nauza

  1. Gily Gru

    SOLD: Nauza casterboard, sio skateboard

    Nauza Caster Board, kwa shilling elfu 50. Ni used ya mtumba napatikana Dar. Kwa mawasiliano piga 0714829688. .
  2. Gily Gru

    Nauza : Canon Pixma MX410

    Nauza kwa matumizi ya kiofisi Canon Pixma MX410 Sifa zake someni online na kama una maswali wajuzi watayajibu hapa Inauzwa 200,000/- kama unahitaji mawasiliano ni 0714829688. .
  3. N

    INAUZWA Nauza ps4, ina pad 2 na fifa 22

    ps4 controller mbili fifa 22 inside 670k(pungufu kidogo ipo) 0752527054 or 0629274880
  4. Senator jr

    Computer4Sale Nauza HP Pavilion Gaming Laptop bei nafuu

    interact with your PC.Video graphics: NVIDIA GeForce GTX 1050 (2 GB GDDR5 dedicated); Turn your laptop into a creative powerhouse for visually demanding apps. NVIDIA Pascal and Game Ready technologies drive the latest games in their full glory.Display: 15.6-inch diagonal Full HD (1920x1080) IPS...
  5. Mr Kazembe

    INAUZWA Graphic card nauza 400k pia nafanya exchange na simu na pesa

    Graphic card: amd radeon rx 470 4GB Wale wapenzi wa games 3d & graphics basi hii kitu ni mwisho wa matatizo yako Bei 400000/= Karibu whatsapp number 0759377457 tembelea hapa kupata specification zake https://www.amd.com/en/products/graphics/radeon-rx-470
  6. joss1973

    Plot4Sale Tunauza Viwanja na Mashamba sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kiwanja kinauzwa chanika Nguvu kazi kipo mita 900 toka barabara ya ram.kuna umeme .barabara ipo mpaka kwenye kiwanja .Ni eneo Endelevu,Tambarare.ujenzi ni rahis sana mchaka unapata hapo hapo kwenye kiwanja .ukumbwa miguu 38 kwa 20.bei maelewano.cmu 0713 95 92 90 ,0685 65 55 35
  7. Rion Jr

    INAUZWA Nauza vifaranga vya Bukin, Mallard, Jumbo Perkins, Khaki Campbell, Indian Runner na Ruen

    Kwa mahitaji ya bata na vifaranga vya bata bukin Mallard Jumbo perkin Khaki Campbell Indian runner Ruen Wanapatikana CHANIKA KWA SINGA, ILALA DAR ES SALAM Call: 0746 696878 Instagram: ILUNDA FARM FACEBOOK: MABATA DAR
  8. kagombe

    Phone4Sale Nauza hii simu

    Nauza simu bei poa Nimu ni Nokia original Model 1280 Nataka tsh 25000/= 0679 100 690
  9. Nic..

    Nauza Camera, Fujifilm Xt4, with 18-55mm, 50-140mm f2.8, vyote 5M

    Camera iko katika hali Nzuri, imetumiaka wiki mbili tu kwenye Project. Niliagiza kwa ajili ya project, now nimemaliza. Ni camera nzuri sana hasa kwa Advanced Cinematographers & Photographers. Nilinunua 9.5M, Nauza almost Half a price PRICE 5,000,000 Effective: 26.1 Megapixel (6240 x 4160)...
  10. Ene magari

    Nauza harrier new model

    Harrier new model DMW CC 2360 Mwaka 2004 Km 89,000 Bei 21 ml Full option full body kity Iko buza 0628729873
  11. Ally MO98

    INAUZWA Nauza vifaa vya Saluni

    Habari ndugu zangu, Mimi ni kijana niliejiajiri na sasa nimepata fursa kubwa zaidi hivyo nauza vifaa vya saloon hivyo kwa anaehitaji chap anipigie kwa +255625981281 *Machine *Kiti *Vioo kidogo viwili *Kipo kikubwa kimoja JUMLA NAUZA Tsh 450,000/=
  12. Nyam

    Nauza nyumba Kivule kwa wamakonde kwa Tshs. 22,000,000

    Habari wana JF Nauza nyumba yangu kwa 22mil kwenye eneo lenye ukubwa wa sq 500 imepauliwa na bati la msauzi mgongo mpana ila sijaendelea na chochote baada ya hapo... Ila ni nyumba ya vyumba 3 vya kulala kimoja masta, sebule, dining, public toilet,bafu na jiko. Umeme na maji vyote vipo jirani...
  13. B

    INAUZWA Nauza pikipiki used TVS 125 Gia 4 Kwa 1.3m

    TVS hio. Cc 125 gia 4. Imetumika mwaka mmoja. Full document. Bei 1.3mil. Iko Nyakato Mwanza Piga 0623865841 tuongee biashara.
  14. Wazobora

    Nauza maziwa mgando lita moja Tsh1,500/= mkoa wa Kagera

    Habari zenu wanajf. Nitumie fursa hii kuwatangazia kuwa ninauza maziwa mgando kwa bei ya tsh1,500/= kwa lita moja maziwa yetu ni mazuri hayaja chakachuliwa kwa namna yoyote ile. Makazi yangu ni mkoa wa Kagera. Kama upo mkoa tofauti na mkoa wa Kagera itakupasa kulipia gharama za usafirishaji...
  15. T

    Plot4Sale Wahi mapema, nauza Kiwanja changu SQM.723-Oysterbay-Dodoma!

    Kiwanja Kipo Oysterbay mita 50 kutoka Oysterbay Lodge, kipo jirani na kituo cha mabasi Oysterbay uelekeo wa UDOM upande wa kushoto kuna barabara ijulikanayo kama Oysterbay road. Kiwanja ni kizuri kwa makazi na biashara pia kinafaa kujenga lodge/guest house na kimezungushiwa msingi wa fensi...
  16. Mlolongo

    Nauza paka/nyau, nipo Makongo Dar

    Nauza paka/nyau. Ni domestic cats, species aina ya Felis Catus. Location: Makongo Juu (opposite na nyumba ya Professor Rwekaza Mkandala) Mawasiliano: 0718 727210 (Whatsapp/SMS) Bei: 540,000/= kwa paka mmoja. Ukichukua wawili unalipa 1,060,000/= Picha: Anajificha nisimpige picha Anapiga...
  17. bafetimbi

    Phone4Sale Nauza infinix HOT 10i 215,000

    Simu hiyo wazee haina kasoro wala mkwaruzo Ina GB 64 3--6GB RAM 720×1600 pixels 13 MP (1440p) Betri 6000mAh, inakaa na chaji muda mrefu mno 6.52
  18. M

    Nauza kuku aina ya sasso

    Habari wakuu. Kuku wapo Kahama wana miezi 4 na wiki moja. Idadi wapo 150. Bei 12000, maelewano yapo. Simu 0755868463. Karibuni.
  19. Rion Jr

    INAUZWA Nauza biashara ya chips

    Biashara ya chips inauzwa ipo Yombo kituo chama, sehemu ya biashara ipo barabaran kabisa, kuna kila kitu kinachohitajika kwny biashara ya chips , na kod bado ipo miezi 4 ukifika ww nikuanza kazi bei 2.7M Call +255 759 444 402
  20. N

    House4Sale Nauza nyumba yangu Kivule Kwa Wamakonde 22 mil

    Habari wana JF, Nauza nyumba yangu iko Kivule kwa wamakonde kwenye kiwanja cha s.meter 500, haijaisha ila tayari ishapauliwa na mabati ya msauzi. Kwa walio serious karibuni..22mil Mawasiliano 0767940945 Asanteni..
Back
Top Bottom