no reforms no election

The Constitutional Reform Act 2005 (c. 4) is an Act of the Parliament of the United Kingdom, relevant to UK constitutional law. It provides for a Supreme Court of the United Kingdom to take over the previous appellate jurisdiction of the Law Lords as well as some powers of the Judicial Committee of the Privy Council, and removed the functions of Speaker of the House of Lords and Head of the Judiciary of England and Wales from the office of Lord Chancellor.

View More On Wikipedia.org
  1. Mindyou

    PreGE2025 Boni Yai: Devotha Minja alituma vitenge vya CHAUMMA kwenye group tukamtoa

    Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Pwani Boniface Jacob amesema tuhuma zilizotolewa na miongoni mwa wanachama wa chama hicho aliyesema ametolewa kwenye group la kamati kuu(Devotha Minja) kuwa ni kwa sababu anatengwa sio za kweli. Boniface ameeleza hayo leo Mei 18, na kueleza kuwa mtu huyo alituma...
  2. Just Pray

    PreGE2025 Boni Yai: Kusema 'No reforms No election' tunatania ni kumdhalilisha Mbowe

    Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Kanda ya Pwani Boniface Jacob(Boni Yai) amekanusha kauli zilizokuwa zikisemwa na baadhi ya watu wanaojivua uanachama wa chama hicho akiwemo John Mrema kuwa ajenda ya 'no reform no election' sio halali na haikua na nia ya kuzuia uchaguzi bali...
  3. M

    NRNE no reforms no election ni mapinduzi ya kifikra na kisiasa watawala mjitafakari

    Huu upepo wa No reform No election ni mkubwa na una nguvu umeshika kasi kwa wananchi. Hii ni "ideology" na ni ajenda ambayo wananchi wanaielewa kwa urahisi kutokana na yaliyoonekana kwenye chaguzi zilizopita na hususani uchaguzi wa 2024. Ninashauri Serikal8 yangu tukufu ifanye marekebisho ya...
  4. B

    PreGE2025 Maelfu ya Wananchi waliohudhuria mkutano wa CHADEMA waridhia Uchaguzi usogezwe mbele ili Marekebisho muhimu yafanyike

    Katika Bandika bandua inayoendelea chini ya Kiongozi Mahiei Mh John Heche ambaye ni Makamu mwenyekiti wa Chadema Taifa huko Kahama. Zaidi ya Wananchi 5000 ktk mkutano mmoja wamekubali kwa kauli moja na kuitaka serikali ijali maoni na matakwa yao. Wamesema wanaiomba mamlaka kusikiliza...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 John Heche: OCD mimi sio Mke wako, nasema huna chakunifanya hii nchi sio ya Mama zenu

    Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) John Heche akaanga vibaya OCD mbele ya umati wa wafuasi wa Chama hicho. "Natamani ningekuwa na muda na hayo maelekezo unayopokea kwa Kihongosi, ningekuwa na muda ningepambana na wewe tuone ungenifanya nini mimi sio mke wako, huna...
  6. John Manoni

    PreGE2025 Heche anaeleweka: Refa asiwe na jezi ya timu moja kwenye uchaguzi

    Wakuu, Uchaguzi mkuu utagharimu mabilioni ya walipa kodi katika nyakati ambazo wananchi wanakosa dawa hospitalini na watoto kukalia dawati shuleni ni utajiri. Kwahiyo maigizo ya 4R (cosmetics reforms) yanayotangazwa huko CCM hayafai na wa Tanzania wote wapaze sauti kuyakataa.. Hoja ya uchaguzi...
  7. Waufukweni

    PreGE2025 Amos Makalla: Uchaguzi hauwezi kusogezwa, CHADEMA jipangeni 2030

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uchaguzi hauwezi kusogezwa mbele kwani wamejipanga kushiriki uchaguzi na hawawezi kuwa sehemu ya kuvunja katiba, hivyo Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wajipange 2030. Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha...
  8. R

    PreGE2025 Swali: Inawezekana vipi kufanya uchaguzi Mkuu ukiliacha kundi kubwa linalojitokeza kuunga mkono no Reforms no Election nchi nzima?

    Salaam! Sasa naanza kupata picha ya kwanini nguvu kubwa ilitumika kuzuia CHADEMA kufanya mikutano yao kuwashawishi wananchi kuunga hoja ya no Reforms no Election, Siasa ni mchezo wa wazi majukwaani na mabarabarani, saaa umati mkubwa tuliouona wa watanzania kujitokeza kuunga mkono hoja ya No...
  9. Mindyou

    PreGE2025 CHADEMA Kanda ya Magharibi: No Reforms No Election imetupelekea kuwajua wahuni wote waliokuwa madalali ndani ya chama

    Wakuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Magharibi kimetoa msimamo wao wa kuendelea kusimamia ajenda ya chama hicho ya kuzuia uchaguzi endapo hakutakuwa na mabadiliko ya kisheria wanayoamini yatawezesha uchaguzi mkuu wa mwezi Oktoba kuwa huru na haki.
  10. Mindyou

    PreGE2025 Kamanda wa Polisi Dodoma: Wanavyuo msijiingize kwenye kuvuruga amani wakati wa Uchaguzi

    Wakuu, Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi, amewataka wanafunzi wa vyuo vikuu na vya kati kuepuka kushiriki katika vurugu kabla, wakati na baada ya uchaguzi mkuu, ili kulinda amani na utulivu wa nchi. "Sasa hivi ni kipindi kabla ya Uchaguzi, wakati ya Uchaguzi na baada...
  11. Waufukweni

    PreGE2025 Lusinde: Lazima Uchaguzi utangulie, ndipo mabadiliko yafuate

    Mbunge wa jimbo la Mvumi Livingstone Lusinde wakati akichangia makadirio ya mapato na matumizi Bajeti Wizara ya Uchukuzi kwa mwaka wa fedha 2025/2026 leo Mei 15, 2025 Bungeni jijini Dodoma; "Mtu akisema 'No Reform, No Election', wewe badilisha kidogo tu, mwambie 'No Election, No Reform'. Maana...
  12. Waufukweni

    Mtaturu: Wanaosema 'hatuchezi' nao ni sawa na wanaosema 'No Reforms No Election'

    Mbunge wa Jimbo la Singida Mashariki, Mheshimiwa Miraji Mtaturu, amesema kuwa wapo baadhi ya watu wanaojaribu kuonesha tofauti na kutoshirikiana kisiasa, lakini ukweli ni kwamba wengi wao wanafanana kwa kauli na matendo. Akichangia Bajeti ya Wizara ya Ujenzi, Mtaturu alisema: "Mheshimiwa...
  13. W

    PreGE2025 Waziri Ndumbaro: Endapo chama hakitaki kushiriki uchaguzi Kuna ulazima gani wa kututangazia? Wamalizane ndani ya chama

    Waziri wa Katiba na Sheria Dkt. Damas Ndumbaro amesema kuwa suala la chama kutoshiriki Uchaguzi ni suala binafsi ndani ya Chama husika haipaswi kulazimisha umma kutoshiriki Uchaguzi. Ndumbaro amesema hayo mbele ya watendaji wa Serikali za Mitaa, Wenyeviti na Wajumbe wa Serikali za Mitaa kutoka...
  14. Cute Wife

    PreGE2025 NETO ilikuwa project ya CCM kuizima 'No Reforms No Election'? Siku 45 zilizotolewa na Simbachawene zimeisha, kimya!

    Wakuu, Hawa watu bana mi niliona toka mwanzoni walikuwa project tu ya mtu kuwatoa raia kwenye reli wajadili mambo mengine na kuacha jambo pressing lililokuwa mbele yetu. Mei 13, 2025 viongozi na baadhi ya wanachama wa NETO walifanya press, wanakushukuru 4R za Samia na Simbachewene kuwapokea...
  15. Waufukweni

    PreGE2025 Suzan Kiwanga: Sisi tulisema No reforms No election kama kutishia tu hatukumaanisha, akosoa ajenda ya kugomea uchaguzi

    Jumla ya wananchama 50 wa chama cha demokrasia na maendeleo CHADEMA kutoka Mkoani Morogoro wamejivua uanachama wa chama hicho huku baadhi yao wakijivua nyadhifa mbalimbali za uongozi wa ndani ya chama hicho. Hatua hiyo inakuja baada ya wanachama hao kudai kuwa hawaridhishwi na Maendeleo ya...
  16. upupu255

    PreGE2025 POTOSHI Picha ikionesha nyomi ya watu kwenye Operesheni ya 'No reforms No election' Mei 14, 2025

    Wakuu hizi picha ni za mwaka huu?
  17. Gabeji

    Huyu mtu aliyebuni slogani ya "No reforms No election" ndani ya CHADEMA ana akili sana, tumpe maua yake!

    Serikali ya CCM ,inalala na viatu, inahaha, kila mbinu chafu wakileta unashindwa kuuzima moto wa No reforms No election. Hapa kila Mtanzania anaimba , huu wimbo, "CCM wanaimbia kimoyoyo" , mpaka viongozi wa dini mashekhe, mapadirii,wachungaji, maskofu, yaani kila kona ya nchi ni No reforms No...
  18. Waufukweni

    PreGE2025 Heche: Hatubadili chochote msajili akitaka akifute CHADEMA

    John Heche Jaji Mutungi aione hii kwenye faili. Vita ni vita Mura. Hatutishwi, hatutishiki. Msimamo ni uleule.
  19. Mindyou

    PreGE2025 Morogoro: Viongozi wengine wa CHADEMA wajivua uanachama, wasema Tulisema No Reform kama kutishia tu

    Wakuu, Lile wimbi la wanachama wa CHADEMA kujivua uanachama linaendelea Siku ya leo Viongozi wa Chadema Mkoa Morogoro wilaya, Majimbo, Kata na Matawi wakiongozwa na aliyekuwa Mbunge wa Mlimba Suzan Kiwanga wamejivua uanachama wa CHADEMA. Wakizungumza kwenye mkutano waliofanya na waandishi wa...
  20. Lord Denning

    Kukosa akili kwa CCM na System kunazidi kuthibitisha Uhalali wa Ajenda ya Chadema kuhusu No Reforms No Election.

    Wakati Tundu Lissu akikamatwa na kuswekwa Gerezani kwa tuhuma za hila dhidi yake na Chadema. Wakati viongozi na Makada wa Chadema wakitekwa, kuuwawa na kupotezwa. Wakati Maofisa wa System wakienda kumwaga vitu vya kemikali kwenye Ofisi za Chadema Mbeya kuwatisha Wanachadema na Wanambeya kuacha...
Back
Top Bottom