Naam mie ni muumini wa mambo ya kuipa nafsi raha kimwili na kiroho,
Hapa na pale nikaenda kunako kijiji fedenge kumtembelea mchizi wangu wa kitambo toka shule ya Msingi,
Huyu msela wangu naye ni muumini wa pombe za nafaka,,,basi mdogo mdogo tukawa tunaelekea kunako eneo la tukio.
Tukaona...