polepole

Humphrey Polepole is a Tanzanian politician serving as the Chama Cha Mapinduzi's Ideology and Publicity Secretary and Member of Parliament appointed by President John Magufuli. Before being appointed Humphrey Polepole was a District Commissioner for Ubungo district for five months and earlier Polepole also served as District Commissioner for Musoma District for two months.

View More On Wikipedia.org
  1. P

    VR inazidi Kuangaza juu ya Polepole inasemekana ni mwizi 2015 na pia mtekaji mkubwa

    HUYU JAMAA NIkUMPUUZAA MAANA NI MUHUNI ALIEKIDHIR Polepole na uongo na siasa za ujanja janja Mwaka 2014 Magufuli alituletea MV Bagamoyo ambayo Kwa kifupi pesa zote Milion 710 hazionesha mzabuni ni nani na imenunuliwaje, ikajitokeza kwenye TV Channel 10 ukiutetea wizi huo na kusema mkataba...
  2. Kinoamiguu

    Polepole anakabia juu. Mnoo, machawa wanakanyagana tu

    Mpaka sasa balozi polepole anakabia juu mno. Machawa wanaweweseka hawawezi kumjibu wana rukarua. Nyie machawa wa lumumba. Polepole ana data/ takwimu mjibuni kwa takwimu siyo viroja vya hoja ! Balozi amesema MAGUFULI alimalizwa na Wanamtandao wewe unatutajia mambo ya MELI sijui afya yaakili...
  3. R

    Polepole ndilo tumaini lililobaki la kupaza sauti baada ya Lisu kuwekwa gerezani

    Wenye mapenzi mema na Tanganyika tumuunge mkono kwa kumpa moyo na kumwombea.
  4. M

    Polepole apewe msaada haraka

    Yanayojili hivi sasa kwa Humphrey polepole wengi hawajayachukulia serious kutokana na kuonekana hayupo sawa katika afya ya akili, hivyo basi kama upo karibu naye hakikisha anaweza kupatiwa matibabu hayo. Maana kilichompelekea kufikia hapo ni kupewa madaraka ya kuwa balozi wa Tanzania nchini...
  5. toto2000

    Polepole ni mwana siasa wa uongo kupitia kiasi

    Hii aina ya siasa anayofanya polepole ndio aina ya wanasiasa wengi Tanzania ambao hawana malengo wanatumia majina yao kuwashawishi na kuwadanganya WANANCHI kuwaminisha kuhusiani na gharama za nishati na wanaamini kwamba WANANCHI hawawezi kutafuta uthibitisho wowote juu ya propaganda zao
  6. A

    Polepole tusemee na bei internet (bundle), tunapigwa?

    1. Bei ya bundle ni kubwa kuliko Cuba? Maana wanyonge tunateseka kimya kimya hakuna pa kusemea. wengine biashara zetu bila internet tutakufa njaa. 2. Internet ni huduma si biashara Born town mtandao ikiwa wanatufanyia michezo tujue.
  7. K

    Kama yale anayoyasema ndugu Polepole kuhusu bei ya gesi ni ya kweli basi Serikali ichukue hatua za haraka kurekebisha bei ya gesi

    PolePole anasema kuwa bei ya kilo 15 ya gesi ya kupikia kwa Tanzania isingezidi Tshs.10,000(elfu kumi). Kama kweli anasema ukweli basi kwa Serikali inayojali wananchi wake basi ni vema ikapunguza bei ya gesi ya kupikia. Mhe. Rais anasema kuwa tupunguze sana kupikia kuni ambayo nchi yetu...
  8. R

    Humphrey Polepole: Popote ulipo, naomba jibu la swali hili ukija kwenye press ya tarehe 3/9/2025 kama ulivyoahidi

    1. Kama ulivyosema, UONGOZI/viongozi wanachaguliwa/ wanatafutwa na mtu hatafuti uongozi. 2. Sasa kama uongozi unatafutwa na chama na siyo individual, na wewe ni mmoja wa senior members wa CCM na ulishiriki katika mchakato wa kumpata Mgombea Mwenza, kweli mlikubaliana kuwa huyu mama anaweza...
  9. R

    Humphrey Polepole: Key Components of EPC+F

    Haya mabo si vibaya kuyaelewa kidogo: C&P from Google EPC+F, or Engineering, Procurement, Construction, and Finance, is a project contracting arrangement where the contractor is responsible for all phases of a project, including securing the necessary financing, in addition to designing...
  10. The Father of All

    Wanaosema Humphrey Polepole hana jipya wajue

    Japo wengi hawaoni lolote jipya kwenya madai ya Humphrey Polepole, mie naona yapo mengi. Give the dirty his due. Polepole, ajue asijue, akusudie asikusudie, akiri asikiri, ana mapya mengi anayo. Huyu Mwanasheria wa ACT ni chawa anayedandia. Hebu tufikiri pamoja. Hapa jipya siyo kile alichosema...
  11. Allen Kilewella

    Polepole anaongea kisomi sana, CCM msikurupuke kumjibu

    Yale mambo yenu ya kutegemea waropokaji kumjibu Humphrey Polepole, CCM acheni... Huyu mwamba anaongea kisomi Sana, kiasi kwamba hata wale "Spin doctors" wenu wanapaswa kurudi darasani ili waweze kupimana ubavu na huyu mwamba.
  12. Mkalukungone Mwamba

    Polepole: Tunaweza kuwa na mitungi ya 2,000 kama Cuba, lakini tuna viongozi wabaya hawaelewi maslahi mapana ya nchi yetu

    Polepole: Tunaweza kuwa na mitungi kwa bei ya 2000 kama Cuba, lakini tuna viongozi wabaya awaelewi maslai mapana ya nchi yetu.
  13. Ryan Holiday

    Mazungumzo ya Ndg. Polepole leo 31 Agosti 2025 na umma

    1. Ndugu H. Polepole leo ameanza kuelezea bei ya mtungi wa gesi wa Kilo 20 Cuba ambayo ni 2000/= TZS na kusisitiza hapa Tanzania tunapigwa na Mafisadi, huku Gesi tunayo lakini mtungi ni 60,000/= TZS. Amefanya hivyo kwa kujibu hoja za Bwana Ezekiel Kimwaga aliyemkejeli Ndugu Polepole na kusema...
  14. Allen Kilewella

    Tofauti kati ya alichoongea Ali Hapi wakati ule na anachoongea Polepole sasa ni ipi?

    Kwenye hii "Clip" hapa chini Ali Hapi alionekana kuwakemea "wastaafu" aliodai wakati ule kuwa walikuwa wanamkwamisha Rais John Magufuli kwenye juhudi zake za kuijenga Tanzania. Ukiisiliza clip hiyo zaidi ya utofauti wa nyakati, utofauti wa maneno ya Ali Hapi wakati ule na maneno ya Humphrey...
  15. KING MIDAS

    Shukrani nyingi kwa Polepole. Naamini kituo kifuatacho Tutajuzwa walikopelekwa Azory, Saanane, na waliomtwanga risasi Lissu

    Sasa ni wakati sahihi wa Humphrey Polepole kutufichulia siri waliko kina Ben Saanane, Mdude_Nyagali na wengine waliopotezwa na utawala dhalimu wa CCM
  16. Samia atosha tukutane2030

    Hamjielewi kabisa. Badala ya kushinikiza serikali imwachie Lissu mtetezi wa kweli nyie mko busy kusikiliza hotuba za Polepole

    Ahahaha 🤣 🤣 🤣 Hii nchi ina wajinga wengi kweli. Tangu tupate uhuru honestly mtetezi wa kweli asiye na chembe chembe za utapeli, uoga, rushwa na asiye muoga ni Lissu. Watu wamemweka ndani kwa sababu za kipuuzi. Sasa wapinzani mngekuwa mna akili timamu na moyo wa kupenda Taifa lenu...
  17. Samia atosha tukutane2030

    Haya tufanye pesa zinachotwa kama anavyowaongopea Polepole na Mange Kimambi. Nyie mnasemaje? Mna la kufanya?

    Nikiwaita wajinga mnakasirika. Kutwa kutwa mnakesha kufuatilia habari za uzushi kutoka kwa Mange Kimambi na Polepole ambao wao pia ni wana CCM ambao mfumo umewakaanga. Polepole ana madudu mengi sana. Kesho nitayaanika hapa. Mange baada ya kukosa Ubunge ndipo kaja na utetezi uchwara. JPM alimpa...
  18. R

    Polepole ukimaliza kuanika Uozo agenda ijayo iwe tunatokaje kwenye Mkwamo huu tukiwa salama

    Mimi binafsi ulichokifanya kina matashi mema! Kina baraka za Mungu na wote wanaoipenda nchi yetu Tanganyika/Tanzania. Ukiacha vumbi lenu ndani ya CCM, ingawa linatugusa wote kwa sababu mnamiliki serikali na rasilimali zetu, mengine uyasemayo wengi wanakuunga mkono! Thanks ulisema uko hata hapa...
  19. Chizi Maarifa

    Polepole tuache. Inatosha unazidi kutuchimba kwenye kidonda. Hatutaki kuyajua hayo tuwache

    Speech yako ya mwisho haijaisha unaleta nyingine? Unawabandika, bandua we unatumia Mkongo? Bado tunajitahidi kusema wewe Muongo na kukuzushia hatujamaliza unaleta tena drones nyingine kutaka lipua vinu vyetu vya Nyuklia? Waache watanzania kwa sasa wanapokea tshirt na khanga wanapokea 5,000...
  20. D

    PolePole kuzungumza na Umma kesho tarehe 1/9/2025 saa 3 usiku.

    Ameahidi safari hii lazima wahuni wapoteane.
Back
Top Bottom