mtataina
Member
- Mar 18, 2025
- 13
- 6
Habari,
Tunayo furaha kuwajulisha kuwa Kampuni ya Zanrec Recycling Company inatengeneza pallets kwa kutumia mbao za plastiki. Hizi ni pallets imara na hudumu kwa miaka mingi kama ilivyo plastiki.
Pallets hizi hubeba hadi tani 1.5 na hutumika kwa matumizi mbalimbali, ikiwemo kubebea mizigo stoo, kwenye magari, kwenye maghala na matumizi mengine. Zina ukubwa wa sentimita 110 × 102 na bei yake ni Sh 135,000.
Mbao za plastiki haziozi, haziliwi na wadudu wala hazibunguliwi.
Tunapatikana Dar es Salaam na Zanzibar.
Namba zetu ni 0757671874.
Barua pepe: sales@zanrec.co.tz
Tunayo furaha kuwajulisha kuwa Kampuni ya Zanrec Recycling Company inatengeneza pallets kwa kutumia mbao za plastiki. Hizi ni pallets imara na hudumu kwa miaka mingi kama ilivyo plastiki.
Pallets hizi hubeba hadi tani 1.5 na hutumika kwa matumizi mbalimbali, ikiwemo kubebea mizigo stoo, kwenye magari, kwenye maghala na matumizi mengine. Zina ukubwa wa sentimita 110 × 102 na bei yake ni Sh 135,000.
Mbao za plastiki haziozi, haziliwi na wadudu wala hazibunguliwi.
Tunapatikana Dar es Salaam na Zanzibar.
Namba zetu ni 0757671874.
Barua pepe: sales@zanrec.co.tz