plastiki

The Plastiki is a 60-foot (18 m) catamaran made out of 12,500 reclaimed plastic bottles and other recycled PET plastic and waste products. Michael Pawlyn of Exploration Architecture worked on the concept design with David de Rothschild and helped to shape some of the key ideas. The craft was built using cradle to cradle design philosophies and features many renewable energy systems, including solar panels, wind and trailing propeller turbines, and bicycle generators. The frame was designed by Australian naval architect Andrew Dovell. The boat's name is a play on the 1947 Kon-Tiki raft used to sail across the Pacific by Norwegian explorer Thor Heyerdahl, and its voyage roughly followed the same route.On March 20, 2010, the sailing vessel set off from San Francisco, California to cross the Pacific Ocean with a crew of six: British skipper Jo Royle, co-skipper David Thompson, expedition diver Olav Heyerdahl, filmmakers Max Jourdan and Vern Moen, and expedition leader David de Rothschild. The expedition projected landfall in Sydney, Australia and included plans to visit several sites en route of ecological importance or which were susceptible to environmental issues caused by global warming, for instance the current sea level rise, ocean acidification and marine pollution.
Plastiki arrived in Sydney Harbour on July 26, 2010, accompanied by a small flotilla of boats. Shortly afterwards, it was towed to the Australian National Maritime Museum in Darling Harbour, where it was on display until late August.

View More On Wikipedia.org
  1. Mifuko ya plastiki (Rambo) inarudi Kwa Kasi sana; hii Ina maana Gani?

    Baada ya kuzuiwa zile rambo watu wakaanza kuleta vimifuko vidogo vyeupe vya plastic tukahoji sana uhalali wake lakini sikuona ufuatiliaji Hali ikaenda mara tukazoea vifuko hivyo lakini kukawa na mifuko mingine ikaitwa ya magufuli na hapa kati kukashamiri mifuko mingine mingine tuliyozoeaga...
  2. M

    Kuna ubaya ukiweka cpu ya kulala juu ya ndoo ya plastiki badala ya meza ya mbao ?

    wakuu habari zenu, nauliza hili swali kwasababu kuna mwanafunzi nilimpa cpu nikakuta kaiweka juu ya ndoo badala ya meza ya mbao
  3. I

    MTAWADA: Bei ya kilo moja ya taka za plastiki Desemba – Februari hushuka hadi Tsh. 100

    Waokota taka jijini Dar es Salaam wamehimizwa kujiunga na matawi ya Mtandao wa Waokota Taka Dar es Salaam Rejeshi (MTAWADA) yaliyopo katika mitaa yao, ili kuwezesha kupaza sauti zao dhidi ya changamoto zinazowakabili. Baadhi ya changamoto zilizotajwa ni pamoja na kutokueleweka kwa utaratibu wa...
  4. Aliebuni mashine ya kuchakata plastiki kuwa petroli atoweka

    Mwanaume mmoja anayefahamika kwa jina la Julian Brown aka Nature jab mzaliwa wa Atlanta adai kugundua mashine inayoweza kubadilisha taka za plastiki kuwa petroli na diesel safi hajaonekana mtandaoni zaidi ya wiki tatu. Chapisho lake la mwisho katika mtandao alisema yupo kwenye hatari. Chanzo...
  5. M

    Wizara ya mazingira saidieni upunguzaji wa taka za plastiki

    Waziri unayehusika na mazingira, Tafadhali okoa ardhi ya Tanzania kwa kuhakikisha unapunguza uchafuzi wa mazingira kwa taka hatarishi za plastiki na vifaa vya kielekitroniki. Nina uhakika miaka 10 ijayo ardhi ya nchi yetu haitafaa tena kwa kilimo sababu itakuwa imechafuliwa sana. Unalipwa na...
  6. pallets ya mbao za plastiki.

    Habari Tunayo furaha kuwajulisha kua Kampuni ya Zanrec Recycling Company tunatengeneza pallets kwa kutumia mbao za plastiki, ni pallets imara na zina dum kwa miaka mingi kama ilivyo plastiki, pallets hizi zinabeba adi tone 1.5 na zinatumika kwa matumizi mbalimbali kama kwenye kubebea mizigo ya...
  7. Kampuni ya ZANREC RECYCLING tunajishughulisha na utengenezaji wa mbao na nguzo za plastiki

    Kampuni ya ZANREC RECYCLING tunajishughulisha na utengenezaji wa mbao na nguzo za plastiki, ni mbao imara na zinadum kwa mda mrefu kama ilivyo plastiki huishi zaidi ya miaka 50, mbao hizi zinatumika kawaida kama mbao zingine, uzuri wa hizi mbao haziozi, haziliwi na wadudu, pia ni rafiki kwa...
  8. Tunauza sun bed / kitanda cha beach cha mbao za plastiki

    Habari ndugu, tunauza vitanda vya beach pamoja na hotelini, vitanda hivi ni imara na vinadum mana tunatumia mbao za plastiki ambazo haziozi, haziliwi na wadudu, wala mchwa, mbao ni imara sana zinafaa ata sehem zenye majimaji, vitanda hivi ni vzr sana , tunapatikana dar es salaam na zanzibar...
  9. Ardhi inalia kisa chupa za plastiki

    Picha: My Camera "Hatuna dunia nyingine. Lazima tuitunze na kuihifadhi." – Wangari Maathai Kuna mdau aliandika hapa kuwa mmeamua kupamba jiji la Dar kwa chupa za plastiki. Sasa hii hapa ni Kilimanjaro na ni picha ya eneo moja Kama elimu yaijatukomboa fikra zetu basi hata sheria na kanuni...
  10. Trump kusaini agizo la kuachana na mirija ya karatasi, kurudisha mirija ya plastiki

    Wakuu, Kwa uncle Trump huko ji bandika bandua, kila siku anakuja na agizo jipya, mpaka Wamarekani watajuta kumfahamu. ==== Trump akimjibu chawa Musk kupitia ukurasa wake wa X baada ya kububujikwa na machozi ya furaha kwa kuambiwa yeye ni rais bora kabisa, amejibu kwa kusema kuwa atasaini...
  11. W

    Matokeo ya Serikali kukataza kutumia vifaa vya plastiki kununulia mafuta kutoka Petrol Station

    Ni takribani miezi miwili sasa tangu serikali ipige marufuku matumizi ya vifaa vya plastiki (vidumu vya lita tano au madumu ya lita 20) kuchukulia mafuta kutoka vituo vya mafuta. Leo katika pita pita zangu nikakutana na hili jambo ambalo sasa watu wengi ambao wana uhitaji wa mafuta wanatumia...
  12. Wanaouza bidhaa za bei rahisi, sahani za plastiki na yeboyebo au viatu vya bei rahisi, mitumba nje ya dareslaam tukutane hapa

    Wakuu hii ni mada maalum ya kupeana mbinu, updates na kushea uzoefu kwenye biashara hizi za minadani au magulio. Nina plan na mikoa ya nyanda za juu kusini kibiashara. Nataka kupeleka mitumba, vikombe vya plastiki na yeboyebo. Karibuni kwa mjadala
  13. W

    Nigeria kusitisha matumizi ya Plastiki katika ofisi za Serikali

    Nigeria imetangaza kusitisha matumizi ya plastiki leo Juni 27, 2024 katika ofisi za serikali kama hatua ya awali kabla ya kusitiza matumizi ya kitaifa kuanza Januari 2025 Kulingana na tafiti zilizofanyika na Shirika la (US Agency for International Development) zinaonyesha kuwa Nigeria ni...
  14. KWELI Matumizi ya vyombo vya plastiki kuwekea chakula au vinywaji vyenye joto kali yana madhara kwa binadamu

    Katika jamii yetu ya kitanzania asilimia kubwa inatumia vyombo vya plastiki kunywea na kulia chakula, lakini nimekuwa nikisikia kuwa plastiki ina madhara makubwa kwa afya ya binadamu, wapo wanaodai inasababisha saratani, wengine inamaliza nguvu za kiume kwa wanaume na mambo mengi. Je, ni kweli...
  15. Madaktari Muhimbili wamtoa mtoto kipande cha plastiki kwenye mapafu alichoishi nacho miezi 23

    Madaktari Bingwa wa Hospitali ya Taifa Muhimbili wamefanikiwa kutoa kipande cha plastiki kwenye pafu la kushoto la mtoto mwenye umri wa miaka 11, kupitia kifaa maalumu kinachoitwa Flexible Bronchoscopy. Kifaa hicho kinatumia mpira laini wenye kamera ya uchunguzi wa mapafu bila kuhitaji mgojwa...
  16. B

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa design yangu ya chupa za plastiki?

    Wapi naweza pata huduma ya kutengenezewa aina ya chupa za plastiki design ninayoitaji mwenyewe?
  17. SoC03 NISHATI MIX-Mashine ya kuzalisha umeme pamoja na gesi kwa kutumia Plastiki na Uchafu unaooza

    Nishati
  18. V

    SoC03 Uchambuzi juu ya uwajibikaji katika kupunguza ongezeko la taka za plastiki

    Tarehe tano mwezi wa sita kila mwaka ni siku ambayo dunia nzima inaazimisha siku ya mazingira. Mwaka huu 2023, siku hii imebeba kauli mbiu “ Pinga uchafuzi wa plastiki”.Nyaraka hii itaangazia athari za plastiki katika mazingira na afya, pamoja na uwajibikaji kwa wananchi,serikali,mashirika...
  19. Mifuko ya Plastiki yazuiwa Muhimbili

    Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo...
  20. Mifuko ya Plastiki yapigwa marufuku Hospitali ya Muhimbili

    Uongozi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili umepiga marufuku matumizi ya mifuko ya plastiki kwa watoa huduma na ndugu wa wagonjwa katika mazingira ya hospitali (Upanga na Mloganzila) ikiwemo wodini na maeneo mbalimbali ya kutolea huduma. Kwa mujibu wa taarifa kwa umma iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…