nguruwe

Nguruwe
Nguruwe ni wanyama wa familia Suidae. Nguruwe-kaya hufugwa kote duniani. Nguruwe ni jamii ya wanyama wasiocheua, na wenye kwato zilizogawanyika. Wanyama wengine walio kwenye jamii hii ni pamoja na Nguruwe pori na Ngiri.
  1. KING MIDAS

    Tupeane machimbo kunapouzwa kitimoto. Pia tubasilishane ujuzi wa mapishi

    Wapendwa, mambo vipi? Tuko hapa kibadilishana mawazo, maarifa, na kujulishana machimbo wanakouza Kitimoto 🐖🐷🐽 katika mikoa mbalimbali na wilaya zake
  2. KING MIDAS

    Anzisha biashara Yako sasa ya sausage 🌭🌭 za nguruwe (pork sausage)

    Kutengeneza sausage ya nguruwe nyumbani ni rahisi ukiwa na viungo sahihi. Hii hapa ni njia rahisi: Viungo: 1 kg ya nyama ya nguruwe (mafuta na nyama, iliyo sagwa) 1 kijiko cha chai chumvi 1 kijiko cha chai pilipili manga 1 kijiko cha chai paprika (hiari) 1 kijiko cha thyme au oregano (hiari)...
  3. M

    Umuhimu wa kuwapatia iron injection kwa vitoto vya Nguruwe

    Habari wafugaji Leo tutajifunza juu ya utoaji wa iron injection kwa watoto wa nguruwe 🔴 UMUHIMU WA KUWAPA IRON INJECTION VITOTO VYA NGURUWE; 1. ✅ Kuzuia anemia (upungufu wa damu): Nguruwe wachanga huzaliwa na kiwango kidogo cha chuma, hivyo bila iron injection wanaweza kuishiwa damu. 2. ✅...
  4. M

    Ugonjwa wa homa ya mapafu kwa nguruwe (swine pneumonia)

    --- 🐖📌 ELIMU KWA WAFUGAJI Ugonjwa wa Homa ya Mapafu kwa Nguruwe (Swine Pneumonia) --- 🔍 Ugonjwa huu ni nini? Ni maradhi yanayoathiri mfumo wa upumuaji wa nguruwe. Husababisha shida ya kupumua, ukuaji hafifu na huweza kusababisha vifo iwapo hautadhibitiwa mapema. --- 🔬 Visababishi Vikuu...
  5. Yoda

    Tofauti na nguruwe wanyama gani wingine wamekatazwa kuliwa katika Quran?

    Wayahudi wao katika agano la kale waliwekewa vigezo vya wanyama wasiotakiwa kula vikiwemo wanyama walio na kwato zisizopasuliwa na wasiocheua, ndio maana hawali hata ngamia, sungura n.k kuna vigezo waliwekewa pia kuhusu ndege na samaki wasiotakiwa kuliwa. Nilitegemea kuwe na mfanano na...
  6. Stability

    Naungana na Dr Hayaland, ulaji wa ugali ni mateso, no wonder wenzetu wanalishia nguruwe na ng'ombe

    Kwanza Mwili unakuwa hauweleki kabisa, watu wengi wameambulia kuwa vijeba kisa ya ugali au miili ilijitengeneza utafikiri scooby dooby doo. Ugali, haswa unapokobolewa, una index ya juu ya glycemic, kumaanisha kuwa inaweza kusababisha kuongezeka kwa kasi kwa viwango vya sukari kwenye damu...
  7. M

    FAIDA YA KUHASI (CASTRATION) KWA NGURUWE DUME.

    --- 🐖📌 Elimu kwa Wafugaji – Kuhasi Nguruwe (Castration) Karibu kwenye somo letu kuhusu umuhimu wa kuhasi nguruwe dume. --- 🔍 Kuhasi ni nini? Ni mchakato wa kuondoa korodani za nguruwe dume wachanga ili kudhibiti uzalishaji wa homoni za kiume. --- 🗓️ Muda Sahihi wa Kuhasi: ➡️ Week ya 3...
  8. M

    Faida ya kukata mikia nguruwe (Piglet ) wako

    📌 Faida za Kukata Mikia kwa Nguruwe (Piglets): Karibu kwenye elimu ya huduma bora kwa piglets wako. 🗓️ Muda sahihi wa kukata mikia: Siku ya 3 hadi 5 baada ya kuzaliwa. 👉 Zoezi lifanywe mapema kabla ya mfumo wa neva kuwa na hisia kali, na kabla ya mikia kuanza kuwa migumu. --- ✅ Faida Muhimu...
  9. M

    Jinsi ya kumtambua nguruwe wako kama yupo joto

    Habari za muda huu natumaini wote ni wazima,Leo nitaenda kutoa elimu ya kujua Kama nguruwe wako yupo kwenye joto. 👉Note. Nguruwe ambaye yupo kwenye joto hukaa ndani ya masaa 72 (siku tatu) ✅Njia za kumtambua nguruwe aliye joto: 1. Test ya "standing reflex": - Mweke mikono yako juu ya...
  10. M

    Aina ya mbegu za nguruwe

    Habari za muda huu wafugaji, natumaini wote ni wazima wa afya .Leo napenda kutoa elimu juu ya aina Bora za mbegu kwenye shamba lako la mifugo. ✅ AINA YA MBEGU ZA NGURUWE; --- 🐖 1. Duroc Rangi: Nyekundu-kahawia Ukuaji wa haraka na misuli mingi Toleo bora la nyama (lean meat) Tabia: Watulivu...
  11. Richie Henry

    Ufugaji wa nguruwe

    Jamani habarini tena! Napenda kusaidiwa kwa wazoefu juu ya hili jambo, je eneo la robo ekari linatosha kwa kuanzia UFUGAJI WA NGURUWE.?
  12. EvilSpirit

    Waislamu washauriwa kufuga nguruwe ili kujikwamua kiuchumi

    Itaonekana ni jambo la ajabu kuwashauri kobazi kufuga nguruwe lakini ushauri huo umetolewa na Sheikh Abubakari Mwaibabile wa msikiti wa Sabasaba katika kitongoji cha Holemela,Mbarali Mbeya.Wakati akiyasema hayo aliwasisitiza waislamu kuielewa Quran zaidi na kutokubaliana na mambo ambayo hayako...
  13. Mbalizi feedstuff

    Natoa huduma ya kutengeneza pellets kwa ajili ya mifugo kama kuku na nguruwe

    Habari za kazi Nina mashine ya kubadilisha chakula cha mifugo cha ungaunga kuwa katika mfumo wa pellets ambazo ufanisi wake unajulikana katika ulishaji wa mifugo,pia huduma ya kuchanganya cha mifugo kuanzia 1000kg kwa saa pia inapatikana kwa kutumia Mixer.Huduma hizi zinapatikana Mbeya japo...
  14. M

    UPANDISHAJI KWA NGURUWE KWA NJIA YA MRIJA (ARTIFICIAL INSEMINATION)

    Habari wafugaji! Napenda kuwashukur kupata nafasi kwa muda huu .binafsi Mimi ni daktari gilliard najihusisha na masuala yote ya wanyama Yani mifugo. Leo napenda kuwaletea juu ya upandishaji kwa nguruwe kwa njia ya mrija.njia hii ni muhimu sana endapo ukitumia kwenye shamba lako la mifugo na...
  15. tinWyn

    Mradi wa ufugaji wa nguruwe – Mtanzania mwenye maono

    1. UTANGULIZI WA MRADI Mradi huu unalenga kuanzisha ufugaji wa nguruwe kwa kiwango kidogo kwa lengo la kukuza kipato na kujenga msingi wa biashara endelevu ya mifugo. Mradi unaweza kuanzishwa kijijini au mjini, kulingana na upatikanaji wa eneo na maji. Shughuli za awali ni: Kuandaa eneo la...
  16. K

    Nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe

    habari wadau nauza mizani ya kupimia uzito wa nguruwe kama attachment ilivyo kwa anayehitaji wasiliana kwa 0626333300
  17. Comrade Ally Maftah

    WAFUGAJI WA NGURUWE

    MAX PIG SUPER MEAT VIRUTUBISHO ASILIA BORA KWA AFYA YA NGURUWE WAKO. ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa...
  18. sam sanity 01

    Chakula bora cha Nguruwe wa kisasa

    Mimi natumia gharama kubwa kupata mchanganyo kwaajiri ya nguruwe ambao ni:- Pumba mahindi 700kg Concentrate 50kg Mashudu 200kg OlaQuindox 500mg Bokhash 10kg Dcp 10pkt Pig booster 10pkt Toxic binder 1kg Jumla tani 1 ya chakula. Napata matokeo lakini faida inakuja ndogo sana. Je wanajamii...
  19. Imani rubaba

    Nguruwe mmoja anaweza kukupa hadi zaidi ya TSh. Milioni 1 ndani ya muda huu tu!

    Leo nataka tuangazie fursa hii ambayo imekuwa ikizungumzwa sana lakini bado haijatiliwa mkazo. Ukiitazama kwa jicho la fursa — inaweza kuwa njia ya tobo lako la kiuchumi mwaka huu! ❓Je, unajua? Nguruwe ni miongoni mwa nyama zinazopendwa sana Tanzania, hasa maeneo ya mijini kama Dar es Salaam...
  20. M

    Usifuge nguruwe bila kutumia nguruwe virutubisho hivi vya max pig super meat. Utakuja nishukuru

    ■ FAIDA YA KUTUMIA MAX PIG SUPER MEAT. -Nguruwe hukuwa haraka pasipo kudumaa na kuongeza uzalishaji wa nyamaa Tamu isiyo na mafuta mengi yenye hadhi ya kimataifa. -Nguruwe kuingia joto kwa wakati na kupelekeea kuzaa watoto wengi wenye afya njema. -Huboresha kinga ya mwili hivyo nguruwe...
Back
Top Bottom