Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Niaje wakuu, niliflash simu yangu aina ya galaxy note 5 N9200 (HongKong version).. hii simu baada ya kuflash haioneshi network.. yaani line haipandishi mtandao.. No service/no network connection.
Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado.
Je hili tatizo linatatulika vipi?
cc Chief-Mkwawa
Nimejaribu kuchange sim cards kadhaa, ku reflash na baadhi ya hatua kadhaa lakini bado.
Je hili tatizo linatatulika vipi?
cc Chief-Mkwawa