oktoba 29

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Just Pray

    Samia blamed for shattering Tanzania's aura of stability

    Tanzania remains gripped by the aftermath of its worst post-election violence in decades. This crisis has shaken its long-standing reputation as a beacon of peace and stability in Africa. It has also earned the country rare rebukes from regional and continental organisations. In a defiant...
  2. Just Pray

    Mwenyekiti wa UVCCM anasema vijana walichoma zahanati wakakosa huduma ya kwanza na kusababisha kupoteza maisha kwa makosa yao

    "Waliposhiriki vurugu, wengine walipoumia, ilitakiwa wapelekwe zahanati zilizopo jirani, lakini zilikuwa zimeshachomwa hali iliyopelekea kupoteza maisha kwa makosa yenu wenyewe" - Mwenyekiti wa UVCCM Mohamed Kawaida Je, kuna zahanati au kituo chochote cha afya kilichomwa moto siku ya maandamano?
  3. Just Pray

    Watano watiwa mbaroni Tabora kwa njama za kuleta vurugu Oktoba 29

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limewakamata na kuwashikilia watu watano kwa tuhuma za kupanga njama za kuleta vurugu ikiwemo kuchoma moto vituo vya mafuta, vituo vya mabasi, ofisi za CCM na nyumba za watumishi wa serikali mkoani humo siku ya uchaguzi uliofanyika Oktoba 29, 2025. Taarifa hiyo...
  4. Genius Man

    Oktoba 29 inapaswa kuwa siku ya mashujaa kuwaenzi na kutambua mchango wao katika kutetea watanzania maskini

    Tarehe 29 October inapaswa kuwa siku ya mashujaa kuwaenzi na kutambua mchango wao katika kutetea watanzania maskini. Mimi nipo mstari wa mbele kupigania mabadiliko na kusimama na watanzania kwa hali zote, nime mwaga machozi kwa kutambua kuwa watanzania walikufa kwa kunipigania mimi na wewe...
  5. Just Pray

    Wananchi Mbeya wakiimba wimbo wa taifa kabla ya mazishi ya aliyeuawa kwa risasi

    Heshima kwa mpambambanaji huyu wa taifa, roho yake ipumzike kwa amani
  6. Just Pray

    GE2025 Video: Polisi wakifuata vijana wa kiume majumbani huko Mara

    Ujumbe uliochapishwa na Mange Kimambi kwenye ukurasa wa Instagram. "Dada Mange moyo wangu unavuja damu, Watanganyika tumekuwa watumwa kwenye nchi yetu wenyewe. Tumekuwa mayatima, hakuna jeshi la kutusaidia, hatuna viongozi tuko wananchi kujipigania wenyewe Hapo ni Nyamongo North Mara. polisi...
  7. Just Pray

    Kilio kizito cha wananchi wa Njombe mbele ya Mkuu wa Mkoa wakiwaombea waliouawa kwa kupigwa risasi

    Mkuu wa mkoa wa njombe Anthony Mtaka ameshirikiana na wakazi wa njombe katika maombi ya pamoja kuwaombea waliofariki katika maandamano, huku akisisitiza wazazi kuwausia vijana sambamba na kuendelea kuliombea taifa libaki na Amani. Katika mkutano wa hadhara uliofanyika mjini Makambako, Mtaka...
  8. Just Pray

    GE2025 Baba asimulia mtoto wake alivyouliwa 'Mwanangu alipigwa risasi akafariki akielekea dukani'

    Familia za watu waliowapoteza wapendwa wao kwenye maandamano yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu nchini Tanzania, wanaendelea shughuli za kuandaa mazishi ya wapendwa wao huku wengine nao wakiendelea kuomboleza baada ya shughuli hiyo kukamilika. ripoti zinasema kuwa watu wengi walipoteza maisha...
  9. DuaZaMama

    Alphonce Kusaga athibitisha kuachiliwa na jeshi la polisi hapo jana

    Kupitia ukura wa Kusaga Tv ...... "Niko salama waliniachia JANA lakini naingia mahabusu na God anatoka lakini kama mwandishi wa wananchi nitawajulisha wananchi kilichojiri .Asanteni sana Kwa Wote mliopaza sauti kwa ajili yangu na mwenzangu". Pia Soma: Polisi wanaendelea kuwinda waandishi wa...
  10. Just Pray

    Kampuni ya mabasi ya Esther Luxury Coach Limited imetangaza kurejesha huduma zake za usafirishaji baada ya mabasi yake kuchomwa moto oktoba 29

    Kampuni ya mabasi ya Esther Luxury Coach Limited imetangaza kurejesha rasmi huduma zake za usafirishaji wa abiria kuanzia leo Novemba 6, 2025, baada ya kusitisha safari kwa muda kufuatia changamoto zilizotokana na vurugu za maandamano ya hivi karibuni. Kupitia taarifa yake kwa umma, kampuni...
  11. Just Pray

    Ndaro: Wasanii tulichowakosea ni nini? anaejua kosa langu aseme tumewakosea nini

    Baada ya lawama nyingi kutoka kwa wananchi zikiwalenga wasanii na watu maarufu kwa kutosimama na raia wanapopambania utawala wa haki badala yake wasanii wamekuwa upande wa watawala na kudidimiza juhudi za raia. Kuanzia Oktoba 29 yamefanyika mauaji makubwa ya raia lakini cha kushangaza wasanii...
  12. R

    GE2025 RPC Maigwa: Hakuna Mwananchi wala Askari aliyeumizwa Oktoba 29 Kilimanjaro

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro limeeleza kuwa hakuna mwananchi au askari Polisi wa Jeshi hilo Mkoani humo aliyejeruhiwa au kupoteza maisha kutokana na Vurugu zilizotokea siku ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025 Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kilimanjaro SACP Simon Maigwa ameeleza hayo Novemba 4...
  13. Just Pray

    GE2025 James Mbatia asisitiza "Tupeni miili ya vijana wetu tuwazike"

    Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, James Mbatia amesema hali iliyojitokeza siku na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025 nchini Tanzania, si suala la kisiasa pekee bali ni “maumivu ya wananchi walio wengi dhidi ya wachache”, kutokana na hali hiyo kugubikwa na maumivu, vifo- miongoni mwa mambo...
  14. Just Pray

    GE2025 Mwakinyo: Hakuna maneno yanayo tosha kuelezea familia zilizo poteza wapendwa wao

    'Hakuna maneno yanayo tosha sawa sawa kuelezea family zilizo poteza wapendwa wao ambao ni ndugu zetu pia. Kifo ndio ahadi pekee ya kweli inayopaswa kuheshimiwa MAISHANI huja mara moja tu. Ingawa zipo sababu nyingi zinazo weza kupelekea kifo cha mtu Lakini mara nyingi mtu anapo kufa hakuna...
  15. R

    GE2025 Hasira za wananchi kwa Media za Tanzania kukaa kimya kuhusu Mauaji na vurugu zilizokuwa zinaendelea Uchaguzi Oktoba 29

    Media za Tanzania zinapaswa kulaumiwa sanaa kwa kilichotokea na kinachoendelea kutokea haiwezekani media za nje ndiyo zitoe ripoti kuhusu maovu na mauaji yaliyotokea kwa vijana wetu, uchafu unaofanywa na serikali ya huyu mama lakini media za ndani zipo kimya kazi kupaka mafuta Kwa hali hii...
  16. baz kaiza

    Image tuliyokuwa nayo kwamba Tanzania ni nchi ya vyama vingi lakini kwa Uchaguzi Oktoba 29 Tumejua Tanzania haina Tofauti na Burundi, Rwanda na UGANDA

    Kwa Image tuliyokuwa nayo tuliaminishwa Tanzania ni nchi ya Democrasia nchi ya vyama vingi uhuru wa kuchagua viongozi tunaowataka. Lakini kwa Uchaguzi wa Oktoba 29. Tanzania haina toafuti na Burundi, Rwanda, Uganda, kuingia madarakani lazima utokee Msituni sio kwenye box la kura ni Uongo
  17. Just Pray

    Ukimya wa Marais na viongozi wa nchi za Afrika kwa kutokutoa salamu za pongezi kwa Rais Samia

    Ukimya wa kushangaza umeikumba Afrika kufuatia uchaguzi wenye utata uliomrejesha Samia Suluhu Hassan kuwa Rais wa Tanzania, baada ya kutangazwa mshindi kwa karibu asilimia 98 ya kura. Kwa kawaida, ushindi mkubwa kama huu huambatana na salamu nyingi za pongezi kutoka kwa viongozi wa mataifa...
  18. DuaZaMama

    GE2025 Mwakilishi wa TEC kwenye UAPISHO wa Rais Samia akiwaombea waliofariki dunia katika maandamano

    Kanisa katoliki sio wanafiki wamenyooka hii ni leo kwenye UAPISHO wa mchongo Mwenyezi Mungu,"Tunawaombea wotewaliopoteza Maisha Yao Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa Mwaka Huu Wa 2025 Uwapokee kwako Mbinguni. Pia wale wote Walioumia au Kupoteza Mali zao wapone Haraka, Tunaomba hayo kwa Njia ya kristo...
  19. Pulchra Animo

    GE2025 Pendekezo: TLS Watusaidie Kukusanya Taarifa Za Raia Waliouawa au Kujeruhiwa Kwa Risasi Za Moto Tangu 29 October 2025.

    Naamini kuna haja ya kuwa na kumbukumbu sahihi za raia wenzetu ambao wameuawa au kujeruhiwa kwa risasi za moto tangu 29 October 2025. Hivyo, ninapendekeza familia za wahanga ziwasilishe kwa TLS taarifa za ndugu zao ambao wameuawa au kujeruhiwa kwa risasi za moto tangu maandamano ya 29 October...
  20. Binti wa zamani

    Oktoba 29 - tulioshindwa kutoka majumbani kwa sababu mbalimbali tukutane hapa

    Nina changamoto ya kiafya kwahiyo leo natulia zangu nyumbani siendi kokote. Kila la kheri kwa wote mtakaoshiriki na kutuwakilisha. Kwa wenzangu mliobakia majumbani: Nini kimesababisha ushindwe kutoka kwako au kwenu na kutumia haki yako ya kikatiba? Unafuatilia updates na yanayojiri kupitia...
Back
Top Bottom