nyumba

  1. House4Rent Nyumba inapangishwa Dar es Salaam

    INAPANGISHWA NYUMBA VYUMBA 2 SEBULE JIKO NA CHOO NDANI. MAHALI kawe KODI TSHS 200,000 CALL - 0716442950
  2. Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule

    Anataka kuwahamishia watoto wake olympio. Walikua shule ya private. Anauliza apange nyumba sehemu gani ili iwe rahisi kwa watoto wake kwenda shule Maoni na ushauri wako please
  3. Nyumba ya kisasa vyumba bitatu inauzwa madale flamingo

    Modern house for sale Madale flamingo 3bedrooms house Area sqm. 600 Price 170 millions tsh Tittle deed availble 0742 892 195
  4. Nauza nyumba Mbagala Kibulugwa.

    Habari maboss wangu. Ni Mimi Kwa mara nyingine tena nakuletea nyumba hii ipo Mbagala kibulugwa. Kiwanja hiki kina nyumba mbili ndani ya fensi. Hapa unaweza kufanya uwekezaji wa Lodge Kali sana mana nyumba ipo katika ya mtaa na magari yanapita hapa boss. Lakini ukiamua wewe mwenyewe...
  5. P

    Msaada kuhusu ujenzi wa nyumba ya ghorofa kumi kwenye eneo la sqm 500 hapa temeke

    Ni kiasi gani niwe nacho kuweza kujenga ghorofa kumi structure tu bila finishing? Kwa wataalamu natanguliza shukran nyingi sana Eneo temeke wailes Ukubwa 500 sqm Tambarare
  6. House4Rent Dalali wa nyumba, vyumba na viwanja Bagamoyo road

    4RENT - CHUMBA SEBULE CHOO NA JIKO LOCATION: GOBA SENTA BEI: TSHS 300000 CALL - 0716442950
  7. J

    Nyumba inauzwa kimara matosa

    Nyumba yenye ukubwa wa almost sqm 300 inauzwa Kimara Matosa: LOCATION: KIMARA KWA KOMBA KAMA UNAENDA MATOSA 4 BEDROOMS HOUSE 3 BATHROOMS 1 SITTING ROOM 1 DINNING AREA KITCHEN STORE PARKING NB:barabara ta gari ipo mpaka eneo husika,ukubwa wa eneo ni square meter 400 BEI NI 80M Umiliki ni karatasi...
  8. Nyumba inauzwa Tabata Liwiti

    Nyumba Inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: • Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. • Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo. • Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa. • Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr. • Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
  9. Nahitaji kujua gharama ya kujenga msingi wa nyumba hiyo

    Habari zenu ninahitaji kufahamu gharama za kumaliza msingi wa nyumba hiyo.Ninapendelea na upande wa jiko huko kuwe na kibaraza kama cha mbele Kiwanja tayari kipo,nataka nifahamu gharama za msingi ili nianze hatua ya kwanza hiyo Maeneo hayo msingi lazima uwe na lenter na nguzo za pembeni muhimu
  10. Mbunge Salim Hasham Atoa Msaada Kutokana na Mvua Iliyoambatana na Upepo Iliyobomoa Nyumba Zaidi ya 100 Ulanga

    Wananchi zaidi ya 1000 wanaoishi katika kijiji cha Mavimba Kata ya Milola Wilayani Ulanga Mkoani Morogoro wamebaki bila makazi baada ya Mvua iliyoambatana na upepo mkali kubomoa Nyumba zaidi ya 100. Wakizungumza na Waandishi wa habari waathirika wa tukio hilo wameiomba Serikali kupitia ofisi ya...
  11. DESIGN AND BUILD SERVICES KARIBU TUKUTIMIZIE NYUMBA YA NDOTO YAKO TUNAPATIKANA SINZA DAR ES SALAAM +255624004650

    NUNUA VIFAA TUKUJENGEE WEW UKITULETEA VIFAA UNA RELAX TUNAKUKABIDHI KAZI YAKO CALL US TODAY 0624004650
  12. Karibu umalizie nyumba kwa mkataba kisha uhamie. Nahama kikazi

    🙏🙏🙏🙏🙏
  13. Mkasa katika nyumba ya majini

    NYUMBA YA MAJINI “KAMA kuna watu hawayajui haya nitakayoyaongea basi nawataka kuanzia sasa wajue kwamba, hapa Dar kuna mambo makubwa sana ambayo ukisimuliwa unaweza kusema si kweli, lakini wale wanaoyapata hayo mambo wanajua na wewe usiombe yakukute hata siku moja,” ndivyo alivyoanza kusimulia...
  14. Katika ndoto yako ya ujenzi- Fahamu makadirio ya gharama za ujenzi wa ile nyumba, jengo lako

    Kwanini Ujenge kwa kukisia kisikisia? Uanze ujenzi wako bila kujua utahitaji nguvu kiasi gani... Utapata stress 📲 +255 657 685 268 Kujua makadirio Ujenzi inakusudia kujua unahitaji nguvu kiasi gani kujua gharama Ujenzi kila steji kama msingi, kuta, paa... unapotaka kuomba mkopo benki...
  15. G

    Ndio kusema nimeokota nyumba au?

    Wakuu kwema? Iko hivi mwaka jana sikulipa kodi ya nyumba baada ya kushindwa kumpata kwenye simu mwenye nyumba. Yeye huwa anakaa singida na Mimi niko Geita na nyumba yake nikihopangishwa Iko hapa hapa Geita Baada ya kumtafuta bila mafanikio nikaamua kukaa kimya. Jana wazo likanijia nipige...
  16. Kiwanja Chenye Hati na Nyumba Yake Kinauzwa Kibaha

    Nauza kiwanja changu, Namba 30 kipo jirani na hospitali ya wilaya, eneo la Lulanzi ,kata ya Picha ya ndege, Manispaa ya Kibaha. Hospitali kilometa moja kulia na shule ya pyramid English medium ,mita 800 kushoto. Kilomita 3 toka barabara ya Morogoro to Dar es Salaam.Pia kilomita 3 toka...
  17. Karibu tukujengee hii nyumba ya chumba kimoja kwa mkopo

    MKOPO MKOPO wa ujenzi, Nyumba hii inasifa zifuatazo. Chumba kimoja kikubwa chenye washroom, sitting room kubwa,kitchen na public washroom. Nyumba hii ni maalum kwa vijana wanaoanza maisha au kwa wanaojenga nyumba zakupangisha ni nzuri sana na haina gharama kubwa. Gharama yake ni kiasi cha...
  18. Angalia picha ya nyumba hii toa ushauri

    Nyumba hii ina 1 Master bedroom LIving room KItchen Dinning Store Public toilet Kama una ushauri unaweza kutoa ushauri Kama unahitaji tukuchoree raman yenye muonekano huu nichek 0743257669 Turudi kwenye mada unaonaje hii design
  19. Nyumba inauzwa Tabata Bima

    Nyumba Inauzwa Tabata Bima, Dar es Salaam. Mahali: Mtaa wa Mbiu. Sifa za Nyumba: *Iko mita chache kutoka barabara ya kuelekea Tabata kimanga. *Ina Vyumba viwili vya kulala, chumba kimoja ni master, sebule na jiko. *Ina nafasi kubwa nje. *Ina fremu mbili nje hazijakamilika. Ukubwa wa Eneo: Sqm...
  20. Nyumba inauzwa Tabata Liwiti

    Nyumba Inauzwa Tabata. Mahali: Misewe B, Liwiti. Sifa za nyumba: • Ina vyumba vya kulala 3 na master 1. • Ina sehemu ya chakula(dining), sebule, Jiko na stoo. • Ina korido kubwa ya ndani na baraza ya nje kubwa. • Ina umeme, maji pamoja na simtank ya 2000ltr. • Ina sehemu ndogo ya nje ndani ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…