norway

Norway (Bokmål: Norge; Nynorsk: Noreg; Northern Sami: Norga; Lule Sami: Vuodna; Southern Sami: Nöörje), officially the Kingdom of Norway, is a Nordic country in Northern Europe whose mainland territory comprises the western and northernmost portion of the Scandinavian Peninsula. The remote Arctic island of Jan Mayen and the archipelago of Svalbard also form part of Norway. Bouvet Island, located in the Subantarctic, is a dependency of Norway; it also lays claims to the Antarctic territories of Peter I Island and Queen Maud Land.
Norway has a total area of 385,207 square kilometres (148,729 sq mi) and a population of 5,385,300 as of November 2020. The country shares a long eastern border with Sweden (1,619 km or 1,006 mi long). Norway is bordered by Finland and Russia to the north-east, and the Skagerrak strait to the south, with Denmark on the other side. Norway has an extensive coastline, facing the North Atlantic Ocean and the Barents Sea. The maritime influence also dominates Norway's climate with mild lowland temperatures on the sea coasts, whereas the interior, while colder, is also a lot milder than areas elsewhere in the world on such northerly latitudes. Even during polar night in the north, temperatures above freezing are commonplace on the coastline. The maritime influence brings high rainfall and snowfall to some areas of the country.
Harald V of the House of Glücksburg is the current King of Norway. Erna Solberg has been prime minister since 2013 when she replaced Jens Stoltenberg. As a unitary sovereign state with a constitutional monarchy, Norway divides state power between the parliament, the cabinet and the supreme court, as determined by the 1814 constitution. The kingdom was established in 872 as a merger of many petty kingdoms and has existed continuously for 1,149 years. From 1537 to 1814, Norway was a part of the Kingdom of Denmark–Norway, and from 1814 to 1905, it was in a personal union with the Kingdom of Sweden. Norway was neutral during the First World War and remained so until April 1940 when the country was invaded and occupied by Germany until the end of World War II.
Norway has both administrative and political subdivisions on two levels: counties and municipalities. The Sámi people have a certain amount of self-determination and influence over traditional territories through the Sámi Parliament and the Finnmark Act. Norway maintains close ties with both the European Union and the United States. Norway is also a founding member of the United Nations, NATO, the European Free Trade Association, the Council of Europe, the Antarctic Treaty, and the Nordic Council; a member of the European Economic Area, the WTO, and the OECD; and a part of the Schengen Area. In addition, the Norwegian languages share mutual intelligibility with Danish and Swedish.
Norway maintains the Nordic welfare model with universal health care and a comprehensive social security system, and its values are rooted in egalitarian ideals. The Norwegian state has large ownership positions in key industrial sectors, having extensive reserves of petroleum, natural gas, minerals, lumber, seafood, and fresh water. The petroleum industry accounts for around a quarter of the country's gross domestic product (GDP). On a per-capita basis, Norway is the world's largest producer of oil and natural gas outside of the Middle East.The country has the fourth-highest per-capita income in the world on the World Bank and IMF lists. On the CIA's GDP (PPP) per capita list (2015 estimate) which includes autonomous territories and regions, Norway ranks as number eleven. It has the world's largest sovereign wealth fund, with a value of US$1 trillion. Norway has had the highest Human Development Index ranking in the world since 2009, a position also held previously between 2001 and 2006; it also has the highest inequality-adjusted ranking per 2018. Norway ranked first on the World Happiness Report for 2017 and currently ranks first on the OECD Better Life Index, the Index of Public Integrity, the Freedom Index, and the Democracy Index. Norway also has one of the lowest crime rates in the world.The majority of the population is Nordic. In the last couple of years, immigration has accounted for more than half of population growth. The five largest minority groups are Norwegian-Poles, Lithuanians, Norwegian-Swedes, Norwegian-Kurdistanis and Norwegian-Pakistanis.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Waziri Shemdoe akutana na Balozi wa Norway kujadili namna ya kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi

    Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe amekutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Tone Tinnes na kufanya mazungumzo ya namna ya kuboresha ushirikiano katika kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi, ngazi ya Mamlaka za...
  2. Big Nyota

    Natafuta connection ya kwenda kufanya kazi nchi za ulaya kama(Germany, Denmark, Norway Sweden, Finland au Australia)

    Wakuu wasalaam!! Bila kuwapotezea muda kama kichwa kinavyojieleza Mimi ni kijana mpambanaji ambaye nina uchu na mafanikio, mpaka nimefikia kuleta Uzi humu Nina Nia ya kwenda kutafuta maisha huko Ulaya. Mpaka kufikia uamuzi huo ni kwa sababu ya changamoto ya ugumu wa Maisha hapa nchini, Sasa...
  3. Pulchra Animo

    Trump ties Greenland takeover bid to Nobel Prize in text to Norway leader!

    I think scientists need to study Trump’s brain. It appears to be anomalous! Trump ties Greenland takeover bid to Nobel Prize in text to Norway leader — The Washington Post
  4. Echolima1

    Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amkatalia Waziri Mkuu wa Norway kutembelea Israel

    Waziri Mkuu wa Israel Netanyahu alikataa ombi la Waziri Mkuu wa Norway kuzuru Israel - na ndivyo ilivyo. Norway iliunga mkono mashtaka ya ICC dhidi ya Israel, ilitambua taifa la Palestina, na kiongozi wao hata alihudhuria tukio la kupinga Uzayuni la Kristallnacht. Israel haina nafasi...
  5. A

    Balozi za nchi za Nordic (Denmark, Sweden, Norway na Finland) zatuma ujumbe kuhusu mauaji katika uchaguzi

    Balozi za nchi za Nordic zimetuma jumbe tofauti kwenye kurasa zao za Instagram kuhusu mauaji yaliyofanyika katika uchaguzi wa tarehe 29. Ubalozi wa Finland unatoa rambirambi zake za dhati kwa wote waliopoteza wapendwa wao na kwa wale walioathiriwa na matukio ya hivi karibuni baada ya uchaguzi...
  6. M

    Uingereza, Canada na Norway waungana kulaani kinachoendelea Tanzania. Wataka Mamlaka kuzingatia mikataba ya Kimataifa

  7. Abraham Lincolnn

    GE2025 Wakati wa kuomba kura hatusikii ziara za Norway Sweden USA Je, hazina umuhimu kwa nchi wakati huu?

    Kama zile ziara za kutwa mara mbili kwa wiki kama dozi zilikuwa na umuhimu, Kwanini zisimame wakati huu? Ina maana si muhimu kwa sasa?
  8. S.M.P2503

    Tanzania – Tujifunze kwa Norway jinsi Inavyogawa Utajiri wa Taifa kwa Wananchi Wake.

    Bandiko hili limekuwa inspired na Mwalimu Google TV hapa: https://youtu.be/ilz7gIS9VLY?si=Ghkq5_IGuoDx8gLS Norway ni mfano bora duniani wa jinsi nchi inaweza kugawa utajiri wa taifa kwa usawa kati ya wananchi wote. Baada ya kugundua mafuta na gesi baharini (North Sea) mwishoni mwa miaka ya...
  9. Ojuolegbha

    Balozi Mobhare Matinyi kufanya mkutano na Watanzania waishio nchini Norway

    Mkutano wa Mhe. Balozi Mobhare Matinyi na Watanzania Waishio Nchini Norway Lengo: Kufahamiana na kujadiliana kuhusu masuala ya Diaspora. Washiriki: Diaspora wa Tanzania waliopo nchini Norway. Tarehe: 28 Juni 2025 Muda: Kuanzia saa 8:00 Mchana hadi saa 11:00 Jioni Mahali: Stortorvet 4, 0155...
  10. Roving Journalist

    Ujumbe wa Tanzania watembelea Bandari ya Oslo nchini Norway

    Bandari chanzo kingine cha Biashara ya Kaboni, hayo yaamelezwa na Ingvar M. Mathisen, Mkurugenzi Mkuu wa Bandari ya Oslo, Norway kwa ujumbe wa Tanzania uliotembelea bandari hiyo hivi karibuni. Ujumbe wa Tanzania ukiongozwa na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe...
  11. Roving Journalist

    Waziri wa Mazingira wa Norway ateta na Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Hamad Masauni

    Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Hamad Masauni amekutana na kufanya mazungumzo na Bw. Andreas Bjelland Eriksen - Waziri wa Hali ya Hewa na Mazingira wa Norway. Mazungumzo hayo yalilenga ushiriki wa Tanzania katika COP30 na majadiliano kuhusu taka za Plastiki, yalifanyika katika Ofisi...
  12. Roving Journalist

    Tanzania na Norway kuimarisha mahusiano katika kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

    Waziri Mhandisi Masauni akiwa ameambatana na Ujumbe wa Tanzania pamoja na Balozi wa Norway Nchini Tanzania, amekutana na kufanya Mazungumzo na Bw. Bard Vegar Solhjell, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Norway (NORAD) pamoja na Bi. Marita Sorheim Rensvik Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya...
  13. Ojuolegbha

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mobhare Matinyi ameelezea namna anavyofanya majukumu yake

    Balozi wa Tanzania nchini Sweden, Mhe. Mobhare Matinyi, ambaye pia anatuwakilisha katika nchi za Denmark, Finland, Norway, Iceland, Estonia, Latvia, Lithuania na Ukraine, amefanya mahojiano katika taarifa ya habari ya ZBC na mtangazaji Abubakar Harith na kueleza atakavyotekeleza majukumu yake ya...
  14. Kazanazo

    Kama mtanzania napataje fursa ya kwenda kufundisha nchi kama Shelisheli, Kanada, Norway au Kenya?

    Wakuu mimi ni mwalimu natamani nikafundishe kati ya Nchi tajwa hapo juu tafadhali mwenye miongozo anipatie hapa jukwaani mimi na wanajukwaa wenye shida kama yangu tutashukuru sana Ahsanteni
  15. S

    Utafiti unafanywa kupendekeza Israel ifukukuzwe uanachama wa Umoja wa Mataifa, Indonesia, Malaysia, Norway, Namibia, Qatar zikiunga mkono wazo hili

    Matukio ya hivi karibuni huko Gaza na Lebanon ambayo yameonwa na wadau wengi kuwa ni ukiukwaji mkubwa wa Israel wa haki za binadamu na kuvunja kanuni za Umoja wa Mataifa, yamefanya baadhi ya nchi kuanza mkakati wa kuandaa pendekezo la kuwaondolea Israel uanachama wa Umoja wa Mataifa. Nini...
  16. mwanamwana

    PreGE2025 Balozi Tinnes: Tuhakikishe tunakuwa viongozi katika nchi ambayo watu wanaamini kuna sbb ya kupiga kura kwa sababu sauti zao zinasikilizwa

    Balozi wa Norway Nchini Tone Tinnes, akizungumza kwenye Maadhimisho ya Siku ya Demokrasia Duniani yanayofanyika Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam amesema “Utafiti na masomo yanaonyesha kwamba hali ya demokrasia duniani inaporomoka. Ripoti ya Freedom House ya mwaka 2023 inaonyesha kwamba demokrasia...
  17. Heparin

    Umoja wa Ulaya watoa wito kwa Rais Samia kuanzisha uchunguzi wa haraka kubaini watekaji nchini

    10 September 2024 Tamko la Pamoja la Mabalozi wa Umoja wa Ulaya, Ubalozi wa Uingereza, Canada, Norway na Uswisi kuhusu Matukio ya Hivi Karibuni Nchini Tanzania; "Jumuiya ya Umoja wa Ulaya kwa makubaliano na Mabalozi wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Ubalozi wa Canada...
  18. GENTAMYCINE

    Kibu Denis yamemkuta, Klabu ya Kristiansund ya Norway aliyotaka kwenda yasitisha kumnunua na sasa yuko njiani kurejea Dar Tanzania

    Baada ya Klabu hiyo ya Kristiansund kutuma Maombi yao ya Kumnunua Simba SC wakaambiwa kuwa Wasithubutu na wala Wasipoteze muda Wao Kumnunua kwani bado ana Mkataba na Simba SC. Kusikia hivyo haraka sana Klabu hiyo ikamwambia Kibu Denis imesitisha Nia ya Kumnunua hivyo arejee Kwanza Simba SC...
  19. DesertStorm

    Respect kwako, Pep Guadiola..Hakika Spain, Norway na Ireland Mungu awabariki

    Kama una ungana na Pep Gudiola, pamoja na kuwaunga mkono na kuwaombea dua Ndugu zetu wa Palestina basi like hapa. Spain 🇪🇸 💪🏽 Norway 🇳🇴 💪🏽 Ireland 🇮🇪 💪🏽 Basi kwa leo nawaombeni Mods msifute uzi wangu wa kuunga mkono PALESTINA. Japo sina uhakika kama clip hii ni ya siku hizi au ya zamani...
Back
Top Bottom