polisi

  1. figganigga

    JamiiForums Tanzania Polisi wa Kigamboni wameungana na Wananchi wa Kimara kuwatia moyo

    Salaam, Nimefarijika sana.. Maandamano ya leo yalijaa wana wa Jeshi. Sio Polisi wote wabaya. Wanne wametoka Kigamboni, Askari Magereza Wawili wametoka Mbezi beach, Wanajeshi Watatu wametoka Goba. Tumekinukisha balaa. Leo baada ya night shift, tutahakikisha tunaenda maandamano yalipo...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Kumbe Jeshi la Polisi Tanzania ni wepesi kiasi hiki!🤣🤣

    Sikutegemea kwamba chini ya Uongozi wa Afande Mliro, kuna kamanda atakosa msaada wa wenzake na kuamua kutelekeza kituo, Silaha, nna kuvua sale ya dola kuanzia buti Suruali na Mkanda n kutokkomea kusipo julikana. Nilitegemea Polisi akizidiwa ataita wenzie waje na yale magari mapya waliyopewa...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Dar: Jinsi Kituo cha Polisi pale Ubungo External kilichochomwa na waandamanaji

    Haya ni matokeo ya maandamano yaliyoendelea usiku wa kuamkia leo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Arusha: Kituo cha Polisi cha Olorieni chateketezwa kwa moto na waandamanaji

    Kituo cha Polisi cha Olorieni kimeteketezwa kwa moto na waandanaji usiku huu
  5. Genius Man

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi waliowategemea wamekimbizwa na wananchi kama mwizi!

    Polisi walio wategemea wamekimbizwa na wananchi kama mwizi 🤣🤣🤣 heti umepewa nafasi ya muda tu ya uraisi unaanza dharau na vichambo sijui mimi amri jeshi sasa ngoja uone mziki.
  6. Black Opal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi lipo na wananchi, linawalinda wananchi kutumiza azma yao

    Kama mnavyoona na kusikia kwenye video hapo jeshi limetulia na kuwaacha wananchi wafanya yao bila shida! Polisi wakatika kuzidi nguvu wananchi, Jeshi linazogea mbele kuwangika na kuacha maadamano yaendeleee. Ni suala la muda kazi inaisha, heshima inarudi tanzania.
  7. Black Opal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kituo cha Polisi Tabata Relini chachomwa moto

    Wananchi wamepita na kituo cha polisi Tabata Relini, mabomu yanarindima huko hadi maeneo ya Buguruni. Harakati za kufika Ikulu zinaendelea. Leo polisi wamejua Watanzania sio waoga! Upole haimaanishi mtu hawezi kukurarua. Mtu anakuwa anakulia timing tu, akichoka utajua ujui. Polisi...
  8. Black Opal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Wananchi kadhaa wajeruhiwa kwenye maandamano katika majibizano na polisi

    WAkati maandamano yakiendelea kushika kasi na kupamba moto, wananchi kadhaa wameonekana kujeruhuwa baadhi wakiwa wanaingizwa kwenye magari ya polisi huku wengine wakisaidiwa na wananchi wenzao. Hapa inatakiwa kuhakikisha mtu hakamatwi na polisi, akiumiwa asaidiwe na kupatiwa msaada wa kwanza...
  9. Black Opal

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kituo cha Polisi cha Mabatini Sinza chachomwa moto, risasi zarindima

    KInachoendelea huko Mabatini Sinza, kituo cha polisi kimetiwa moto, polisi nao wapigana kujaribu kuwadhibiti wananchi lakini wanazidiwa nguvu. Kwa upande mqingine wanajeshi wameanza kuungana na wananchi. Mambo yakiendelea vizuri siku itaisha nchi ikiwa mikononi mwetu.
  10. DuaZaMama

    JamiiForums Tanzania GE2025 Polisi wadhibiti vurugu Ubungo Kibo, magari yakwama kwa muda

    Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es Salaam, limedhibiti vurugu zilizokuwa zinafanywa na baadhi ya watu katika eneo la Ubungo Kibo kuanzia saa 4:00 asubuhi hii ya Oktoba 29, 2025. Watu hao walianza kufunga Barabara ya Morogoro kwa kupanga mawe na kuyarushia mawe magari yaliyokuwa yakipita...
  11. R

    JamiiForums Tanzania GE2025 Jeshi la Polisi yakanusha video ya Wamasaai Kuandamana kudai haki zao Arusha

    TAARIFA KWA UMMA Jeshi la Polisi lingependa kutoa ufafanuzi juu ya picha mjongeo (video clip) inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii ikisema "Wamasai waanza maandamano kudai haki zao Arusha". Ukweli ni kwamba picha hiyo mjongeo ilikuwa ni wakati wa sherehe za jando/tohara mwezi Juni 2025...
  12. Influenza

    JamiiForums Tanzania GE2025 Msemaji wa Polisi: Hakuna tishio lolote la kiusalama lililobainika hadi sasa

    Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, David Misime, amethibitisha kuwa hali ya usalama nchini ni shwari na salama, akiwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi katika vituo vyao vya kupigia kura ili kutimiza haki yao ya kikatiba. Akizungumza leo, Oktoba 29, 2025, kwenye kipindi cha Jambo Tanzania cha...
  13. P

    JamiiForums Tanzania Idadi ya polisi Tanzania.

    Wadau naomba niulize jambo. Idadi ya watanzania kwa makisio ya sensa, kwa mwaka 2025 ni millioni 67.5. wanaume ni zaidi ya millioni 30, vijana wakiwa wengi zaidi. Idadi ya polisi kwa makadirio ya umoja wa mataifa ni karibu elfu 40 tu. Yani 40,000. Sasa jumlisha ata na vyombo vingine mfano jeshi...
  14. Candela

    JamiiForums Tanzania Msiwalaumu sana Polisi

    Nguvu wanayoitumia Polissi kupambana na raia wangeitumia shule sasa hivi wasingekuwa polissi. Anyway msiwalaumu sana maana 99% ni wale waliofeli shule wakakimbimbilia upolisi, hata hao wenye degree wengi i wale wa uwe na D mbili ikiwemo ya hisabati. Kwa kifupi walifeli shule wakaunga unga...
  15. Kipenzi Changu

    JamiiForums Tanzania Mbona Polisi wanakuwa kama Fisi? Kwani walijua ni Lissu yupi?

    Wamemkamata dada wa watu. Kwani walijua ni Lissu gani anayependwa? Hivi maLissu wapo wangapi huko Manyoni na Itigi? Haya basi tuseme hapa anapendwa Tundu! Mnakataza hata kupenda watu? Je kama ni mjomba ake? Mbona mnakuwa kama mafisi?
  16. H

    JamiiForums Tanzania Polisi Wamedhihirisha ni Maadui wa JWTZ, Madaktari, Walimu, Vijana; Tuitikie Walichokianzisha Kila Mtu Kwa Nafasi Yake.

    Kwenye ile clip ya Muliro na Mafwele, Mafwele ametamba na kutoa idadi ya wanajeshi wa JWTZ waliowateka ambao bado wanawashikilia, akawataja idadi ya madaktari waliowateka na kuwashikilia, akataja idadi ya walimu waliowateka na kuwashikilia, amewataja wahasibu waliowateka na kuwashikilia...
  17. Agent-47

    JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi, polisi wako upande wa hatari kupambana na vijana wa gen z

    Kuna report moja ilichapishwa na watu wa wizara ya afya kama 2 years ago. Wali report “health status” ya watu na katika sectors tofauti. Polepole aliirejea wakati anatoa takwimu zake za mambo ya afya wiki tatu zilizopita. Ukiisoma vizuri hile kitu unagundua kuwa polisi wengi wana ishu za...
  18. Chibike

    JamiiForums Tanzania JWTZ, kweli mtu wa Jeshi la Polisi anawateka kama si kuwakamata your brothers na MPO kimya tu...

    Kisa mtu ama watu na nyumba zao wamekaa kuweka mabango ya Samia kwenye kuta zao... halafu ni kama yeye Sasa ni Mwenyezi Mungu Sasa yeye kusema biashara yao imeisha...kwamba ana Haki miliki na maisha ya watu... Aisee ..halafu hivi mnajua linaitwa jeshi la WANANCHI ...NA SIO jeshi la ccm ama...
  19. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 Maeneo ya kimkakati ambayo Polisi hawawezi kuzuia maandamano

    1. Vituo vya kura 2. Sheli za mafuta Leo naongelea eneo la pili, "Fire/Fuel is the key" Ndugu wa Tanzania ikitokea mko karibu na kituo cha mafuta na polisi wameamua kutumia nguvu nyingi, kimbilieni eneo la Sheli ya mafuta kwa sababu hawawezi kurusha silaha yoyote ya moto, wakirusha Sheli...
  20. Just Pray

    JamiiForums Tanzania Tarime wanakiwasha, bodaboda wamewasha moto baada ya kuchoka manyanyaso ya Polisi

    Huko Tarime wenzetu wapo mbele ya muda sana, Asubuhi ya leo bodaboda wamewasha moto baada ya kuchoka manyanyaso ya Polisi.
Back
Top Bottom