nauza

  1. Atalanta

    NAUZA SIMU INFINIX SMART 5

    wakuu nauza simu infinix smart 5. Simu haina tatizo lolote.RAM 2, Storage 32 GB, MAH 5000 price yake 150,000 Location nipo Mbeya
  2. Artifact Collector

    Computer4Sale Nauza laptops Ram 4Gb, ssd 128, processor Intel Celeron sh 390,000/=

    Laptops dell-Ram 4Gb, ssd 128, processor Intel Celeron sh 390,000/= Zipo nyingi kama inavyoonekana kwenye picha
  3. Blauzi mbovu

    INAUZWA Nauza dagaa nyama na wengineo

    Wadau habari za leo ! Nachukua nafasi hii kuwatangazia biashara ya dagaa wa maji chumvi kwa sampuli zao: 1. Dagaa nyama, 2. Dagaa wakavu/Lukumbu, 3. Lumbunga , na 4. Ng`onda pia wapo. -Mauzo ni kwa jumla, -Bei ni poa, -Msimamizi wa kila kitu ni mimi mwenyewe, naazingatia ubora na usafi kwa...
  4. dennoo_appliances

    Computer4Sale Nauza home appliances (tv, refrigerator, music system na air conditioner)

    Karibuni
  5. TheTrf

    Nauza milunda kwa ajili ya shughuli mbali mbali za ujenzi

    Ziko pisi nyingi Sana kwa ajili ya fensi n.k zenye urefu wa 6ft 7ft na 5ft. Pisi moja Ni shilingi 1000. Kila kipande kimekuwa treated. Mzigo upo pembeni mwa barabara ya lami ,mpakani mwa njombe na Songea. 0684682777
  6. dennoo_appliances

    Nauza polo shirts (form six) 5 kwa sh. 9000/=

    Samahan content haiendani na kichwa cha habari Nauza polo shirts (form six) kwa jumla kuanzia piece 10 na kuendelea sh 11,500/= Tunatuma mpaka mikoani 0713520180
  7. H

    Nauza raba za mtumba bei ya jumla (10,000)

    Habarini! Natumaini wote tuko salama kwa neema ya Mungu. Karibuni kuniungisha raba za mtumba kwa bei ya jumla, nipo Kinondoni Studio, barabara ya kwenda Mwananyamala opposite na Akiba Commercial bank Simu: 0759891571 WhatsApp: WhatsApp Location on Google Map: Jessi Brands · 35 Mwinyijuma Rd...
  8. G

    Nauza harddisk za computer

    Habari, Harddisk za desktop na Laptop Na CCTV Camera zinapatikana. Zipo za ukubwa mbali mbali, kama 320GB, 500GB, 1TB, 2TB, 4TB. Ukihitaji mawasilliano 0673330618
  9. FLAVOR

    Nauza gari yangu, GX100 kwa member haina udalali

    Done
  10. M

    Phone4Sale Nauza Simu Tecno Camon 18i

    Nauza simu yangu aina ya Tecno Camon 18i, ina Ram 4GB, ROM 128GB, ina support 4G, Camera 48MP ya nyuma, na mbele ni 8MP, battery yake ina ukubwa wa 5000mAh, ina glass protector, box yake ipo kama utahitaji, nimeitumia miezi miwili tu, bado iko kwenye hali nzuri, haina scratches wala crack...
  11. 2015ready

    Viwanja vinauzwa Bagamoyo Fukayose

    Habari wadau wa Maendeleo. Nauza Viwanja. Vipo Bagamoyo njia ya kwenda Msata, eneo la FUKAYOSE. Bei ni Tshs 5,500 kwa square meter moja. Viwanja vimepimwa tayari na vipo kilometers 1.5 kutoka barabarani. Kwa mawasiliano piga namba 0767460356
  12. M

    INAUZWA Nauza home decor

    Habari Karibu ujipatie shuka Duvet Duvert cover Carpet Pazia kwa bei poa Tupo ubungo Whatsaap 0746374457 Dar delivery ipo ni juu ya mteja #your taste is here
  13. M

    INAUZWA Nauza kabati la kioo la Aluminum 120K

    Nauza kabati la aluminium la kioo. Bei Tsh 120K Ukubwa wake. (77,65,37cm) Mahali : Dar Simu no:0658 106 630 Utakuwa umeokoa 40% ya gharama yakutengeneza kabati jipya.
  14. Gadget_accessories_tz

    INAUZWA Nauza earpods na charges kwa bei nafuu

    Nauza earpods, wireless headphones, charges, fast chargers, and all others phones accessories karibuni Sh 30,000/= Buds pods Elfu 55,000/= Iphone sh 55,000/= Sh 55,000/= iphone 13pro max sh 40,000/= True wireless earbuds elfu 45,000/= Airpods pro sh 70,000/= Elfu 40,000/= Samsung S10 sh...
  15. Nyuki Mdogo

    Nauza "Usafiri" wa fasta, Mwanza to Dar ni dakika 15 tu!

    kumekucha kazi zimeanza jamani Bei elekezi ni milioni 5. hamna nafasi ya punguzo. 91km per minute. karibuni sana kina Mshana Jr
  16. emmarki

    Nauza mbegu za mbogamboga OPV

    Jipatie mbegu za mbogamboga OPV na siyo HYBRID, zinaota vizuri na zinazaa sana. Tunauza kwa bei ya jumla kuanzia kilo 10. Mzigo unatumwa popote kwa uaminifu mkubwa. Piga/sms/Whatsapp 0752042670 1: mchicha aina zote 2: matango (aina ya Ashley) 3: Nyanya (aina ya tengeru na riogrande) 4...
  17. Jay_255

    INAUZWA Nauza Mi-fi ya 4gLTE Inasupport mitandao yote

    Ina support mitandao yote ni 4g LTE Bei 55,000 Mpya dukani ni 120,000 nipo Ubungo - Dar es salaam IMESHAUZWAAA
  18. M

    INAUZWA Nauza 60KVA Cummins

    Heshima kwenu wadau , Cummins 60kva Diesel Generator ipo sokoni nicheki 0710 881879.
  19. ryan riz

    Plot4Sale Nauza kiwanja plot no 157 Medeli East-Dodoma, ukubwa sqm 716 karibu na BOT, Morena Hotel, bei 90 milioni

    Njoo upate eneo la biashara lenye magorofa ya kutosha, haina udalali mmiliki ni mimi mwenyewe. Hati ipo Unaweza kwenda jiji ukamchukua surveyor mwenyewe mkaenda nae hata bila kuniambia ukiridhika nipigie namba 0753477905 tufanye biashara. Napakana na bustan jafo waziri(inapita katikat ya...
  20. Jay_255

    SOLD: Nauza mradi wa kilimo eka 105 bei ya kutupa

    NAUZA MRADI WANGU WA SHAMBA EKA 105 KWA MILIONI 135 Ningependa kuchukua nafasi hii kutangaza kuuza shamba langu lenye ukubwa wa eka 105 lililopo kijiji cha lutukila katika wilaya ya madaba mkoa wa Ruvuma. Shamba hili lina hati miliki kabisa zenye jina langu na wala si mali ya ukoo au kijiji...
Back
Top Bottom