nauza

  1. emmarki

    Nauza mbegu za pilipili (mwendokasi)

    Nina mbegu za pilipili mwendokasi rangi ya njano OPV, siyo Hybrid. Zimechambuliwa vizuri na zinazaa vizuri sana Kilo moja ni shilingi elfu thelatini na nane 38,000/= Natuma popote kwa uaminifu mkubwa Piga/sms/whatsapp 0752042670 Karibu sana
  2. madaili

    Phone4Sale Nauza iPhone 8 Plus

    Nauza iPhone 8 Plus, 64 GB, simu ipo Dar es salaam. Bei ni 389,000 tshs. Negotiable. Kama unahitaji nicheki hapa au dm. Unaweza pia kunicheki Whatsapp: +8619974300439
  3. B

    Car4Sale Nauza gari Raum

    Hokpjh
  4. G

    Plot4Sale Nauza viwanja bei 1,000,000 kulipa kwa awamu

    🌲🌴 MBAGALA CHAMAZI MBANDE, NEW PROJECT NEW SITE 🌲🌴 RESIDENTIAL PROPERTY ✅ NO DOWN PAYMENT. ✅ NO RESIDENTIAL FEE. ✅ SITE VISITING NI KILA SIKU 👌 GOOD FOR RETIREMENT OR BAKASYUNAN. ✅ ACCESSIBLE AREA. ✅ HINDI BINABAHA. ✅ FRESH AIR CONDITION. 💵 PRICE LIST (FUTY) 50×30=800,000/= 50×40=1,200,000/=...
  5. Killing machine

    Karibu nauza mahindi na ulezi

    Kilo Mia na Saba no shilling 71000 hapa hapa Tunduma nauli kwa Tani mpaka holili ni lak 2nakumi dar ni lak na 20 kwatani boss wang
  6. Waibi fredy

    Nauza Samsung A72 inauzwa

    SAMSUNG A72 📱 Storage 128 GB|8GB ⚙️ Dual sim ✅ Battery 5000mAh Display 6.7” Black ⚫️ Tsh 850,000/= From Muscat Oman Inamiezi 6 tu . Haiba shida yoyote 0715160365 📞
  7. B

    Nauza bata wa kienyeji kwa bei nafuu

    Rejea mada hapo juu, Nina bata wa kienyeji kwa ajili ya mboga na kufuga kama unaitaji nidm bei ya kitanzania kabisa Dume Uzito kg 4 - 5 Ana mwaka mmoja na miezi 6 Bei 30,000 Majike Wanaotaga wako 2 Bei 15,000@1 Mwenye watoto yuko 1 Bei 20,000 Pia kuna makinda wako 5 Bei 10,000@1 Pia kama...
  8. U

    Plot4Sale Nauza kiwanja Mbweni Mwisho

    Habarini wadau, nauza kiwanja kipo Kata ya MAPINGA kijiji cha KIHARAKA mtaa wa SOWETO karibu na kambi ya jeshi MBWENI, huduma za kijamii zote zipo na kimeshapimwa tayar, Ukubwa 25x25..dk10 kutoka Bagamoyo rod bei ni ml9...hakina udalali.. kwa mawasiliano 0672875803
  9. makaveli10

    INAUZWA Nauza nazi

    Mabibi na mabwana, nina nazi nauza ndugu zangu, kwa oda zimebaki chache, aseme mtu alipo nitamletea, Wahi kabla hazijaisha, ila hizi zikiisha naweza pia kukuchukulia kwenye mashamba ya jirani kwa oda maalum, mzigo upo njiani unakuja dsm kigamboni, unatokea mkuranga, hivyo watu wa maeneo haya...
  10. Jay_255

    SOLD: Nauza ghorofa na pamoja na nyumba ya chini zote kwa bei moja

    Jengo la ghorofa 2 na nyumba ya chini zote zinauzwa Kijitonyama Ghorofa Lina vyumba 6 ambavyo ni master vyote Nyumba ya chini ina vyumba 3, kimoja master, jiko, sitting room na public toilet. Plot size Sqm 750 Clean title deed (HATI MILIKI IPO) BEI MILIONI 500 (500,000,000) Mawasilinao 0782 780980
  11. Mlolongo

    SOLD: Nauza Bata Bukini wakubwa. Nipo Makongo Juu

    Aim: Nauza Bata Specie: Bukini Serbié wakubwa idadi: Wawili (dume na jike) Price: Dume (TZS 330,000) na Jike (TZS 300,000) Combined Price: Ukichukua wote nakuuzia kwa 600,000/=. Location: Makongo Juu, DAR. Mawasiliano: 0718 102033 Nota bene: Huyu Jike anataga, as of today anaatamia mayai kumi...
  12. eli_dealz

    Phone4Sale Nauza Quality SIMU kwa bei nzuri

    Tuanze na IPHONE 7 32 GB USED BEI : SOLD SOLD LOCATION : DAR ES SALAAM CONTACT : 0764081567 - Call and Whatsapp
  13. K

    Plot4Sale Nauza kiwanja Kibamba shule

    Nauza kiwanja Kibamba shule, karibu na Hondogo sekondari ukubwa wa eneo 35m x 15m liko vizuri sana bei 10,000,000 mawasiliano 0787503677 or 0656403680
  14. Donray

    Nauza laini za Uwakala wa mitandao yote

    Niko mkoa wa Singida nauza laini zote tano za uwakala na zimesajiliwa kwa TIN number na leseni ni ya biasharaa ya nyumbani. Na pia Nina mashine ya CRDB. Kwa atakae itaka labda awe ndani ya Singida ila nje ya singida itabidi awe na connection itakayo msaidia kuihamisha mkoa. Bei maelewano...
  15. gkasambo

    Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10

    Habari wakuu Kwa wakazi wa DAR ES SALAAM. Nauza nyama ya ng'ombe kwa kupokea oda kuanzia kilo 10. Delivery free mpaka kwa mteja. Malipo. mpaka mzigo unapofika kwa mteja Bei ni 7000 kwa kilo Taasisi kama shule, migahawa, hoteli na kwa mahitaji ya nyumbani karibuni tufanye kazi Napatikana...
  16. C

    Nauza Vitu Vifuatavyo

    Habari wakuu nahama nauza vifuatavyo Godoro inch 8 bei 140,000/- Jiko dogo la gesi ( linagesi ilijazwa wiki moja iliyopita) 25,000/- Feni 60Watts bei 25,000/- Tray ya vyombo ngazi nne bei 10,000/- Vikontena vipo vinne 10,000/- Ndoo 2 na beseni vyote 6,000/- Vifaa vya usafi vyote bei 6,000/-...
  17. Bata Boy Official

    INAUZWA Nauza gitaa

    ASANTENI!! GUITAR LIMEUZWA TAYARI.
  18. M

    Nauza kabati la vyombo na friji dogo

    Salaam kwa wote. Nauza kabati kubwa la vyombo (kama linayoonekana pichani). Bei ni shilingi 350,000/. Kabati limetumika lakini lipo kwenye hali nzuri sana. Pia nauza friji ndogo (kama inavyoonekana pichani). Bei ni sh. 195,000/. Friji limetumika lakini linafanya kazi vizuri sana. Vitu vyote...
  19. Printing n Packaging

    INAUZWA Nauza picha za kwenye frame na picha mbao

    TUMA PICHA KWA NAMBA ZETU 0683557564 UKITUMA LEO UNAPATA LEO. TUNAPATIKANA KIMARA KOROGWE DSM SIZE : A4 -15,000 SIZE : A3 -25,000 SIZE : A2 -40,000 SIZE : A1 -65,000
  20. Gily Gru

    INAUZWA Nauza Player ina tumia santuri zote aina tatu

    Nauza player ya santuri bei laki moja tasilimu Ina bluetooth Ina play 45, 33 na 78 Portable and easy to carry
Back
Top Bottom