
Je, Zanzibar ni Mikoa wa Kiislam? Au washajiunga Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kwa siri?
Salaam Wakuu,
Nahisi baadhi ya watu wasiokunywa au kuonja pombe hawana akili timamu.
Wana maongezi ya kindezi ndezi.. Hawana madili hata tone...
Wanachojua ni Umalaya, Uasherati, Uzinzi, Umbeya, Wizi, na roho mbaya.
Nahisi watu wasio kunywa pombe hawana akili timamu.
Watu wanaobaka na...
Raha sana pale unapokuwa ubanda katika hali ya utulivu.
Pengine waweza kuwa unazimua au ndio unaanza kukata kiu.
Mama muuza anawaweka katika hali ya kuwaficha kukwepa vijineno vya kijijini.
Ni alfajiri haswa pale kunapoanza kupambazuka.
Moyo huwa na amani sana na furaha pale uvutapo Funda...
Pombe kweli haina kalenda 😂
Nilisema “nakunywa mbili tu, kesho ninaamka mapema.”
Zile “mbili” zikawa 3, zikawa, 4, zikawa 6
asubuhi:
Alarm inalia → nainyamazisha kwa hasira
Kichwa kinapiga ngoma ya mdundiko
Mdomo una ladha kama niliweka betri 🌚
Nilifika kazini nikitembea kama Wi-Fi isiyo...
Kijana Deogratius James Ottaru (37), mkazi wa Kijiji cha Kirima Kati, Kata ya Kibosho Kirima, wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro, amekutwa amefariki dunia ndani ya nyumba yake aliyokuwa akiishi peke yake.
Taarifa zinaeleza Drogratius (marehemu) alifariki takribani siku mbili kabla ya...
Kwa wakubwa wetu waliozaliwa miaka ya 1960-1970, maarufu kama baby boomers, watakuwa na kumbukumbu nzuri ya usemi maarufu wa enzi hizo, "Sex, drugs, rock and roll" ambao kimsingi ulikuwa ni wimbo wa Ian Durry wa mwaka 1977.
"Sex, drugs, rock and roll" haukuwa wimbo au usemi tu wa wakati huo...
Wakuu naandika huu Uzi nikiwa mitungi kinoma noma. Kwa mara ya kwanza katika maisha yangu ya ULEVI na nimepiga nusu glass na kulewa chakariii..
Kuna bia zimetengenezwa na mkono wa jini wa jomba aminini nawaambia , alcohol ndogo ila Busta lake ni barahaaaa!!!
Kuna tofauti kubwa sana kati ya bia na pombe.
Pombe zote zinazoitwa bia zinatengenezwa na kiwanda cha serengeti sio bia ni pombe.
Pombe nyingi za TBL sio bia. Ni pombe. Isipokuwa Castle lite tu.
Windhok ni bia
Heinken ni bia
Castle lite ni bia
Hizo nyingine hazijatengenezwa kwa pure shahiri...
Nimefanya utafiti na kupata uhakika juu ya hili.
Pombe unalewa na ukiweza kuzicontrol unalewa na kwenda kulala.
Japokuwa zinawazidia wengine kiasi cha kupoteza harakati za kimaisha lakini athari zake si kubwa kama ngono.
Ngono imejaa madhara ya kila namna. Magonjwa kibao kiasi kwamba bora mtu...
JohPombe Magufuli Jiwe,
Nikiri. Najua hutasoma barua hii. Najua wafuasi wako wataisoma. Naandika kwa hasira na uchungu. Yote ni kutokana na uliyotufanyia. Uliachia maumivu. Wapo wanaoumia tokana na pengo uliloacha. Pia, wapo wanaoumia kwa sababu ya ubaya ulioacha.
Bwana John, ni...
Wakuu habari
Naomba kufahamu kati ya unywaji wa pombe kali au bia,
Issue ya ladha, relaxation na mood ile ya kuhisi vibe fulani, ndio vinawaletea munkali?
Ladha gani mnayoipenda kwa bia na pombe kali.
For user only🔥
Tusitafute kiki bila mpangilio.
Kwenye uchaguzi wa 2015 CHADEMA iliwahi kulalamika kumuona Raila Odinga anamuendorse Magufuli kwenye kuwania urais .
Hii kiki ya makamu mwenyekiti wa chadema kulilia kwenda kumzika Odinga ni unafiki wa hali ya juu.
Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilitoa uzi wa kuzungumzia hii biashala ya pombe kali lakini changamoto ilikuwa capital.
Nikaomba kama kuna MTU anaweza tukaungana tukatengeneza kitu kikubwa lakini bado hakutokea.
Leo nimewaletea sample kuwaonesha hatua niliyofikia hivyo tayari nina jina, lable...
Sina haja ya kuwasalimia coz mara nyingi huwa hamuitikii.
Sisi wanaume wenye wake wasiokunywa pombe tunapitia wakti mgumu sana.
Tunaongozana vizuri kwenda bar kuinjoy life but kufika huko bar unashangaa mtu anakunywa juice au flying fish tu.
Sasa wakuu kweli tuchoshane coz ya flying fish tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.