nyoka

Nyoka the Jungle Girl is a fictional character created for the screen in the 1941 serial Jungle Girl, starring Frances Gifford as Nyoka Meredith. After the initial film, Nyoka appeared in comic books published by Fawcett, Charlton, and AC Comics.

View More On Wikipedia.org
  1. Bueno

    JamiiForums Tanzania Nyoka Mwenye Kichwa Kidogo sana umbo kubwa eneo la katikati na Mkia Mwembamba

    Wakuu, kwamba naomba msinichoke hapa kuna kitu kinaniumiza kichwa sana sielewi. Hapa majuzi katika pitapita zangu za hapa na pale humu nyumbani ndani nimepishana na nyoka ana kichwa kidogo sana ila katikati ni mnene balaa na ana mkia mdogo. Kwanza najua wapo wadau watasema leta picha, sikia...
  2. Think2

    JamiiForums Tanzania Ukimuua huyu nyoka kama wewe ni mchimbaji fukia hilo duara rudi kijijijini ukalime

    Huyu nyoka ni adimu sana kuonekana hua ni nyoka wa kukulitea bahati kama akiwa duarani basi usimpige muache ataondoka mwenyewe ila akitoka duara hilo litatema mali kama nini utapata gramu za kutosha kabisa. Mara nyingi hupatikana maeneo ya mgodini narudia huyu nyoka hua ni baraka kubwa na...
  3. Z

    JamiiForums Tanzania GE2025 CCM Mbelee kwa mbeleee, kamwe msiwasikilizi wanafiki na wazandiki wenye wivu na chuki ambao vinywa vyao vina sumu mithili ya nyoka weusi.

    Watu hao ambao baadhi yao wanajinasibisha kuwa wanachama wa CCM ni wanafiki na wazandiki wakubwa, vinywa vyao vinatema sumu kwa lengo la kuwavuruga wananchama na wapenzi wa CCM. Sisi raia ambao tunaamini kuwa UHAI wa taifa letu upo mikononi mwa Chama cha CCM hatuna shaka wala wasiwasi kuwa CCM...
  4. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Naomba sababu ya Kiufundi na ya Kiutaalam kabisa kwanini huyu Nyoka HATARI hapa hakumuuma huyu Mtoto

    Na mkishaipata hiyo sababu Kubwa ndiyo mtajua na kuamini kuwa kwanini ukitaka Kubarikiwa haraka na Mwenyezi Mungu basi uwe unapenda mno kutoa Sadaka kwa Watoto kwani ile Asante yao / Shukran zao ni Baraka na Ulinzi tosha Kwako na Mimi kwa 90% ndiyo huwa nafanya kila Maulana / Mola akinijaalia...
  5. Joshua Mbezi

    JamiiForums Tanzania Nyoka Baada ya kuchomoza ndani ya Nyumba

    Bila shaka ule mwendo ulimtisha kila mmoja aliyekuwa ndani ya Nyumba Licha ya jitihada zilizotumika kumtafuta nyoka bila mafanikio Leo Kuna watu watalala masikio yote yakiwa nje wakisikia kila kitakacho gonga juu ya bati ili wawahi kutoka nje kuokoa nafsi zao 😂😂
  6. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa nyoka ni nyoka. Tazama picha.

    Watoto walimsalimia baba akiwa gerezani. Baba Alivyotoka, akajikuta anarudi tena gerezani ila mara hii kumsalimia mwanae.
  7. R

    JamiiForums Tanzania Usitishwe na nyoka, Mungu alituma nyoka wa moto kuwauma waisraeli walipoasi, Nyoka wa shaba akainuliwa kuwaponya

    Salaam, Shalom! Wengi humu mmetishwa muonapo nyoka, au kuota ndoto za kuona nyoka, Ni kweli, Biblia imemuhusisha Ibilisi na nyoka, Joka la kale, la zamani, akiitwa Joka, pengine Joka linatoa maji mengi kutaka kummeza mtoto aliyezaliwa( kanisa). Sasa usilolijua ni kuwa, mbinguni wapo nyoka...
  8. The Dictator

    JamiiForums Tanzania Wazo la kumhusisha nyoka na uovu linatoka wapi?

    Biblia pamoja na simulizi nyingi za kale kutoka sehemu mbalimbali za dunia zinaashiria uwezekano wa wanadamu wa zamani kuwa na mawasiliano na viumbe wa ajabu waliotoka mbali maarufu kama Ancient Aliens. :::(Rejea mada tuliyowaongelea ANUNNAKI). Simulizi la bustani ya Edeni katika kitabu cha...
  9. Labani og

    JamiiForums Tanzania Je, kwanini ni ngumu kwa Nyoka kuwa ng'ata watoto wadogo?

    Kuna clips nyingi Mitandaoni huonesha watoto wadogo wakichezea kiumbe hatari aka Mr snake iwe koboko au wengine mara nyingi watoto wanakuwa unharmed na hao Nyoka. Je, sababu ni nini? Haya ni baadhi ya majibu yasiyo rasmi Nyoka anakudhuru kwa harufu unayoitoa unaposhikwa woga ambayo yeye anajua...
  10. kwaku the traveler

    JamiiForums Tanzania Chumba changu kaingia nyoka sijui ameingia saa ngapi msaada

    Ni 2 : 40Am nimemuona niliamka alikaa karibu na jiko Mimi muoga vibaya naombeni msaada nitumie njian gani kumtoa Alafu haonekani na nipo kitandani sijashuka nimeshusha na net kabisa Msaada je ningoje had Asubuh au nifanyaje humu ndani na ndani vitu vingi sijapanga vipo hovyo hovyo
  11. Lycaon pictus

    JamiiForums Tanzania Aina ya 3 kuu ya sumu za nyoka

    Kuna aina kuu tatu za sumu za nyoka. Kila moja huwa na matibabu yake na hupatikana kwa aina fulani za nyoka. Ndiyo maana mtu akiumwa na nyoka hushauriwa kufahamu nyoka aliyemuuma ili kujua aina ya sumu iliyomuingia na matibabu yake. 1. Neurotoxin. Hii ni sumu anbayo inaathiri mishipa ya fahamu...
  12. Bubu Msemaovyo

    JamiiForums Tanzania Nyoka wako katika mapenzi

    Kuna dhana nyingi sana kwamba si rahisi kuwakuta paka wakiwa katika mapenzi. Ipo dhana kwamba ukikuta paka wanafanya mapenzi eti hiyo ni nuksi. Kuna kipindi nilikutana na kisa ambacho sijawahi kumsikia mtu akikizungumzia. Kuna siku nilienda shambani sasa katika kichaka nikaona nyoka wawili...
  13. The Legacy

    JamiiForums Tanzania Je, ukimkata Nyoka mkia ataendelea kuishi?

    Habari wadau, Naomba kuuliza kama ukimkata nyoka mkia ataendela kuishi. Leo baada ya mihangaiko yangu nimerudi nyumbani mapema nikaona ni vyema nishughulikie bustani yangu ya matunda na mboga mboga. Sasa wakati nachimba mche kwa kutumia kisu ghafla akatokea nyoka mweusi na kuanza kutambaa...
  14. Eli Cohen

    JamiiForums Tanzania Upuuzi ni pale unapo analyze mambo yanayofanyika kwa kutumia kipimo cha dini. Yani nyoka sio nyoka tena kwako kama amevaa gamba la dini yako. SHAME!

    Kuna washamba humu JF hata siku akija kuvamiwa na kibaka ndani kwake then kwa bahati nzuri amdhibiti na kumkamata alafu baadae ajue wanashare nae majina ya itikadi moja ataishia kumuachia huru huku akilaumu system za kikristo ndio zimemsababisha awe kibaka. Utu na haki aingaliwi tena hadi hapo...
  15. KING MIDAS

    JamiiForums Tanzania Nimegundua asili yangu ni nyoka, sitaua nyoka, wala hawatonidhuru.

    Maishani mwangu nimekuwa nikiwaua nyoka kwa namna rahisi sana. Sikuwahi kujua kwanini nyoka wakiniona huwa wanaduwaa, na kubako kunishangaa. Hata nikienda mbali kutafuta kitu cha kuwapigia nawakuta wapo tu hapo hapo, nawapiga, nawaua kisha najiona bonge la mwamba. Sasa nimepata enlightment...
  16. Fbn

    JamiiForums Tanzania Asili ya nyoka wakubwa imegundulika huko India

    Fosili mpya iliyogunduliwa ya Vasuki indicus huko India imeleta mwanga mpya kuhusu ukubwa halisi wa nyoka huyu wa kihistoria. Inakadiriwa kuwa na urefu wa hadi futi 49 (sawa na mita 15), sampuli hii inapendekeza kwamba Vasuki huenda alikuwa mkubwa zaidi kuliko ilivyodhaniwa awali—akiizidi...
  17. kavulata

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA njooni na hoja zinazomtoa nyoka pangoni

    Kuna vitu vizuri na vibaya ambavyo watanzania wanavijua kuhusu CCM, Serikali, viongizi na Katiba yao, lakini wananchi bado wanaona kuwa mazuri bado ni mengi kukiko mabaya yao. Ndio maana bado watu wanavaa mashati ya kijani mitaani bila hofu. Watanzania pia wanafahamu mazuri na mabaya ya vyama...
  18. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya facts kuhusu nyoka

    Nyoka ni aina ya viumbe watambaao wasioeleweka zaidi duniani, lakini wana jukumu muhimu katika kudumisha usawa wa ikolojia. Kiuhalisia kuna zaidi ya aina 3,000 za nyoka duniani kote, na wengi wao hawana sumu! Wanasaidia kudhibiti idadi ya panya na ni muhimu kwa mnyororo wa chakula. (Food...
  19. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Je, G55 ndio Wale Nyoka ndani ya CHADEMA?

    Habari za Jumapili! Kila chama kina watu ndumilakuwili,snitch, Wasaliti na Nyoka. Kijasusi Tofauti kubwa ya Nyoka na Panya ipo kwenye kujificha na kujihami. Nyoka anaweza kuingia katika Nyumba yako akakaa hata Miaka mitano Mpaka akawa chatu au Nyoka Mkubwa na wewe usijue kuwa ndani ya nyumba...
  20. van_vict

    JamiiForums Tanzania Kweli kidonge cha Panadol kinatumika kumuua nyoka?

    Ni Kuna ukweli wowote wanaposema kidonge Cha PANADOL a.k.a paracetamol kinaweza kumuua NYOKA?
Back
Top Bottom