Nawaunga mkono wanaokataa ndoa, ndoa kwa sasa ni utapeli hususani kwa vijana wa kiume na wanaume.
Kijana wa kiume ukishindwa kabisa kujizuia kutoishi na mwanamke basi tafuta mwanamke atakayekuwa jirani na wewe ambaye atakusaidia mambo fulani yaende.
Usifunge ndoa, Ishi naye akiwa hajui kama...