puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 1,047
- 2,167
Habari zenu ndugu zangu natumai mko poa. Kuna jambo, huwa linaumiza sana acha niwashirkishe ndugu zangu.
Kuna wakati, naweza nikawa na mazungumzo na mtu aidha tumekwazana katika jambo fulani, aidha kibiashara, kijamii, kimahusiano n.k, naweza kuta nina hoja za msingi sana, bila matusi, kejeli wala dharau naweza kumweleza mtu huyo na akanielewa na mambo yakakaa sawa na tukaendelea kuheshimiana kama kawaida.
Tatizo linakuja pale ninapofika kwenye field (Yani ninapokutana na muhusika) anaweza akaongea neno likaniumiza hasira ulipuka na kujikuta nazungumza nisivyokusudia, na mara nyingi sizungumzi vitu vya msingi nilivyokusudia matokeo yake badala ya kuweka mambo sawa, ndio nazidi kuharibu.
Baadae akili ikutulia ndio naanza kujilaumu kwa nini, nilishindwa kudhibiti hasira zangu lkn inakuwa too late
Kuna wakati, naweza nikawa na mazungumzo na mtu aidha tumekwazana katika jambo fulani, aidha kibiashara, kijamii, kimahusiano n.k, naweza kuta nina hoja za msingi sana, bila matusi, kejeli wala dharau naweza kumweleza mtu huyo na akanielewa na mambo yakakaa sawa na tukaendelea kuheshimiana kama kawaida.
Tatizo linakuja pale ninapofika kwenye field (Yani ninapokutana na muhusika) anaweza akaongea neno likaniumiza hasira ulipuka na kujikuta nazungumza nisivyokusudia, na mara nyingi sizungumzi vitu vya msingi nilivyokusudia matokeo yake badala ya kuweka mambo sawa, ndio nazidi kuharibu.
Baadae akili ikutulia ndio naanza kujilaumu kwa nini, nilishindwa kudhibiti hasira zangu lkn inakuwa too late