Kibosho1
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 2,491
- 3,998
Kadiri miaka inavyozidi kwenda na uboreshaji wa noti zetu za Tanzania unazidi kupungua. Hii note kama ni gizani unaweza kusema bandia.
Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia
huu mstari ndio uneniondolea was was.
Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana.
Angalia hii yenye saini ya Balali na Mramba
Noti ni ya muda mrefu sana lakini bado ngumu.
Ukiangalia hizi noti unaweza kusema ni bandia
Kwanzia noti za JK kufikia hizi mpya zina makasoro mengi sana.
Angalia hii yenye saini ya Balali na Mramba
Noti ni ya muda mrefu sana lakini bado ngumu.