hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wakuu naomba maujanja ya app au technical kuhusu hii simu yangu
Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn
Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali
Hii simu ni note 4 nilinunua India sasa kwa kule nilikuwa napata 4g vizuri but kwa hapa bongo nashindwa kupata 4g kabisa sijui shida ni nn
Kwa yoyote mwenye uelewa pls msaada tafadhali