nguruwe

Nguruwe
Nguruwe ni wanyama wa familia Suidae. Nguruwe-kaya hufugwa kote duniani. Nguruwe ni jamii ya wanyama wasiocheua, na wenye kwato zilizogawanyika. Wanyama wengine walio kwenye jamii hii ni pamoja na Nguruwe pori na Ngiri.
  1. Tipperhendrix

    JamiiForums Tanzania Ninafuga, Ninachinja na Kuuza Nguruwe

    Habari. Nauza Nguruwe. Madume yaliyo hasiwa Yapo. Madume ya Mbegu Yapo. Na Majike ya Mbegu Yapo. Ukihitaji Nyama. Kilo 1 ni Tshs 8,000/= Kama unataka Nguruwe, au Kula Nyama ya Nguruwe. Piga simu au tuma Message kupitia namba +255738141339 au +255714313711 Kama upo WhatsApp, tumia namba hii...
Back
Top Bottom