House4Sale Nauza nyumba yangu ipo Kivule kwa wamakonde 25mil

Nyamwi

Member
Jan 12, 2022
54
58
Habari,

Nauza nyumba yangu ipo maeneo ya Kivule kwa wamakonde 25mil, haijaisha...Imeezekwa na mabati ya msauzi..Kiwanja ni cha kuandikishana serikali za mitaa hakina hati, kina ukubwa wa sq 500, ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja ndo master, ina sebule,dining pamoja na jiko.

Aliyepo serious tuwasiliane 0657940974

20211019_164345.jpg


20211019_164306.jpg


20211019_164319.jpg


20211019_164244.jpg


20211019_164306.jpg


20211019_164244.jpg
 
Kweli nyimba fupi alipaswa kuongeza msingi angalau kozi nne juu na hilo bati ingeoendeza sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom