nelson mandela

Nelson Rolihlahla Mandela (; Xhosa: [xolíɬaɬa mandɛ̂ːla]; 18 July 1918 – 5 December 2013) was a South African anti-apartheid revolutionary, political leader and philanthropist who served as President of South Africa from 1994 to 1999. He was the country's first black head of state and the first elected in a fully representative democratic election. His government focused on dismantling the legacy of apartheid by tackling institutionalised racism and fostering racial reconciliation. Ideologically an African nationalist and socialist, he served as the president of the African National Congress (ANC) party from 1991 to 1997.
A Xhosa speaker, Mandela was born to the Thembu royal family in Mvezo, Union of South Africa. He studied law at the University of Fort Hare and the University of Witwatersrand before working as a lawyer in Johannesburg. There he became involved in anti-colonial and African nationalist politics, joining the ANC in 1943 and co-founding its Youth League in 1944. After the National Party's white-only government established apartheid, a system of racial segregation that privileged whites, he and the ANC committed themselves to its overthrow. Mandela was appointed president of the ANC's Transvaal branch, rising to prominence for his involvement in the 1952 Defiance Campaign and the 1955 Congress of the People. He was repeatedly arrested for seditious activities and was unsuccessfully prosecuted in the 1956 Treason Trial. Influenced by Marxism, he secretly joined the banned South African Communist Party (SACP). Although initially committed to non-violent protest, in association with the SACP he co-founded the militant Umkhonto we Sizwe in 1961 and led a sabotage campaign against the government. He was arrested and imprisoned in 1962, and subsequently sentenced to life imprisonment for conspiring to overthrow the state following the Rivonia Trial.
Mandela served 27 years in prison, split between Robben Island, Pollsmoor Prison and Victor Verster Prison. Amid growing domestic and international pressure and fears of racial civil war, President F. W. de Klerk released him in 1990. Mandela and de Klerk led efforts to negotiate an end to apartheid, which resulted in the 1994 multiracial general election in which Mandela led the ANC to victory and became president. Leading a broad coalition government which promulgated a new constitution, Mandela emphasised reconciliation between the country's racial groups and created the Truth and Reconciliation Commission to investigate past human rights abuses. Economically, Mandela's administration retained its predecessor's liberal framework despite his own socialist beliefs, also introducing measures to encourage land reform, combat poverty and expand healthcare services. Internationally, he acted as mediator in the Pan Am Flight 103 bombing trial and served as secretary-general of the Non-Aligned Movement from 1998 to 1999. He declined a second presidential term and was succeeded by his deputy, Thabo Mbeki. Mandela became an elder statesman and focused on combating poverty and HIV/AIDS through the charitable Nelson Mandela Foundation.
Mandela was a controversial figure for much of his life. Although critics on the right denounced him as a communist terrorist and those on the far left deemed him too eager to negotiate and reconcile with apartheid's supporters, he gained international acclaim for his activism. Widely regarded as an icon of democracy and social justice, he received more than 250 honours, including the Nobel Peace Prize. He is held in deep respect within South Africa, where he is often referred to by his Thembu clan name, Madiba, and described as the "Father of the Nation".

View More On Wikipedia.org
  1. Idugunde

    Mbona sisi kama taifa tulipiga kelele hayati Nelson Mandela aachiwe? Kuna ubaya gani EU kupiga kelele Lissu aachiwe!

    Tulipopiga kelele na kupoteza rasilimali zetu kwa ajili ya hayati Nelson Mandela aachiwe Afrika ya kusini haikuwa Sovreign state? Ilikuwa dola huru lakini ilikuwa chini ya utawala dhalimu ambao ulimweka jela kwa kesi ya uhaini kwa mizengwe. Mpaka sasa hapa kwetu kesi ya Lissu imeonekana wazi...
  2. U

    PostGE2025 Ushauri wangu: Tusahau yaliyopita tuanze upya kwa upendo kama alivyofanya Hayati Nelson Mandela na Makaburu

    Ni maoni yangu binafsi, Maandiko matakatifu yanasema kusamehe saba mara sabini
  3. Stuxnet

    GE2025 USHAURI: Tundu Lissu akubali kusimamiwa na Wakili kama ambavyo George Bizos alivyomuokoa Nelson Mandela dhidi ya adhabu ya kifo

    George Bizos alikuwa wakili muhimu wa Nelson Mandela na wenzie waliokuwa wanashtakiwa pamoja naye wakati wa Kesi ya Rivonia 1963-74. Anakumbukwa kwa kumshauri Mandela kuongeza neno "ikiwa ni lazima" kwenye hotuba yake ya kesi, nyongeza ya kimkakati ambayo inadaiwa kumsaidia kuepuka hukumu ya...
  4. KING MIDAS

    Hotuba ya Nelson Mandela yenye kichwa "Niko Tayari Kufa" ("I Am Prepared to Die")

    Hotuba ya Nelson Mandela yenye kichwa "Niko Tayari Kufa" ("I Am Prepared to Die") ni mojawapo ya hotuba mashuhuri zaidi katika historia ya karne ya 20. Aliitoa mnamo 20 Aprili 1964 katika Mahakama Kuu ya Pretoria wakati wa Kesi ya Rivonia, ambapo yeye na wenzake walikuwa wakishtakiwa kwa uhaini...
  5. nodetz

    Je, Nelson Mandela ni kweli alikua shujaa wa afrika au historia yake kuna namna imechezeshwa?

    Kimsingi huwa nashindwa kuelewa kivipi msimamo wa Nelson Mandela baada ya kutoka gerezani ulibadilika?. Wengine usema Mandela aliyeingia gerezani na Mandela aliyetoka gerezani ni wanaume wawili tofauti. Baada ya kusoma historia yake unaweza kuona Mandela aliyefungwa jela alikua ni wamoto sana...
  6. Idugunde

    Tabasamu la Lissu kama la Nelson Mandela. Mpigania haki ni mpigania haki tu

    Highly spirited Tundu Lissu like Nelson Mandela
  7. Mdude_Nyagali

    PreGE2025 Kisa cha kesi za uhaini kwa Lissu na CHADEMA ni kama ANC na Mandela

    Miaka ya 1950+ hivi chama cha ANC kule Afrika Kusini chini ya Mandela kilianza kuonesha makali kwa serikali ya makaburu. Harakati za ANC za kudai uhuru wa watu weusi zilipamba moto mno kiasi cha makaburu kukosa usingizi. Makaburu wakawaza ni namna gani wafanye kudhibiti harakati za chama hicho...
  8. S

    Je wajua? Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi hadi mwaka 2008

    Kama ulikuwa hujui, Serikali ya Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi kuanzia mwaka 1988 wakati hadi mwaka 2008. Vilevile chama cha ANC, kiliwekwa kwenye orodha ya makundi hatari zaidi ya ugaidi duniani. Sasa jiulize je "gaidi ni nani"? Source: "Why Nelson Mandela Was on...
  9. S

    Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi hadi mwaka 2008

    Kama ulikuwa hujui, Serikali ya Marekani ilimuweka Nelson Mandela kwenye orodha ya magaidi kuanzia mwaka 1988 wakati hadi mwaka 2008. Vilevile chama cha ANC, kiliwekwa kwenye orodha ya makundi hatari zaidi ya ugaidi duniani. Sasa jiulize je "gaidi ni nani"? Source: "Why Nelson Mandela Was on...
  10. Karemboo

    Ifakara Health Institute (IHI) Public Health Masters Scholarship kupitia chuo cha Nelson Mandela

    Wapendwa nimeanzisha hii thread kwa yeyote mwenye information kuhusu kuhusu hiyo scholarship inayotolewa na IHI kwa wale wenye admission za masters of public health chuo cha nelson mandela, mana mimi nina admisssion ya 2024/2025 na niliomba samia scholarship ila majibu bado na nimesikia ipo hiyo...
  11. adriz

    Video ya Mahojiano : Nelson Mandela akiweka wazi msimamo wake kuhusu harakati za Palestine na Yaseer Arafat

    Moja kwa moja..
  12. JanguKamaJangu

    Zoleka Mandela, Mjukuu wa Nelson Mandela afariki Dunia akiwa na umri wa miaka 43

    Zoleka Mandela: Nelson Mandela's granddaughter dies in South Africa at 43 Zoleka Mandela, granddaughter of South Africa's first democratically elected President Nelson Mandela, has died of cancer at the age of 43. She passed away on Monday evening surrounded by friends and family, a...
  13. J

    Kwa Siasa za Tanzania Mbowe ni 'next level'. Aliwahi kukutana na Mandela baada ya kutoka jela, ana maarifa mengi!

    Nimeangalia orodha ya watu wanaomponda Mbowe kuanzia Wabunge, UVCCM hadi akina Hamad Rashid nikaona 95% ni chuki binafsi tu na wala siyo lile angalizo au tahadhari aliyotoa Freeman. Mtu kama Kibajaj Tangu ahame CHADEMA na kujiunga CCM amekuwa na bifu na Mbowe. Hamad Rashid akiwa bungeni mara...
  14. Machilllo

    SoC03 Nafasi na utambuzi wa nafasi

    Katika Maisha tunajifunza kuwa, kila mtu haijalishi ni umri, rika, jinsia, ama uwezo alio nao huwa una msukumo katika kufanya jambo Fulani. Jambo hilo linaweza kuwa kwa ajili yake, ama kwa ajili ya jamaa wanao mzunguka. Kwa mfano tunapokuwa Watoto mara nyingi tunakuwa na akili ya kufanya vitu...
  15. S

    Tovuti za Vyuo Vikuu vya Umma Tanzania ni aibu wakiongozwa na UDOM na Nelson Mandela

    Ndugu zangu watanzania wenzangu katembeleeni tovuti za vyuo vikuu vyetu vya umma anzia na UDOM, nenda Nelson Mandela uje uniambie kama utapata taarifa unazohitaji. Ndio maana watanzania wa kawaida wanawadharau wasomi wetu. Unafungua tovuti ya UDOM ukitegemea upate programme lists, programme...
  16. Peter Mwaihola

    Yafahamu zaidi majina ya Nelson Mandela

    Aliyekuwa rais wa kwanza mweusi wa taifa huru la Afrika ya kusini alifahamika zaidi kwa majina mawili ya Nelson Mandela. Hayati Mandela aliyezaliwa 1918 na kufariki 2013 alikuwa na majina mengine zaidi aliyoitwa katika Kipindi cha maisha yake. Kila jina aliloitwa kilikuwa na maana yake...
  17. J

    Prof. Lipumba hajui Siasa. Risasi 16 alizopigwa Lissu ni Mtaji wa kisiasa wa kumpeleka Ikulu kama Kifungo cha Mzee Mandela kilivyompeleka Ikulu!

    Kuna wakati Prof Lipumba alipigwa Kwenye harakati za kisiasa anafungwa pop mikononi, kila alipokwenda alikuwa anautanguliza ule mkono Watu wauone na hakuna aliyemlaumu. Kifungo cha mzee Mandela gerezani lilikuwa mtaji na sifa kuu ya yeye Kuchaguliwa kuwa Rais wa SA. Ni ama Prof Lipumba hajui...
  18. Mwande na Mndewa

    Tundu Lissu sio Fidel Castro, sio Che Guevara, sio Kwame Nkrumah wala si Nelson Mandela

    Tundu Lissu ni mwanasiasa anayerudi nchini Tanzania kula bata baada ya matakwa yake yote kutimizwa, utakuta kuna mtu anamsubiri Tundu Lissu akiamini ni mpinzani, la hasha, Tundu Lissu anarudi nchini Tanzania baada ya yale yote aliyoyapigania katika harakati zake kutimizwa na Hayati Rais...
  19. beth

    Mandela Day 2022: Ni kwa namna gani tunamuenzi Hayati Nelson Mandela?

    Kila Julai 18, Siku ya Mandela au Siku ya Kimataifa ya Nelson Mandela inasherehekewa duniani kote kuenzi mafanikio ya Kiongozi huyo Kwa mwaka 2022, Maadhimisho haya yanaangazia Usalama wa Chakula na Mabadiliko ya TabiaNchi Mandela alizaliwa Julai 18, 1918 na kufariki dunia Desemba 5, 2013...
  20. Mohamed Said

    Ingekuwaje kama Mandela asingeandika historia ya maisha yake?

    INGEKUWAJE KAMA MANDELA ASINGEANDIKA TAWASIFU YAKE "LONG WALK TO FREEDOM? Mimi ni mpenzi mkubwa wa vitabu vya tawasifu na wasifu hasa za watu maarufu awe mwanasiasa kama Nelson Mandeala au mwanamuziki kama Harry Belafonte (My Song) na wengine ambao hwafahamiki sana kama Maulid Mshangama (Sowing...
Back
Top Bottom