Kiwanja kinauzwa
Eneo: Kongowe Misugusugu-kibaha
size: 30*20 600square metre
Maji umeme vipo
Nusu kilomita kutoka lami ya Morogoro Road
Hati ya maandikishano ipo
Bei milioni 4.
0744033555
Piga simu
Karibuni nyanya, fresh from shamba
Crate 45,000/-
Ndoo ndogo 10,000/-
Ndoo kubwa 17,000/-
Tupo Dsm, Mbezi ya kimara
Karibuni saaana.
Msimu huu wa sikukuu. Kwa bei Che.
0752850081
0783985530
0719100591
Nauza au Kukodisha pick up Single cabin
Imenunuliwa 2014 ikiwa mpya kutoka South Africa.
Namba ya Usajili T4....DBW
Kwa Yoyote atakaye hitaji napatikana kwa
0767 848423
FUSO INAUZWA✅
JIPATIE KWA BEI NDOGO OFFER YA SIKUKUU
Mil. 19
Ukilipia Njoo na Dereva wako Gari ni nzima 100%
Vehicle details
Gari haina Deni lolote ndani ya Mwaka Mzima.
➡️TRA ✅
➡️SUMATRA ✅
➡️BIMA ✅
➡️NO TMS DEPT ❎
Location; Sumbawanga
Habari wakuu,
Natupa wanhoo toyo kwa bei ya sh 1.7m only. lina tatizo la plate clutch tu, gear namba moja ina shida ila linaondokea gear number 2.
Nauza kwa kuwa naenda mkoani soon, nilikuwa natumia kusambazia vinywaji basi, now limekaa tu mwezi sasa.
Lipo GOBA njia nne.
Aliye interested...
Habari wakuu, Nina diagnosis scan tool aina ya LAFOCH ML-168 kwa ajili ya Magari ya Ulaya mf: BMW, Benz, Audi na Volkswagen, au gari yoyote Kama Nissan, Toyota ambayo ni imported from Europe
Kifaa hiki kinamfaa mtu kwenye gari lake binafsi ili akipata changamoto aweze kutrace tatizo mwenyewe...
Habari wanajamvi
Kama kichwa cha habari kinavyosomeka
Mimi ni mfugaji wa nguruwe napatikana maeneo ya Ntyuka Dodoma. Nauza dume kubwa kabisa kwa mahitaji ya kufuga au Kuchinja
Umri: mwaka mmoja
Aina: largewhite *landrace
Mawasiliano: 0672493720/ 0717201982
Wakuu habari zenu,
Ninauza kiwanja
- Size: Urefu FT 60 upana FT 105
- Kipo Kisemvule mtaa wa Machimbo Kidubwa, maarufu kama viwanja vya Ustadhi.
- Nyaraka nlionayo ni "Offer", kimepimwa na kipo eneo ambalo kuna nyumba nyingi sana zimeshajengwa.
- Umeme unaosambazwa na REA.
- Bei ya...
Nauza bata maji wako 8 kwa bei ya laki moja ya kitanzania (Tsh 100,000/-).
Bata wana miezi mitano, mmoja ana miezi nane hivi. .
Bei nauza kama bure haipungui hata senti moja.
Nauza Mastervolt
Part no: 77031500
Type AC 1X6A
Bei: 450,000/-
Kwa kweli sijui Ina kazi gani sema imekuja na mzigo wa mtumba. Nim jaribu kucheki mtandaoni nijue Ina kazi gani ila bado sijajua.
Ni kama mita 300 kutoka kiwanda cha Twiga cement wazo hill mkono wa kulia ukiwa unaenda Goba au Madale. Kiwanja kina ukubwa wa Square meters 1000+ bei sh 35m. Maongezi yapo. Mimi ni mwenye mali sitaki mtu wa kati (Dalali). Mawasiliano 0718219523
PS 4 fat gb 500
zipo Gem 7.
FIFA 2022
WRC7
Pes2021
Mortal 11 combart
God of wall
Need for speed heat
Gta5
Pad 2 hazina kipengere
Fika anza kucheza kabla hujalipia
Price Tag read: 590,000 net
ziite: 0713096076
Nauz vifaranga vya bata aina mbali mbali Kama vile bata Bukini, jumbo perkin, ruen, Indian runner .
Na pia nauza bata wa Kienyeji ( Muscovy)
Napatikana CHANIKA KWA SINGA
Call 0783 29 11 07
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.