nyumba

  1. JamiiForums Tanzania Bashe alimchoma Mpina mbele ya Rais huku nyumba uhalifu ulifichwa?

    Nakosa majibu kati ya Bashe na Mpina nani alikuwa mwalifu? Nimekosea heading!!
  2. JamiiForums Tanzania Kampeni ya kumtafuta Humphrey Polepole Nyumba kwa Nyumba

    Kwakuwa serikali dhaifu na haramu ya Samia imeshindwa kumtafuta ndugu yetu Humphrey polepole, tutaanza kampeni nyumba kwa ngumba mpaka tumpate ndugu yetu. Nyumba tunazotilia shaka: Nyumba zote zinahohusianishwa na Daudi Albert Bashite, nyumba zote zinazo husishwa na Abduli, nyumba ya Muliro na...
  3. JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Goba Lilian Kibo

    Nyumba inauzwa Goba, Dar es Salaam. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Nyumba: *Nyumba haijakamilika, imefikia kwenye hatua ya umaliziaji. *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli...
  4. JamiiForums Tanzania Nimeipenda sana hii ramani ya hii nyumba

    Before sijaenda kuilipia niambieni mapungufu yake ? Ili yarekebishwe
  5. JamiiForums Tanzania NYUMBA HII HAIUZWI

    KUNA CHA KUJIFUNZA HAPA https://youtu.be/P6-WiDCm3QU?si=a0TlslZqFwtu5787 https://youtu.be/leKDEB8NPrA?si=x8u8dpSBmDbUP1Zk
  6. JamiiForums Tanzania wewe msomi usikae nyumba isiyo na fensi

    yes nyumba Bilal fensi ni risk kubwa kubadili ukatae ukweli uko hivyo
  7. JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA,IPO MBEZI BEACH RAMADA,BEI NI DOLLAR MIL 1.3

    LUXURY NEW HOUSE FOR SALE —————— At mbezi beach RAMADA _Dar es salaam,Tz —————— Nyumba Ya Gorofa ▶️ 4 bedroom all ensuite ▶️ Swimming pools,Gym,Solar ▶️ Servants quarter CCTV CAMERA ELECTRICAL FENCE —Plot area 1,800 sqm —————————— With clean title deed 📑 Hati safi ya wizara —————-...
  8. JamiiForums Tanzania NYUMBA INAUZWA,IPO MAKUMBUSHO,BEI NI TSH BILLION1.5

    Eneo linauzwa Square meters 371 Location Dar es salaam - makumbusho Bei Billion 1.5 Maongezi yapo ofisini Hiyo nyumba ina family house 2 ziko hivi unaingia sitting room, dining, kitchen, choo na store kisha unapanda ngazi juu kuna vyumba vitatu vya kulala vyote master ila chumba kimoja ni...
  9. JamiiForums Tanzania Ex mchezaji wa Yanga aingizwa mjini, atapeliwa NYUMBA na mbongo, kataa ndoa kichekoo, tusali sana wajameni

    Mwaka Fulani nikiwa Dar coco beach, nilibahatika KUMUONA Mukoko Tonombe akifanya mazoezi mepesi nadhani hicho ndio kilikua kipindi katoka majeruhi ya muda mrefu. Kwa pembeni yake alikuwepo mtoto mzuuri alikua ameshikilia viatu vya mukoko, mi nilidhani yule demu ni mkongo mwenzake kumbe la hasha...
  10. H

    JamiiForums Tanzania Mcongoman na Kiungo wa Zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mkewe mbongo

    Tonnombe Mukoko aliyewahi kukipiga na Yanga atapeliwa nyumba na mkewe mrembo wa kibongo ajulikanae kwa jina la Trish. Tonnombe Mukoko alimuoa huyo dada pisi Kali kipindi anacheza Yanga na ndoa yao ilifungwa Congo. Kiungo huyo alipokea offer ya kucheza Libya iliyomfanya awe mbali na mkewe...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Kiungo wa zamani wa Yanga Tonnombe Mukoko atapeliwa nyumba na mwanamke wa kibongo

    Kiungo wa zamani wa Yanga kutoka Taifa la Congo Tonnombe Mukoko aliyekipiga Yanga kwa mafanikio makubwa atapeliwa nyumba na mkewe pisi Kali ambaye ni mbongo aitwae kwa Jina la Trish ambapo ndoa yao ilifungwa Congo. Akiongea na channel maarufu ya mambo ya umbea Mai Tv afunguka mengi Alisema...
  12. JamiiForums Tanzania Maboss wetu makazini, watunga sera na wadau wengine, mna nafasi kubwa ya kutuokoa sisi watumishi tusisitafie kwenye nyumba za serikali

    Mimi leo ndo napata majibu ya kwanini zamani tulikuwa tunaona watu wana-staff hawana nyumba Wala kiwanja licha ya kuwa walikuwa na vyeo vikubwa sana serikalin/private sectors. Baadhi ya Sababu za mtu kushindwa kujenga kipindi cha utumishi ni: • kuwa na boss asiyeamini kwenye uwekezaji wa...
  13. S

    JamiiForums Tanzania Polisi na zimamoto wanaposema walifanikiwa kuzima moto wakati moto huo umeteketeza kabisa nyumba au gari, wana maana gani? Si moto ungezimika wenyewe?

    Jana tena katika ajali ya basi na Aphard huko Moshi, msemaji wa Polisi anasema vikosi vya polisi na Zimamoto walifanikiwa kuzima moto. Nashindwa kujua hayo mafanikio wanayoyataja ikiwa hali ya basi lililoungua ni kama hapa chini. Kauli hizo ni sawa na zile nyingine kauli potoshaji za Polisi...
  14. JamiiForums Tanzania Kwanini Nyumba za Kisasa Hazina Grill Milangoni?

    Kwanini nyumba za kisasa uwa haziwekwi geti (grill) nazungumzia kwenye mlango wa kuingia sebuleni na mlango wa nyuma fensi inakuwepo na geti moja au mbili Lakini kwenye mlango ya kuingia kwenye nyumba hawaweki grill wakati kwenye madirisha Kuna vyuma vya kutosha. Naamini Kuna mafundi humu...
  15. JamiiForums Tanzania P-SQUARE SAGA: PETER OKOYE AFUNGUKA KILA KITU — FEDHA, JUDE, PAUL, EFCC, NYUMBA, NA MIGOGORO YA FAMILIA

    Sakata la P-Square limechukua sura mpya baada ya Peter Okoye, maarufu kama Mr P, kuamua kufunguka hadharani kuhusu kile anachodai kuwa ndicho kilichosababisha kuvunjika kwa moja ya duo kubwa zaidi za muziki Afrika. Peter ametoa simulizi yake kupitia mfululizo wa video unaofikia Part 8/8b...
  16. JamiiForums Tanzania Kamati ya Wamiliki wa Nyumba Sinza: Tumeazimia kusitisha ushiriki wetu kwa muda katika Mradi wa Sinza

    Kamati ya Wamiliki wa Nyumba Sinza inaendelea kusisitiza kuwa haipingi maendeleo wala uendelezaji wa eneo la Sinza. Hata hivyo, tunaamini mchakato huu unapaswa kufanyika kwa kuzingatia sheria, taratibu na mawasiliano rasmi. Baada ya Waziri kutangaza kuwa mchakato wa awali umefutwa na kwamba...
  17. JamiiForums Tanzania Ukimpangisha Mpemba nyumba yako, mwisho wa siku anainunua?

    Katika wapangaji wazuri ni wapemba maana kwenye kodi wanalipa kwa wakati. Ila najiulizaga na nimeona sana sehemu nyingi,Mpemba akipanga nyumba yako au fremu na kama kaipenda. Anakufikia dau mwisho unashangaa unaiuza. Na kama kapanga kwako mpaka uje mkutoa basi mpaka ufanye visanga sana.
  18. JamiiForums Tanzania Nyumba kama hii inaweza gharimu sh ngapi ? Nione kama naweka mjengo wa 3

    Ninauliza vyanzo mbali mbali kuchakata Nataka nikistaafu nipumzike vema 2035 Nimependa muonekano wake ! Je inaweza cost vipi leta mchanganuo Britanicca
  19. JamiiForums Tanzania Nyumba (pagale) inauzwa marambamawili karibu na shule ya msingi king’azi

    Habari wakuu nyumba ( pagale). Linauzwa …. ipo mbezi marambamawili karibu na shule ya msingi kingazi jirani na tank la dawasco … Ukubwa wa eneo ni sqm400…… Mauziano serikari za mitaa… Bei sh 21m(bei inapungua).. (Lina vyumba 6 (sio vikubwa) 0692669235 N:B.. amna udalali (karibuni)
  20. A

    JamiiForums Tanzania KERO Utitiri wa Makanisa huku Salasala umekuwa kero kwa kelele, utaratibu wa vibali uangaliwe upya

    Nikiwa muumini wa Mungu, naiomba Serikali iangalie upya mfumo wa usajili na usimamizi wa baadhi ya makanisa. Badala ya kuwa sehemu ya kutatua changamoto za jamii, baadhi yamekuwa kero kutokana na kufanya mikesha kwa kutumia sauti kubwa zinazowanyima wananchi usingizi. Hali hii imekuwa...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…